Pongezi kwenu Single Mothers
Habari za Jumapili wakuu! Hongereni kwa Ibada kwa wale mlioenda ibadani👋👋

Lengo la mada hii,ni kukushauri na kukutia Moyo wewe Single mother uliejikatia tamaa.
Mimi ni miongoni mwa single mother. Nilipata ujauzito nikiwa Form 4 nina miaka 17 tu! Nililelewa katika Familia ya kilokole na hata haya mambo ya kujiingiza kwenye Mahusiano ya kimapenzi sikuyataka kabisa but makundi& mzazi ndo vilisababisha hivi(nikipata muda nitaleta mada kuhusu hiki) Basi,Baada ya Kujigundua ni mjamzito niliomba Rehema sana nikatubu Kwa Mungu ninakaendelea na masomo. Namshukuru Mungu mimba haikuonekana hadi Siku najifungua zilibaki siku 3 nianze Necta. Nakumbuka nilijifungua Ijumaa then j3 nikaingia Chumba Cha mtihani nikafanya paper nikatoka na 4 mbaya but Cheti nilipata.
Baada ya Hapo nilinuniwa na Mzee karibu Mwaka,nikaishi Maisha ya tabu sana Kiasi kwamba nilitamani kunywa Sumu nife ila nikawaza,kwani mm ndo nimekuwa wa Kwanza?? Nikaamua kutokujichukia na kutokulia tena Nikaamua kuanza kufanya biashara na nikawa najiamini sana kama hakijatokea chochote,then Mzee akashauriwa akanipeleka Chuo but ile Caring haikuwepo! Namshukuru Mungu nilifanikiwa kumaliza,nikatafuta Kazi na nikaamua kujisimamia mwenyewe,nikajithamini na Nikapata Kibali sanaa!!.
NINACHOTAKA NIKWAMBIE NI HIKI:- Wewe bado ni wa thamani hata kama una mtoto! Usijirahisirahisishe kwa Wanaume,eti Kisa ulishazaa!! Uthamani wako uko palepale
🖍️Usikate tamaa kwa Maneno yao au Kejeli zao,Focus kuitengeneza ile future uliyoipoteza hapo Awali.
🖍️Mrudie Mungu na uweke tumaini Kwake kikamilifu. Nina Uhakika atakupa Nafasi tena kama hautakuwa na Mchanganyo!! Kuwa na Msimamo Mungu atakupatia wa kwako!! .
Mwisho,Achana na Uzinzi! Subiri Mume mwema Kutoka kwa Mungu( but kama utakuwa serious na Mungu)
Ulianza ufuska mapema sana, ndio ukome, ww ulienda kusoma au kufanya ngono, ndio uwaambie wenzako wasipate mimba mashuleni na watulie wasome, najua umeonja joto ya makaa ya mawe, nyie huwaga wabishi sana mkielezwa muachane na ngono mkiwa shuleni hamsikii, mnakuwa wajuaji wee, ila ukisha pata mimba, unaanza kumrudia Mungu na kulialia kutafuta huruma ya public, ndio ukome, safi umejifunza
 
Mkuu unajua wafrika tunapenda sana uongo na kufatijiana pasipo na ukweli.single mother anaweza kuwa na thamani katika mambo mengine lakini kuhusu swala la kuolewa ni uongo na tunadanganyana.

Sote tuna ndugu zetu na wengine Dada zetu walio single mother ukweli ni kuwa katika Wanaume 100 ambao wanataka kuoa ni Mwanaume 1 au 2 anayeweza kuoa mwanamke aliyezalishwa na kuachwa-hata wewe uliyetoa huu Uzi ungekuwa ni ME sidhani kama ungeweza kuoa Mwanamke aliyezalishwa.
Mbona wanaolewa2. Chamsingi awe mzuri au awe na pesa
 
Sasa mbona wanawazalisha Sana
Single mother wanaongezeka kwa kasi
Au mbegu zinatoka wap?
Siku hizi hadi wabusti na supu ya pweza, ndio maana hata wale wamama wanaouza karanga mbichi zilizochanganywa na nazi huko ma barabarani wameongezeka.
 
