Pongezi mabadiliko makubwa Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais. Asante Zuhura Yunus

Pongezi mabadiliko makubwa Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais. Asante Zuhura Yunus

kwa nini Lugha ya Kiswahili inadharauliwa na waswahili wenyewe?!
bado akili zetu zimeathiriwa na ukoloni wa lugha!!
Watanzania wengi bado mpaka leo wanaamini kuwa mtu anaye weza kuzungumza au kuongea kizungu basi ni msomi mkubwa sana!!
Haidharauliwi lakini tunatakiwa pia kuongea lugha za wengi ili tujenge mawasiliano bora
 
Hii ni Pongezi kwa Kurugenzi ya Habari ya Rais, lakini natambua umuhimu wa Kiswahili. Nashauri wale mliokua allergic na English toka awamu ya 5 basi piteni tu.

Leo baada ya miaka mingi tumeona Kurugenzi ya Rais ikitoa taarifa kwa lugha ya English, Lugha ambayo inawafikia wenzetu wengi wa nje ya dunia ya Kiswahili.

Asante sana Zuhra Yunusi na Tunamshukuru aliependekeza Jina lako. Sasa Tanzania inafunguka. Asante sana Mama Samia

View attachment 2114316
huna akili. hili nalo la kupongezwa?
 
Back
Top Bottom