cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
August.we dogo unajifungua lini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
August.we dogo unajifungua lini
we lazima nikupe zawadi upoke usipoke shauri yakoAugust.
Tayari mkuuAlafu sijawai mie kukataa ndoa .. alichanganganya ID huyu … mkuu nipe hongera kama vipi nitaichukua kwa nguvu
Wivu tu 😂😂Leo amekuwa aunt?😂
Ujinyonge sasa si unakwepa majukumu?Wivu tu 😂😂
😀😀😀Mwendo ni ule ule watoto wanalelewa kikamanda 😀
Hongera kwakeKwako ndugu na Kaka yangu National Anthem, Tumekuwa marafiki wa muda mrefu katika dunia hii ya Kufikirika.
Furaha yako imekuwa furaha yangu pia, nichukue fursa hii kukupongeza wewe na mkeo kwa kufanikiwa kupata watoto mapacha siku ya jana😍😍.
Kheri ikawe kwenu na kwa familia yenu, nawa ahidi sitokuja kula sana endapo Nita alikwa 😂
😆.
👉note: nadhani hi ni wiki ya baraka kwa team jf usiku wa manane, kwani ndugu zetu watatu trudie, Mr kenice na national anthem wamepata watoto.
👉 I mean no malice to nobody, Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉Roho begani
View attachment 2605160
👉Picha haihusiani na taarifa.
😂😂Kazi mnayoHuyu jamaa si tulikua nae "Kataa Ndoa" dah.
All in All tunampongeza sana.😂😂Kazi mnayo
Wameuzwa na National Anthem katupia jiwe mtoni Mad Max karushia mtoto mtoni🤣🤣🤣😂😂😂Kazi mnayo
Hapa ngoja nimuulize M/Kiti
Umeuzwa mkuuHapa ngoja nimuulize M/Kiti
Huyu ana menzi cheupe🤩
😀😀😀Wanabaki wanashangaa
Tufanye kolabo mwanangu, tutoe jozi yetu😂😀😀😀Wanabaki wanashangaa
Aaah Ndoa muhimu mkuu😊Umeuzwa mkuu
DR HAYA LAND mwenyewe ameghairi chama cha kataa ndoa, ana mchumba sasa😂
Jozi sio mchezo 😂😂Tufanye kolabo mwanangu, tutoe jozi yetu😂