Pongezi Rais Samia kwa Kutuhisania Openness and Transparency Kwenye Uteuzi, Mnaonaje Ifanyike Kwenye Utenguzi na UtumbuzI Iwe ni Haki na Sio Hisani?

Nikisema wenye dhamana waliotokana na utaratibu ulikubaliwa na jamii unaona kama kweli ulikuwepo wakati wa utumwa?
Unadhani kipindi ambacho kiliona kwamba matabaka ni sawa na wengine wanazaliwa kuwatumikia wengine au wengine wana damu ya uongozi katika jamii husika utumwa haukuwa ndio utaratibu ?

Kwamba wewe babu yako kama alikuwa ana madeni au mfalme kaamua kumlaani kwamba vizazi na vizazi vyake vitakuwa watumwa haukuwa utaratibu ?

Au unadhani all Laws are Just ?!! Au unadhani Majority are Always Right -Argumentum ad populum
 
Watanzania tufike mahali tu demand the right to information wakati wa utumbuzi, mfano mpaka leo, sijawahigi kujua, kwanini Balozi Liberata Mulamula alitumbuliwa, sasa January Makamba nae ametumbuliwa, natamani kujua sababu. Sihitaji kujua sababu ya Nape kutumbuliwa itakuwa ni mdomo umemponza kwa ile kauli ya Waswahili ya "mzaha mzaha, hutumbua usaha", lakini kwa Byabato ana kosa gani?.

Nashauri tumsaidie Rais Samia, asifanye kitu kinachoitwa " bad karma accumulation" bila kujijua, japo uteuzi na utenguzi is at the pleasure of the appointing authority, ukimtumbua mtu bila haki, kwa namna inayomdhalilisha, huyo mtumbuliwa akiumia, ana develop bad karma ya maumivu yake, hiyo bad karma inahifadhiwa katika akiba ya karma accumulation ya aliyesababisha maumivu hayo!, hivyo hii accumulation ina pile up, ikifikia kuwa the pile is big enough hadi furushi hilo la karma likawa halibebeki, then hilo zigo la karma, litamuelemea mbebaji sometimes linaweza kumponza na ... ndio maana nimewashauri viongozi wetu wateuliwa Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma
P
 
habari.
Naomba mwenye kujua jina na hata picha ya mume wa rais samia anisaidie tafadhali
Kuulizia jina la mke wa mtu au mume wa mtu ni kuingilia the right to privacy ya mtu, ila kwa upande wa Rais wa JMT, mke wake au mume wake, yaani first lady na 1st gentleman nao pia ni paid by taxpayers money, hivyo the taxpayers have the right to public and private info za rais wao, hivyo nitakupatia info zote,kuanzia majina yake matatu, majina ya wenzi wao na majina ya watoto wao wote。 nisubirie nikutafutie。
P
 
Sawa
 
HBD Rais Samia!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…