Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Hivi kwanini unaringa kiasiki wewe mayu?Msajili wa vizazi- jf π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwanini unaringa kiasiki wewe mayu?Msajili wa vizazi- jf π
Hapana mkuu, Ni pongezi tuHongera mdau.
Namba za simu tafadhali tutume chochote.
Asante ππ- kwa niaba yakeHongera kwake jmn
WANANCHIIIIIIIIIIII
Asante ππ, kwa niaba yakeHongera
Eeeeh aty nin?
National Anthem kapata mapachaππEeeeh aty nin?
Mkuu siwezi kumchukia mtu nisiyemfahamu.Umeanza mbali sana, ila sijui chuki inatoka wapi mkuuπ€π€
Alfu ajabu huyo member aliyetajwa Ni wale wa kataa ndoA na picha za warembo wakali humo huko muda woteNina mashaka na hii taarifa, naona jamaa anaanzisha nyuzi za watu kupata watoto hadi inatia shaka, nitaamini ikiwa
National Anthem atakiri hili hapa.
Alianza na trudie
National Anthem ni muhuni mpenda utani usimtilie maananiAlfu ajabu huyo member aliyetajwa Ni wale wa kataa ndoA na picha za warembo wakali humo huko muda wote
Jf ni ulimwengu mwingine, hivi ushajifikiria kwa nini picha ya member mfano hio yako inaitwa avatar?Mbna huyu mwamba aikuwa kundi na katibu mkuu wa kataa ndoA au alikuja kupata ushauri nazaa
Anyway hongereni mam na Bab
Wooh aiseh vzuri sana Mungu azid kumbarikiNational Anthem kapata mapachaππ
I mean no malice to nobody, Hawa Ni marafiki zangu was karibu.Mkuu siwezi kumchukia mtu nisiyemfahamu.
Sina sababu na haitotokea.
Hofu yangu naona kama vile uzi ni wa kufurahisha tu.
Hii ni jf nimeona mengi, kabla ya kuamini jambo huwa napenda kujiridhisha.
Humu masihara ni ruksa so nisipoamini kirahisi sio rambi.
Mkuu siwezi kukuchukia hujawahi nikosea
Ni kweli? Maana Ankol bana haya hongera sana Ankol National Anthem kwa twins, nitakuja kuvilea πππππ
Bado zamu yakoo Cha ukorofiiWooh aiseh vzuri sana Mungu azid kumbariki
Kwa unataka kusema nn mpendwa wetuJf ni ulimwengu mwingine, hivi ushajifikiria kwa nini picha ya member mfano hio yako inaitwa avatar?
Congratulations ππππ kwake #ASAPKwako ndugu na Kaka yangu National Anthem, Tumekuwa marafiki wa muda mrefu katika dunia hii ya Kufikirika.
Furaha yako imekuwa furaha yangu pia, nichukue fursa hii kukupongeza wewe na mkeo kwa kufanikiwa kupata watoto mapacha siku ya janaππ.
Kheri ikawe kwenu na kwa familia yenu, nawa ahidi sitokuja kula sana endapo Nita alikwa π
π.
πnote: nadhani hi ni wiki ya baraka kwa team jf usiku wa manane, kwani ndugu zetu watatu trudie, Mr kenice na national anthem wamepata watoto.
π I mean no malice to nobody, Sera zetu π Panga mkononi
πRoho begani
View attachment 2605160
πPicha haihusiani na taarifa, moderators msiufute uzi wangu tafadhali, hii ni taarifa rasmi.