National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Asante sana rafiki yangu Dahan πHongera kwake bro National Anthem... πππ...,,, Karibu chama la mapacha... π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana rafiki yangu Dahan πHongera kwake bro National Anthem... πππ...,,, Karibu chama la mapacha... π
UnawasumbuaWivu tu ππ
πππ asante sana auntyNational Anthem hongera sana aunt yangu
Malezi kama guantamo bayMwendo ni ule ule watoto wanalelewa kikamanda π
Eeh pipi watazila mwishoniMalezi kama guantamo bay
πππ makamandaaa hayaaaHatari na nusu na vya kurithi huwa vinazidi Ankol. Hongera sana
Watakula pipi za shubiri au pilipili za kihindiπ
Eeh pipi watazila mwishoni
Una ushahidi upi bintiπ¬π¬Wajee
Me nawajia na evidence kabisa π€£π
ππ hii Ndio JF .. wao mawazo yao wanataka yawe mawazo ya woteUmeanza mbali sana, ila sijui chuki inatoka wapi mkuuπ€π€
Nyie ndio mashangazi sasa ππ tuchinje kondoo au ngβombeTaarifa tunayo kitrambo sana mbonaa asante kwa kutujuza kwamara nyingine tenaa kichaa akee!!
Mkuu baada ya wewe kujitokeza na kuthibitisha bila ajizi nilomuomba radhi bwana Intelligent businessman msahmaha.Una ushahidi upi bintiπ¬π¬
Wapo wanao mjua mke wangu humu tena face to face na wali bahatika muona kwenye stage ya ujauzito
C.c Glenn naona bado mnapinga duh
Tatizo watu wanahisi wanatujua Sanaa mkuu.. ni kuwapotezea tu..Si Kuna mijitu ikaanza kutuita wezi, Mara waongo.
πI mean no malice to nobody
Momo anataka mtoto, mpe kijanaaa π€£π€£π€£π€£π€£Pambana upate katoto hata kamoja πππ
Ng'ombeee mjombaaa!!Nyie ndio mashangazi sasa ππ tuchinje kondoo au ngβombe
π€£π€£π€£π€£ kwa ile ile 150k au mbegu tuMomo anataka mtoto, mpe kijanaaa π€£π€£π€£π€£π€£
Hiyo hiyo tuπ€£π€£π€£π€£ kwa ile ile 150k au mbegu tu
Na bado natoa child support?Hiyo hiyo tu
Mimi ninao tayari 2Anza wewe kwaza ππ
Mmmh mbona yupo na huzuniπππMbona anajua huyo bana huyoo ππ
π€£π€£π€£π€£π€£Sio kwa no hiyo!nipo mererani natafuta jiweWe namba 7 umepotelea wapi?