Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Siwezi kupeperuka kwa kelele ndogondogo hizi, hapa ni kuazimia kuoata mapacha kama ndugu yetu National Anthem .
Una kizazi cha mapacha?
Huyo ishomire National Anthem kama nisingemsaidia dawa asingeweza hata kulenga.
......................................
Mkuu nimejitolea kusaidia watu humu wenye tatito ya mashine kusimama au kulegea mapema hii sio utani
 
Shemeji ukija nyumbani sijui Kama utakunywa hata maji...maana unanisagia Sana kunguni...
Shemeji shemeji mimi sio boya.
Nitakuja vizuri shemu.
Nitapitia supermarket...nileti soseji, bluubandi, chokolet, wine ya 4kazini, Robatison, nikifika narusha laki 3 mezani shemu hutanipokea?🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom