Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Shemeji shemeji mimi sio boya.
Nitakuja vizuri shemu.
Nitapitia supermarket...nileti soseji, bluubandi, chokolet, wine ya 4kazini, Robatison, nikifika narusha laki 3 mezani shemu hutanipokea?🀣🀣🀣🀣
Unakuja lini nyumbani shemdarlingπŸ₯°πŸ₯°
 
Kusimamisha tena mkuu?😁😁😁
Mkuu hili ni janga tusilifiche, tusaidiane.
Mimi braza angu anatibu NGUVU za kiume kwanini nisisaidie watu?
Tena anafadhiliwa na wazungu kwasababu nao wanatumia dawa zake kwa utafiti hivyo bei ni chee tu
 
Mkuu hili ni janga tusilifiche, tusaidiane.
Mimi braza angu anatibu NGUVU za kiume kwanini nisisaidie watu?
Tena anafadhiliwa na wazungu kwasababu nao wanatumia dawa zake kwa utafiti hivyo bei ni chee tu
Kama ni genuine basi wasaidike wenye uhitaji!
 
Nami siku Moja Mungu anibariki na watoto mapacha wa like wanaofanana( identical twins).
AmenπŸ™
 
Una kizazi cha mapacha?
Huyo ishomire National Anthem kama nisingemsaidia dawa asingeweza hata kulenga.
......................................
Mkuu nimejitolea kusaidia watu humu wenye tatito ya mashine kusimama au kulegea mapema hii sio utani
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… hiyo dawa umeitoa wapi we muhuni
 
Shemeji shemeji mimi sio boya.
Nitakuja vizuri shemu.
Nitapitia supermarket...nileti soseji, bluubandi, chokolet, wine ya 4kazini, Robatison, nikifika narusha laki 3 mezani shemu hutanipokea?🀣🀣🀣🀣
Naona unakula zoezi πŸ˜…πŸ˜…
 
😁😁😁basi wingu lifanye faster ili kazi itimie mapacha wapatikane. Sema kukea pacha nayo kazi, bwana National Anthem atasimuliq baada ya miaka mitano hivi.
Alafu nikosee mahesabu nitupie nyavu na kwa mnyantuzu mmoja , kichwa itawakaa πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…