Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣🤣Heee shem kaamua kuwa JJ MwakaKusimamisha tena mkuu?😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Heee shem kaamua kuwa JJ MwakaKusimamisha tena mkuu?😁😁😁
Unawajua mashem wanoko?Yaani shem wewe mmbea Sana
Amenishangaza sana huyu dogo😁😁 atakuja kusema anarefusha pia!😁😁🤣🤣🤣🤣Heee shem kaamua kuwa JJ Mwaka
Unakuja lini nyumbani shemdarling🥰🥰Shemeji shemeji mimi sio boya.
Nitakuja vizuri shemu.
Nitapitia supermarket...nileti soseji, bluubandi, chokolet, wine ya 4kazini, Robatison, nikifika narusha laki 3 mezani shemu hutanipokea?🤣🤣🤣🤣
Mkuu hili ni janga tusilifiche, tusaidiane.Kusimamisha tena mkuu?😁😁😁
🤣🤣🤣🤣HatariUnawajua mashem wanoko?
Umefika sasa😂
Kama ni genuine basi wasaidike wenye uhitaji!Mkuu hili ni janga tusilifiche, tusaidiane.
Mimi braza angu anatibu NGUVU za kiume kwanini nisisaidie watu?
Tena anafadhiliwa na wazungu kwasababu nao wanatumia dawa zake kwa utafiti hivyo bei ni chee tu
Kwani ni serious unauza dawa?Mkuu hili ni janga tusilifiche, tusaidiane.
Mimi braza angu anatibu NGUVU za kiume kwanini nisisaidie watu?
Tena anafadhiliwa na wazungu kwasababu nao wanatumia dawa zake kwa utafiti hivyo bei ni chee tu
Na tatizo ni kubwa kweliKama ni genuine basi wasaidike wenye uhitaji!
Hakika, niletee mgonjwa wako tu ushuhuda utauona wiki moja pekeeKwani ni serious unauza dawa?
Niite hata kesho lkn mida ambayo hajarudiUnakuja lini nyumbani shemdarling🥰🥰
Basi tumshuuru Mungu kwa huu urijali😁😁😁😁😁😁Na tatizo ni kubwa kweli
Ukiwa umeshiba wakumbuke wenye njas babaBasi tumshuuru Mungu kwa huu urijali😁😁😁😁😁😁
😅😅😅 hiyo dawa umeitoa wapi we muhuniUna kizazi cha mapacha?
Huyo ishomire National Anthem kama nisingemsaidia dawa asingeweza hata kulenga.
......................................
Mkuu nimejitolea kusaidia watu humu wenye tatito ya mashine kusimama au kulegea mapema hii sio utani
Naona unakula zoezi 😅😅Shemeji shemeji mimi sio boya.
Nitakuja vizuri shemu.
Nitapitia supermarket...nileti soseji, bluubandi, chokolet, wine ya 4kazini, Robatison, nikifika narusha laki 3 mezani shemu hutanipokea?🤣🤣🤣🤣
Kamba tu mkuuNaona unakula zoezi 😅😅
Nina bro yuko na wajerumani wanafanya utafiti wa TIBA ZA NGUVU ZA KIUNE tangu 2018.😅😅😅 hiyo dawa umeitoa wapi we muhuni
Alafu nikosee mahesabu nitupie nyavu na kwa mnyantuzu mmoja , kichwa itawakaa 😅😅😁😁😁basi wingu lifanye faster ili kazi itimie mapacha wapatikane. Sema kukea pacha nayo kazi, bwana National Anthem atasimuliq baada ya miaka mitano hivi.