Hi great thinkers

Nawapa pole single Mothers wote wanaosimangwa. Si wote wamependa iwe hivyo. Wengine walisubiri wachumba mpaka dakika ya 90 bilabila.

Nawashauri single mothers kuweni wema leeni watoto wenu vizuri na mpunguze stress.

Wanaume ni wachache.
 
Hi great thinkers

Nawapa pole single Mothers wote wanaosimangwa.


Si wote wamependa iwe hivyo. Wengine walisubiri wachumba mpaka dakika ya 90 bilabila.

Nawashauri single mothers kuweni wema leeni watoto wenu vizuri na mpunguze stress.


Wanaume ni wachache.
Single mzaza huwa watulivu Sana wakipata ndoa kuliko hivi vi graduate ambavyo haviambiliki

Shida inapokuja kwa single maza Ni kupasha viporo na maex wao
 
Najaribu kufikiria,kwa mfano kama baadhi ya sisi wanaume humu tungezaliwa kama huyu Dada inawezekana kungekuwa na sio single mothers(mlea peke)tu bali na watoto wakutosha 😀😀, Mungu ni wa rehema sana na ni fundi kuliko fahamu zetu.

Unajua nini?Sio wote wamependa na hata kama was planned, yasiyowezekana kwa mwanadamu na kwa mila na mifumo kuonekana sio rahisi sana kwa Mungu yanawezekana.
Mcheni Mungu kwa dhati ya mioyo yenu kama Dada ali vyosema,stand firm,jiaminini mnaweza kufanya vitu vikubwa na vya heshima.

Mimi ninawapenda and value you as per the God's love.

Wonderful
 
Mkuu unajua wafrika tunapenda sana uongo na kufatijiana pasipo na ukweli.single mother anaweza kuwa na thamani katika mambo mengine lakini kuhusu swala la kuolewa ni uongo na tunadanganyana.

Sote tuna ndugu zetu na wengine Dada zetu walio single mother ukweli ni kuwa katika Wanaume 100 ambao wanataka kuoa ni Mwanaume 1 au 2 anayeweza kuoa mwanamke aliyezalishwa na kuachwa-hata wewe uliyetoa huu Uzi ungekuwa ni ME sidhani kama ungeweza kuoa Mwanamke aliyezalishwa.
Hii inategemea,na sio wote waliozalishwa na kuachwa ni Malaya,no Kuna baadhi ya wanaume ni wavivu na hwataki majukumu,hivyo mama anaona ni Bora waachane tu alee mtoto wake mwenyewe

Kuna wanawake wengine ni waaminifu Sana katika mahusiano yao lkn ulimbukeni na tamaa za kijinga za mwanaume anamletea wanawake wengine kila kukcha,so mwanamke anaona Bora kuwa single kuliko kuletewa magonjwa ndani

so kuwa single sio dhambi, acheni masimango kwani hao wapiowazalisha ni wanaume wenzenu
 
Nina evidence na watu kibao waliooa single mother na ni vijana ambao wao hawana watoto!!!
Inategemea hao ndugu zako wanajiwekaje,lakini Pia Mtazamo wako sio wa mtu Mwingine!! Kuna mambo mengine akili Yako na maamuzi Yako yatashindwa but si kwa Wengine!!
Siwashauri kuzaa,but watu wanaolewa wakiwa hata na watoto kibao
Fact
 
Single mother %90 hawataki kuolewa ila wanataka mwaume atakaye weza kuhudumia Mama na mtoto tu hawanaga mapenzi na mwanaume wanajiweka kwa mwanaume ili kupata pesa za kulea mwanae tu.
Uongo,Tena uongooo,Kuna watu Wana kazi zao wanajiweza,wanachohitaji ni upendo tu na company,kiufupi wanasumbuliwa na upweke tu,,sio kweli kuwa single mother wote hawajiwezi no
 
Back
Top Bottom