Uchaguzi 2020 Pongezi nyingi kwa kamati ya ushindi Chadema, hakika nyie ni wataalam wa siasa

Uchaguzi 2020 Pongezi nyingi kwa kamati ya ushindi Chadema, hakika nyie ni wataalam wa siasa

Napenda kuipongeza kamati ya ushindi Chadema kwa mkakati mzuri wa kuifanya Chadema kushinda uchaguzi huu, Mambo haya mmeyafanya kisayansi zaidi na kuibomoa kabisa ccm kiasi Cha kukosa Cha kuzungumza mbele ya watu, badala yake unaona mgombea wa ccm anasimama anasema, " Chadema wametumwa na mabeberu" bila kujibu hoja za wapinzani, mfano, utekaji watu, udhalilishaji wanawake, maisha magumu, uwazi wa raslimali taifa, misallocation ya pesa za vuja jasho la nchi hii, na mambo mengine mengi.

Niipongeze kamati iliyomteua kampeni meneja Wa T. Lisu, analitawala jukwaa vyema, niwapongeze walioiongoza tume kuwapa ratiba nzuri ya maeneo ya kufanyia kampeni, mmeanza na POTENTIAL ZONES na mmepata kuungwa mkono kwa asilimia kubwa, niwapongeze pia kwa kutokutumia picha nyingi za mgombea uraisi, maana picha hazizungumzi, na wananchi siyo wajinga, wanajua picha huwa ni danganya Toto, hongereni kwa kuandaa wasanii tulivu wasio maarufu lakini wameleta amshaamsha hata watu kucheza kwa furaha wakati mgombea uraisi akiwa anaingia jukwaani, mnastahiri NISHANI baada ya ushindi mkubwa mwezi October, 28.

MUNGU ANAJAMBO LAKE KUIONDOA CORONA TANZANIA


eti kamati ya what? 😂 😂 😂 😂
 
Yaliyotokea Mwanza jana mchana na usiku huu yanasema mengi sana kuhusu ccm kama mmeyasoma. Ccm inakufa hivyo.

Angalia mapokezi ya Magu mwanza tukufundishe nn maaana ya kishindo
 
Napenda kuipongeza kamati ya ushindi Chadema kwa mkakati mzuri wa kuifanya Chadema kushinda uchaguzi huu, Mambo haya mmeyafanya kisayansi zaidi na kuibomoa kabisa ccm kiasi Cha kukosa Cha kuzungumza mbele ya watu, badala yake unaona mgombea wa ccm anasimama anasema, " Chadema wametumwa na mabeberu" bila kujibu hoja za wapinzani, mfano, utekaji watu, udhalilishaji wanawake, maisha magumu, uwazi wa raslimali taifa, misallocation ya pesa za vuja jasho la nchi hii, na mambo mengine mengi.

Niipongeze kamati iliyomteua kampeni meneja Wa T. Lisu, analitawala jukwaa vyema, niwapongeze walioiongoza tume kuwapa ratiba nzuri ya maeneo ya kufanyia kampeni, mmeanza na POTENTIAL ZONES na mmepata kuungwa mkono kwa asilimia kubwa, niwapongeze pia kwa kutokutumia picha nyingi za mgombea uraisi, maana picha hazizungumzi, na wananchi siyo wajinga, wanajua picha huwa ni danganya Toto, hongereni kwa kuandaa wasanii tulivu wasio maarufu lakini wameleta amshaamsha hata watu kucheza kwa furaha wakati mgombea uraisi akiwa anaingia jukwaani, mnastahiri NISHANI baada ya ushindi mkubwa mwezi October, 28.

MUNGU ANAJAMBO LAKE KUIONDOA CORONA TANZANIA
Polepole na bashiru wanamfitini Magufuli kimya kimya, hawa wanatakiwa kushikishwa adabu.
 
angalia mapokezi ya magu mwanza tukufundishe nn maaana ya kishindo
Wasanii karibu wote walikusanywa, malori na mabasi yamesomba maelfu, wafanyakazi na wanafunzi wote wameshurutishwa kuhudhuria bila kukosa na vyombo vya dola vimetumika. Na hapo ni baada ya kuvifungia vyama vya siasa visifanye siasa, hapo ni baada ya kujigamba kwa SGR, madaraja, na kelele nyingi. Mtu aliyekuwa amelala kitandani muda wote akiuguza majeraha ya risasi zenu leo anawaendesha vibaya, kweli ni ajabu na kweli!
 
Wasanii karibu wote walikusanywa, malori na mabasi yamesomba maelfu, wafanyakazi na wanafunzi wote wameshurutishwa kuhudhuria bila kukosa na vyombo vya dola vimetumika. Na hapo ni baada ya kuvifungia vyama vya siasa visifanye siasa, hapo ni baada ya kujigamba kwa SGR, madaraja, na kelele nyingi. Mtu aliyekuwa amelala kitandani muda wote akiuguza majeraha ya risasi zenu leo anawaendesha vibaya, kweli ni ajabu na kweli!


kama kawaida yenu hamkosi uongo wa kusema, haya tufanye hayo yote alifanya: hapa je
1601116468394.png
 
Hakuna serikali imefanya ufisadi mkubwa kama serikali hii, Mayanga Constructions, uwanja wa ndege, hekta 25,000, watoto wa dada mtu wamejaa wizarani, trillion 1.5 za Bukoba zipo wapi?

vp kuhusu billion 8 za kigogo?
na hapa je?
1601117224807.png

najua we ni team lissu so wacha maelezo mengi maaana hakuna cha maaana utaongea
 
Nilippwaelewa zaidi ni walipoamua kuganda hiyo kanda ya ziwa na bukoba kubomoa ngome ya meko
 
Ccm Inasambaratika huku CDM ikisitawi inafurahisha.
CCM wakikaribia uchaguzi huvunja makundi na hiki ndio tunashudia Lowassa, Sumaye,Mzee Makamba,Jakaya Kikwete,Mizengo Pinda wanampigia Magufuli, pammoja wabunge na madiwani.
Chama sampuli hii kinajua wanatafuta kukamata dora tu si vinginevyo.Angalia Chadema nguvu kubwa imewekwa kwa Uraisi,lakini wabunge na madiwani ni kila mmoja na lwakake.
ACT wazalendo bara amejilipuwa baada mwenyekiti Maalim Seif kumkana Membe na kumkumbatia mgombea wa Chadema.Katika mazingira kama haya ACT kupata ushindi wa kishindo bara wa wabunge na madiwani ni kazi ngumu kweli kweli.
 
CCM wakikaribia uchaguzi huvunja makundi na hiki ndio tunashudia Lowassa, Sumaye,Mzee Makamba,Jakaya Kikwete,Mizengo Pinda wanampigia Magufuli, pammoja wabunge na madiwani.
Chama sampuli hii kinajua wanatafuta kukamata dora tu si vinginevyo.Angalia Chadema nguvu kubwa imewekwa kwa Uraisi,lakini wabunge na madiwani ni kila mmoja na lwakake.
ACT wazalendo bara amejilipuwa baada mwenyekiti Maalim Seif kumkana Membe na kumkumbatia mgombea wa Chadema.Katika mazingira kama haya ACT kupata ushindi wa kishindo bara wa wabunge na madiwani ni kazi ngumu kweli kweli.
Nani kakudanganya Mkuu? JK, Sumaye na Edo Jamaa na Marafiki zao ndiyo waathirika wakubwa wa awamu ya tano. Sasa wewe endelea kula chakula sahani moja na mtu mwenye kinyongo na wewe.
 
Back
Top Bottom