Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Hongera Sana Sana Bila Shaka Utaratibu Huu Huwa Unatumika Kanisani Kwetu


TUNASEMA Baba,Mama Na Watoto Wote Wapo Salama, Ndugu Zangu Zaeni Elimu Bure
Hata India Na China Zimeendelea Duniani Kwa Kuwa Na Idadi Kubwa Ya Watu
Dkt Albina Chuwa Afanye Marekebisho Haraka Kwenye Idadi Yetu Tanzania
 
Kwako ndugu na Kaka yangu National Anthem, Tumekuwa marafiki wa muda mrefu katika dunia hii ya Kufikirika.

Furaha yako imekuwa furaha yangu pia, nichukue fursa hii kukupongeza wewe na mkeo kwa kufanikiwa kupata watoto mapacha siku ya jana😍😍.

Kheri ikawe kwenu na kwa familia yenu, nawa ahidi sitokuja kula sana endapo Nita alikwa 😂😆.

👉 I mean no malice to nobody, Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉Roho begani
View attachment 2605160

👉Picha haihusiani na taarifa, moderators msiufute uzi wangu tafadhali, hii ni taarifa rasmi.
Hongera zake sana ingawa kuna hii footage inamhusu
Screenshot_20230430_175156_Samsung Internet.jpg

Wanamtolea nje kwa ssbabu kumbe wanajua ana mke tayari
 
Nina mashaka na hii taarifa, naona jamaa anaanzisha nyuzi za watu kupata watoto hadi inatia shaka, nitaamini ikiwa
National Anthem atakiri hili hapa.
Alianza na trudie
Ngoja Tuanze Kumfuatilia Maana Thread Hii Nadhani Ya Pili Ama Tatu Zote Kuhusu Uzazi
Tunafuatilia Kwa Karibu Na Kuwauliza Aliowataja Baadaye Ataanza Kutuchangisha Huyu
 
Team jf usiku wa manane, njooni mumpongeze mlinzi mwenzenu Bantu Lady, Johnnie Walker, Dahan, Mzee wa kupambania, Ms eyes, trudie, Kanali G, Santos06, Poor Brain,

Note 👉 nadhani hi ni wiki ya baraka kwa team jf usiku wa manane, kwani ndugu zetu watatu
👉 trudie
👉 Mr kenice
👉 National Anthem
Wote wamefanikiwa kupata watoto.
👉I mean no malice to nobody, Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉Roho begani
Tatizo hamna sehemu ya kutuma voice note ya vigelegele☹️😇❤️, anyways hongera sana Mkuu ( National Anthem)
 
Ngoja Tuanze Kumfuatilia Maana Thread Hii Nadhani Ya Pili Ama Tatu Zote Kuhusu Uzazi
Tunafuatilia Kwa Karibu Na Kuwauliza Aliowataja Baadaye Ataanza Kutuchangisha Huyu
I mean no malice to nobody, wote ni marafiki zangu
And these is a confirmation, unaeza wauliza National Anthem, trudie, Mr kenice
👉 Nani kakuomba mchango, au ni Kiki za kihaya🤔🤔
 
Team jf usiku wa manane, njooni mumpongeze mlinzi mwenzenu Bantu Lady, Johnnie Walker, Dahan, Mzee wa kupambania, Ms eyes, trudie, Kanali G, Santos06, Poor Brain,

Note 👉 nadhani hi ni wiki ya baraka kwa team jf usiku wa manane, kwani ndugu zetu watatu
👉 trudie
👉 Mr kenice
👉 National Anthem
Wote wamefanikiwa kupata watoto.
👉I mean no malice to nobody, Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉Roho begani
Kweli timu ya usiku wa manane imeamua ni mwendo wa kuijaza dunia alianza trudie Mr kenice sasa National Anthem

Hongera sana National Anthem 👏👏👏
 
Back
Top Bottom