Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #201
Asante🙏🙏, kwa niaba yakehongera kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante🙏🙏, kwa niaba yakehongera kwake
Asante 🙏🙏, kwa niaba yake. Natumai National Anthem ataliona hiliNampongeza Kwa kupata mapacha nimtakie kila la kheri pamoja na familia yote...,mapacha wana Raha Yake....wa kwangu sasa wana miaka 18 .....ukitaka ushauri karibu sana
He amekuwa aunt Tena 😂🤣, I mean no malice to nobody AaliyyahNational Anthem hongera sana aunt yangu
Asante 🙏🙏, kwa niaba yakeHongeraa sanaaa ankoliii.
Walee kina cuzoos ktk msingi wa kukupendezaa.
Mpe hongera yake auntie.
[emoji120][emoji120]
Iam done going either way, at this point. Iam living it up to youIntelligent businessman sorry na hongera kwa habari ya kweli
I mean no malice to nobody, Sera zetu 👉 Panga mkononiAsante sana mkuu. Shukrani kwa kujali. Nilee sasa
Afadhali umesema mkuu, kitu ni Cha uhakika. But jitu linaanza kukutuhumu ujinga.Watu mnaochukulia mambo siriaz humu mnachekesha sana!
Yanii mtu iwe kadanganya au ni kweli wee unaumia nini sasa ?? Don't takes things so serious wakuu kufatiliana mambo ya kishoga hayoo!!
I mean no malice to nobody, but dah hizi pigo za watabiri was jf🤔😂😂Sina imani naye 1000%
Sijui huwa una tatizo gani madam🤔🤔,Mkuu sie tukae palee tuusome huu mchezo na popcon 😃😃
Tulisha maliza mkuuI mean no malice to nobody, but dah hizi pigo za watabiri was jf🤔😂😂
😂😂😂 i think it's time for you, to get the Food of the same treat.Intelligent businessman sorry na hongera kwa habari ya kweli
Lini??, Wapi ?? Na kwa Nini??, You had your time boss.Tulisha maliza mkuu
Si Kuna mijitu ikaanza kutuita wezi, Mara waongo.Taarifa tunayo kitrambo sana mbonaa asante kwa kutujuza kwamara nyingine tenaa kichaa akee!!
Nina mashaka na hii taarifa, naona jamaa anaanzisha nyuzi za watu kupata watoto hadi inatia shaka, nitaamini ikiwa
National Anthem atakiri hili hapa.
Alianza na trudie
Unaamilni hili?
Je huyu member ni kweli anataarifa ya wazazi wa jf kiasi hiki?
Ngoja Tuanze Kumfuatilia Maana Thread Hii Nadhani Ya Pili Ama Tatu Zote Kuhusu Uzazi
Tunafuatilia Kwa Karibu Na Kuwauliza Aliowataja Baadaye Ataanza Kutuchangisha Huyu
Hii movie itakuwa na hitimisho lengwa
I mean no malice to nobody,Sina imani naye 1000%
utapokea!! kwa lazima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sihitaji zawadi yakooo plz.
Mie na wanafiki tofautu
Heeh asa kwani ubaya uko wapi mkuu and agenda za siri kama zipi??? Mi sina agenda juu ya mtu yeyote hata hii text nilishasahau ka niliandika hiviSijui huwa una tatizo gani madam🤔🤔,
👉 I don't know you, ila hizi accusations za nini Sasa??
👉Why utoe hints zenye kuonyesha Kuna agenda ya Siri🤔
👉Una jisikiaje Baada ya taarifa kuwa ya kweli🤔🤔
👉Madam I respected you a lot ila dah each time we ni Vita tu Mimi. This isn't the first time 🤔😎
👉I mean no malice to nobody Palina