Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
-
- #81
Unajua huyu Mpaji Mungu sio kama anamistari konki ila jamaa anajua kuteka hisia za mashabiki wake ndo.mana nipo tayri kwa dau lolote anaππππ€£π€£π€£ Atatoa tu ili goma litrend... Na mistari yako sasa ilivo mokali ni fayaπ₯
Mtafute yule msanii bubu wa congo, hiyo ngoma Ms R asipokuelewa naiaga dunia.Alhamdullilaah namshukuru Mungu mambo yanaenda kunyooka aiseee hapa nikitoa ngoma zaidi naweza kuta naoa kabisa..
Sasa mkuu naomba nitafutie wasanii wengine zaidi ili ngoma iwe kaliii
Mshamba weweTikTok
Ila nyie upcoming artist sijui mna Shida gani? Bado mnapambana na mavazi na wakati mi makampuni yanahangaika kupata nafasi ya kunivalisha... designers kibao wanancheki juzi nilimpa kazi Moja avalishe vinjunga team yangu nliokua nao tunaenjoy yatch lifeπππππ Alafu mtu kama wewe useme mtaani upo serious...
Hapa mkuu najipanga kuongea ma management yako ili nipate mkataba kabisa ila kingine kuhusu mavazi utamaliza wewe mkuu maana hyo $4000 ni kipande mkuu
dronedrake hizi beat hazipigwagiπ€£SIJIWEZI Lyrics By Poor Brain Featuring Ms R
VERSE 1 Poor Brain π§
Koh koh koh
Bomboclat
Oooh baby nataka nikwambie vile moyo wangu what i feel,
Are you ready uisikie nafsi yangu upande wa pili
Acha nijimalize kwako mi zaidi ya bwege, mi TID we ndo zeze nalipiga njoo tucheze
CHORUS Poor Brain
Oooh mapenzi yako mapenzi unanichanganya laaziz,
Sawa mahaba ila umezidisha dozi utanipa uchizi
Wallah sijiwezi we kuti na mkwezi, maganda bila ndizi,
Sawa mahaba ila umezidisha dozi utanipa uchizi
VERSE 2 Ms R
I got you you got me baby, uko sambamba na mimi my dady,
Iwe kwa shida na raha oooh baby, ooh baby, oooh my dady
Umenipa dozi daktari baba, umenificha mi sitoki ndani
Ntakupa dooh vitu vya thamani sijiwezi niko taabani.
Uwepo wako naamini maradhi yangu yatapona
And i will be waiting for this but now i found love.
In this song baby your dedication pack vitu twendege vacation
Twende far away no location au Zanzibar Indian ocean
Wacha nijimalize mi kwako zaidi ya bwege, mi TID na we ndo zeze nalipiga njoo tucheze
Oooh kipenzi yako mapenzi unanichanganya laaziz,
Sawa mahaba ila umezidisha dozi utanipa uchizi
Wallah sijiwezi we kuti na mkwezi, maganda bila ndizi,
Sawa mahaba ila umezidisha dozi utanipa uchizi
Ka mix laizer
Wa memchokoza beaaa
Kimambo on the beats
The mix killer
Director BICHWA KOMWE -
Maana huyo mkongo atakuja na vumbi kabisaπSizani kama hatoelewa mkuu unajua nimewekeza sana πππππ
πππππππππππππππππππ Nacheka kwa sauti huku......Ila nyie upcoming artist sijui mna Shida gani? Bado mnapambana na mavazi na wakati mi makampuni yanahangaika kupata nafasi ya kunivalisha... designers kibao wanancheki juzi nilimpa kazi Moja avalishe vinjunga team yangu nliokua nao tunaenjoy yatch life
MwenyeweMshamba wewe
ππππ Astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillahMaana huyo mkongo atakuja na vumbi kabisaπ
Ukiwa na bw. PB ndio utacheka zaidi ndio mambo yake hayo.Hahahaha nmecheka jamani π π π π π
πππππππππππππππππππππππππ Daaaah aiseeeeee....dronedrake hizi beat hazipigwagiπ€£
Chukua chuma hiko cha kisabato, mtoto hana gharama za saluni.ππππ Astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah
Unaanza sasa mambo yako
hapana aseeee sidanganyiki ng'oooUkiwa na bw. PB ndio utacheka zaidi ndio mambo yake hayo.
ππππ΄ aiseee kumbe tuna wasanii humuSIJIWEZI Lyrics By Poor Brain Featuring Ms R
VERSE 1 Poor Brain π§
Koh koh koh
Bomboclat
Oooh baby nataka nikwambie vile moyo wangu what i feel,
Are you ready uisikie nafsi yangu upande wa pili
Acha nijimalize kwako mi zaidi ya bwege, mi TID we ndo zeze nalipiga njoo tucheze
CHORUS Poor Brain
Oooh mapenzi yako mapenzi unanichanganya laaziz,
Sawa mahaba ila umezidisha dozi utanipa uchizi
Wallah sijiwezi we kuti na mkwezi, maganda bila ndizi,
Sawa mahaba ila umezidisha dozi utanipa uchizi
VERSE 2 Ms R
I got you you got me baby, uko sambamba na mimi my dady,
Iwe kwa shida na raha oooh baby, ooh baby, oooh my dady
Umenipa dozi daktari baba, umenificha mi sitoki ndani
Ntakupa dooh vitu vya thamani sijiwezi niko taabani.
Uwepo wako naamini maradhi yangu yatapona
And i will be waiting for this but now i found love.
In this song baby your dedication pack vitu twendege vacation
Twende far away no location au Zanzibar Indian ocean
Wacha nijimalize mi kwako zaidi ya bwege, mi TID na we ndo zeze nalipiga njoo tucheze
Oooh kipenzi yako mapenzi unanichanganya laaziz,
Sawa mahaba ila umezidisha dozi utanipa uchizi
Wallah sijiwezi we kuti na mkwezi, maganda bila ndizi,
Sawa mahaba ila umezidisha dozi utanipa uchizi
Ka mix laizer
Wa memchokoza beaaa
Kimambo on the beats
The mix killer
Director BICHWA KOMWE -
Hakudanganyi huyohapana aseeee sidanganyiki ng'ooo