Hii ni Pongezi kwa Kurugenzi ya Habari ya Rais, lakini natambua umuhimu wa Kiswahili. Nashauri wale mliokua allergic na English toka awamu ya 5 basi piteni tu.
Leo baada ya miaka mingi tumeona Kurugenzi ya Rais ikitoa taarifa kwa lugha ya English, Lugha ambayo inawafikia wenzetu wengi wa nje ya dunia ya Kiswahili.
Asante sana Zuhra Yunusi na Tunamshukuru aliependekeza Jina lako. Sasa Tanzania inafunguka. Asante sana Mama Samia
Leo baada ya miaka mingi tumeona Kurugenzi ya Rais ikitoa taarifa kwa lugha ya English, Lugha ambayo inawafikia wenzetu wengi wa nje ya dunia ya Kiswahili.
Asante sana Zuhra Yunusi na Tunamshukuru aliependekeza Jina lako. Sasa Tanzania inafunguka. Asante sana Mama Samia
