Pongezi kwenu Single Mothers
Ila wanawake tuna huruma sana. Eti limwanamke! Dah.
Nyoosha maelezo wewe ndo unaenda kuolewa, na mahari yenyewe hauna
Kama kweli uendi kulelewa si utafute binti uanze nae maisha? Bureeee
Hata mimi naona anapinda pinda tu
 
Msimamo wangu, hatutaenda kukaa kwake Mbweni, atakuja kukaa kwangu Mwananyamala kwa Mama Zakaria.

Sistatumia gari yake, tukitaka kusafiri pamoja ni daladala au bajaji au bolt.

Vitegauchumi vyake ni vyake. Wakurya hatuzinguliwagi kiboya
Ila wanawake tuna huruma sana. Eti limwanamke! Dah.
Nyoosha maelezo wewe ndo unaenda kuolewa, na mahari yenyewe hauna
Kama kweli uendi kulelewa si utafute binti uanze nae maisha? Bureeee
 
Ndugu zanguni, Nawatakia Heri na Fanaka kwenye mwaka mpya ujao 2023.

Mimi ni kijana barobaro, nisiye na gari wala nyumba ya kifahari, wala mashamba wala degree kama nyie wenzangu mlivyo jaliwa.

Shughuli zangu ni ndogondogo na nina kiosk cha kuuza vinywaji baridi hapo Coco Beach.

Kilichonilete kwenu ni kwamba, hapa jukwaaani imetokea kupendana na binti mrembo mmoja matata sana, binti ana degree zake mbili, magari mawili, nyumba kali ya ghorofa pande za Mbweni, na watoto wake wawili.

Mimi sina nyumba, sina gari, sina elimu nona mtoto mmoja tu niliyempata ujanani.

Huyu binti ninataka kumuoa sio kwa ajili ya ufahari alionao, nataka nimuoe kwasababu nampenda sana.

Leo ndio siku ya mimi kwenda kutambulishwa kwao, na katika vitu ambavyo vitanifanya nionekane mtoto mbaya ni msimamo wangu na mtazamo wangu juu ya nadharia nzima ya mahari.

Mimi nafahamu kwamba mahari tunalipa ili kuwashukuru wazazi kwa kumlea vyema binti yao. Sasa limwanamke limezalishwa na mianaume miwili tofauti, nilipe mahari ya nini?

Au nyie wana nzengo mnasemaje?

NB:-
Msimamo wangu, hatutaenda kukaa kwake Mbweni, atakuja kukaa kwangu Mwananyamala kwa Mama Zakaria.

Sistatumia gari yake, tukitaka kusafiri pamoja ni daladala au bajaji au bolt.

Vitegauchumi vyake ni vyake. Wakurya hatuzinguliwagi kiboya

Take the risk, japo kutokana na maelezo yako, ukiachilia watoto. Ukwasi wa mpenzi wako na kiwango chake cha elimu ukilinganisha na ya kwako ni hatari sana kwa ustawi wa ndoa.
 
Take the risk, japo kutokana na maelezo yako, ukiachilia watoto. Ukwasi wa mpenzi wako na kiwango chake cha elimu ukilinganisha na ya kwako ni hatari sana kwa ustawi wa ndoa.
Nimemshampa angalizo, elimu yake mwisho ni kwenye kizingiti cha mlango wa kuingilia ndani, aiache huko nje
 
Ndugu zanguni, Nawatakia Heri na Fanaka kwenye mwaka mpya ujao 2023.

Mimi ni kijana barobaro, nisiye na gari wala nyumba ya kifahari, wala mashamba wala degree kama nyie wenzangu mlivyo jaliwa.

Shughuli zangu ni ndogondogo na nina kiosk cha kuuza vinywaji baridi hapo Coco Beach.

Kilichonilete kwenu ni kwamba, hapa jukwaaani imetokea kupendana na binti mrembo mmoja matata sana, binti ana degree zake mbili, magari mawili, nyumba kali ya ghorofa pande za Mbweni, na watoto wake wawili.

Mimi sina nyumba, sina gari, sina elimu nona mtoto mmoja tu niliyempata ujanani.

Huyu binti ninataka kumuoa sio kwa ajili ya ufahari alionao, nataka nimuoe kwasababu nampenda sana.

Leo ndio siku ya mimi kwenda kutambulishwa kwao, na katika vitu ambavyo vitanifanya nionekane mtoto mbaya ni msimamo wangu na mtazamo wangu juu ya nadharia nzima ya mahari.

Mimi nafahamu kwamba mahari tunalipa ili kuwashukuru wazazi kwa kumlea vyema binti yao. Sasa limwanamke limezalishwa na mianaume miwili tofauti, nilipe mahari ya nini?

Au nyie wana nzengo mnasemaje?

NB:-
Msimamo wangu, hatutaenda kukaa kwake Mbweni, atakuja kukaa kwangu Mwananyamala kwa Mama Zakaria.

Sistatumia gari yake, tukitaka kusafiri pamoja ni daladala au bajaji au bolt.

Vitegauchumi vyake ni vyake. Wakurya hatuzinguliwagi kiboya
Sasa,kwa nini umetaja mali anazomiliki huku ukijitetea kwamba hutozitumia?Unamaanisha nini hapo?
 
Asabuhi njema.
giphy.gif
Miongoni mwa vitu ninavyovidharau na kuviona
Haya sasa tueleze wewe ukweli ni upi?
 
Ni halali mkuu maana mahali hailipwi Kwa kigezo cha idadi ya watoto Bali hitaji lako lililopelekea kupenda
 
Back
Top Bottom