Haidharauliwi lakini tunatakiwa pia kuongea lugha za wengi ili tujenge mawasiliano borakwa nini Lugha ya Kiswahili inadharauliwa na waswahili wenyewe?!
bado akili zetu zimeathiriwa na ukoloni wa lugha!!
Watanzania wengi bado mpaka leo wanaamini kuwa mtu anaye weza kuzungumza au kuongea kizungu basi ni msomi mkubwa sana!!
huna akili. hili nalo la kupongezwa?Hii ni Pongezi kwa Kurugenzi ya Habari ya Rais, lakini natambua umuhimu wa Kiswahili. Nashauri wale mliokua allergic na English toka awamu ya 5 basi piteni tu.
Leo baada ya miaka mingi tumeona Kurugenzi ya Rais ikitoa taarifa kwa lugha ya English, Lugha ambayo inawafikia wenzetu wengi wa nje ya dunia ya Kiswahili.
Asante sana Zuhra Yunusi na Tunamshukuru aliependekeza Jina lako. Sasa Tanzania inafunguka. Asante sana Mama Samia
View attachment 2114316
NakaziaKwani huduma ya Kiingereza ilikuwa haipo ama ilikuwa suppressed?
Hii Flight Mode ItatuuwaKila kitu mnasifia
Ndio hulka ya wala haruwa!!Kila kitu mnasifia
... kwamba awamu iliyopita hatukuwa na serikali au?Serikali lugha yake yakwanza inayotumia ni kiingereza Sasa mjinga tu ndo anaweza shangaa
Nakazia... kwamba awamu iliyopita hatukuwa na serikali au?