Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Kwako ndugu na Kaka yangu National Anthem, Tumekuwa marafiki wa muda mrefu katika dunia hii ya Kufikirika.

Furaha yako imekuwa furaha yangu pia, nichukue fursa hii kukupongeza wewe na mkeo kwa kufanikiwa kupata watoto mapacha siku ya jana😍😍.

Kheri ikawe kwenu na kwa familia yenu, nawa ahidi sitokuja kula sana endapo Nita alikwa 😂
😆.

👉note: nadhani hi ni wiki ya baraka kwa team jf usiku wa manane, kwani ndugu zetu watatu trudie, Mr kenice na national anthem wamepata watoto.


👉 I mean no malice to nobody, Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉Roho begani
View attachment 2605160

👉Picha haihusiani na taarifa.
Asante sana mkuu. Shukrani kwa kujali. Nilee sasa
 
Kwa unataka kusema nn mpendwa wetu
Jf ni ulimwengu mwingine, mfano wewe roho yako ikienda sayari nyingine yenye viumbe kama aliens halafu roho yako ikafanyika au kutokea katika namna ya mwili kama wao basi huo mwili utaitwa avatar, thats your avatar.

Hivyo hapa jf ni ulimwengu mwingine, mtu anaweza akaamka asubuhi akaandika post Nataka nijiue mke wangu kaninyima unyumba, kumbe yuko kwenye dark room anawasikilizia aki enjoy comments zenu.

NB: Its not a guarantee kila andiko halina uhalisia.
 
Watu mnaochukulia mambo siriaz humu mnachekesha sana!
Yanii mtu iwe kadanganya au ni kweli wee unaumia nini sasa ?? Don't takes things so serious wakuu kufatiliana mambo ya kishoga hayoo!!
 
Back
Top Bottom