Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Shemeji shemeji mimi sio boya.
Nitakuja vizuri shemu.
Nitapitia supermarket...nileti soseji, bluubandi, chokolet, wine ya 4kazini, Robatison, nikifika narusha laki 3 mezani shemu hutanipokea?🤣🤣🤣🤣
Unakuja lini nyumbani shemdarling🥰🥰
 
Kusimamisha tena mkuu?😁😁😁
Mkuu hili ni janga tusilifiche, tusaidiane.
Mimi braza angu anatibu NGUVU za kiume kwanini nisisaidie watu?
Tena anafadhiliwa na wazungu kwasababu nao wanatumia dawa zake kwa utafiti hivyo bei ni chee tu
 
Mkuu hili ni janga tusilifiche, tusaidiane.
Mimi braza angu anatibu NGUVU za kiume kwanini nisisaidie watu?
Tena anafadhiliwa na wazungu kwasababu nao wanatumia dawa zake kwa utafiti hivyo bei ni chee tu
Kama ni genuine basi wasaidike wenye uhitaji!
 
Una kizazi cha mapacha?
Huyo ishomire National Anthem kama nisingemsaidia dawa asingeweza hata kulenga.
......................................
Mkuu nimejitolea kusaidia watu humu wenye tatito ya mashine kusimama au kulegea mapema hii sio utani
😅😅😅 hiyo dawa umeitoa wapi we muhuni
 
Shemeji shemeji mimi sio boya.
Nitakuja vizuri shemu.
Nitapitia supermarket...nileti soseji, bluubandi, chokolet, wine ya 4kazini, Robatison, nikifika narusha laki 3 mezani shemu hutanipokea?🤣🤣🤣🤣
Naona unakula zoezi 😅😅
 
Back
Top Bottom