Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Watu mnaochukulia mambo siriaz humu mnachekesha sana!
Yanii mtu iwe kadanganya au ni kweli wee unaumia nini sasa ?? Don't takes things so serious wakuu kufatiliana mambo ya kishoga hayoo!!
Afadhali umesema mkuu, kitu ni Cha uhakika. But jitu linaanza kukutuhumu ujinga.
👉Afu baadae ana kuja kuomba msamaha🤔🙊🙉
 
Mkuu sie tukae palee tuusome huu mchezo na popcon 😃😃
Sijui huwa una tatizo gani madam🤔🤔,
👉 I don't know you, ila hizi accusations za nini Sasa??
👉Why utoe hints zenye kuonyesha Kuna agenda ya Siri🤔
👉Una jisikiaje Baada ya taarifa kuwa ya kweli🤔🤔
👉Madam I respected you a lot ila dah each time we ni Vita tu Mimi. This isn't the first time 🤔😎

👉I mean no malice to nobody Palina
 
Nina mashaka na hii taarifa, naona jamaa anaanzisha nyuzi za watu kupata watoto hadi inatia shaka, nitaamini ikiwa
National Anthem atakiri hili hapa.
Alianza na trudie

Unaamilni hili?
Je huyu member ni kweli anataarifa ya wazazi wa jf kiasi hiki?

Ngoja Tuanze Kumfuatilia Maana Thread Hii Nadhani Ya Pili Ama Tatu Zote Kuhusu Uzazi
Tunafuatilia Kwa Karibu Na Kuwauliza Aliowataja Baadaye Ataanza Kutuchangisha Huyu

Hii movie itakuwa na hitimisho lengwa

Sina imani naye 1000%
I mean no malice to nobody,
 
Sijui huwa una tatizo gani madam🤔🤔,
👉 I don't know you, ila hizi accusations za nini Sasa??
👉Why utoe hints zenye kuonyesha Kuna agenda ya Siri🤔
👉Una jisikiaje Baada ya taarifa kuwa ya kweli🤔🤔
👉Madam I respected you a lot ila dah each time we ni Vita tu Mimi. This isn't the first time 🤔😎

👉I mean no malice to nobody Palina
Heeh asa kwani ubaya uko wapi mkuu and agenda za siri kama zipi??? Mi sina agenda juu ya mtu yeyote hata hii text nilishasahau ka niliandika hivi

Inshort sikua sure so nikaona ikitoka kwa baba mwenye watoto inapendeza zaidi so i just waited for him to clarify and finally he didi

I don't think i was wrong may b from your point of view ila sio kwa ubaya

I',m still a good person, the latter is up to you
 
Back
Top Bottom