Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Vipi popcorn za unafiki hazija kuvimbisha๐Ÿค”๐Ÿค”. Palina au palilia
๐Ÿ‘‰ I mean no malice to nobody
Mkuu we unakoelekea sio kuzuri

Kwani ni lazima kila mtu akubaliane na wewe?? Mi sina chuki na wewe wala baba watoto

Usitafute ubaya mkuu for nothing, hamna mtu aliesema wewe mwizi wala muongo, ni kwamba sio mimi tu ila baadhi ya watu walikua wanataka info kwa baba mwenyewe asa kosa liko wapi

Haya kazana
 
Heeh asa kwani ubaya uko wapi mkuu and agenda za siri kama zipi??? Mi sina agenda juu ya mtu yeyote hata hii text nilishasahau ka niliandika hivi

Inshort sikua sure so nikaona ikitoka kwa baba mwenye watoto inapendeza zaidi so i just waited for him to clarify and finally he didi

I don't think i was wrong may b from your point of view ila sio kwa ubaya

I',m still a good person, the latter is up to you
I don't give a f.u.ck about what you think
Coz I did that for my family, so unaeza kuwa unatafuta spot ya kuropoka nonsense zako
 
Back
Top Bottom