Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
unajihami tu bwan ππSoma soma utaona comment ya mbaga jr kanyoosha mikono juu ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unajihami tu bwan ππSoma soma utaona comment ya mbaga jr kanyoosha mikono juu ππππ
Mkuu hakikisha umeonana na management yangu ulipe gharama za kutumia brand yangu kupeleka gazeti lako mjiniπView attachment 3064354
King of Pop Mpaji Mungu amekataa waziwazi mwaliko wa msanii chipukizi Poor Brain kwenye studio zao PBM zilizopo Mbezi Dar es saalam, Tanzania.
β’Akijibu kuhusu kukataa kufanya wimbo na Poor Brain Mpaji Mungu alisema ""kila msanii ana uhuru wa kufanya wimbo na yeyote anayetaka kufanya naye kazi lakini linapokuja suala la pesa huwa sina huruma na mtu.""
Wakati wakizindua nyimbo hiyo siku chache zilizopita, Mpaji Mungu alidokeza kuwa atafurahi sana kama atalipwa $4000 kama nyota mwenzake wa bongo fleva akitaka hiyo collabo.
Hata hivyo amejitokeza tajiri Vincenzo Jr anatamani awe meneja ili aweze kupeleka ngoma mjini ""Nimeamua kusapport kazi ya kijana mwenzangu, nitahakikisha anapata usimamizi mzuri "".
Umesha-imagine meneja mkubwa kama Vincenzo akisimamia hii ngoma live...
πππππππ
πππππππMkuu hakikisha umeonana na management yangu ulipe gharama za kutumia brand yangu kupeleka gazeti lako mjiniπ
Sema hili la kuvalishwa nguo za maombolezo linashughulikiwa na designer wangu ashawasiliana na mwanasheria wake
ππππ BICHWA KOMWE - kanikasirika jamni πππππunajihami tu bwan ππ
π€£π€£π€£View attachment 3064354
King of Pop Mpaji Mungu amekataa waziwazi mwaliko wa msanii chipukizi Poor Brain kwenye studio zao PBM zilizopo Mbezi Dar es saalam, Tanzania.
β’Akijibu kuhusu kukataa kufanya wimbo na Poor Brain Mpaji Mungu alisema ""kila msanii ana uhuru wa kufanya wimbo na yeyote anayetaka kufanya naye kazi lakini linapokuja suala la pesa huwa sina huruma na mtu.""
Wakati wakizindua nyimbo hiyo siku chache zilizopita, Mpaji Mungu alidokeza kuwa atafurahi sana kama atalipwa $4000 kama nyota mwenzake wa bongo fleva akitaka hiyo collabo.
Hata hivyo amejitokeza tajiri Vincenzo Jr anatamani awe meneja ili aweze kupeleka ngoma mjini ""Nimeamua kusapport kazi ya kijana mwenzangu, nitahakikisha anapata usimamizi mzuri "".
Umesha-imagine meneja mkubwa kama Vincenzo akisimamia hii ngoma live...
πππππππ
Kabisa kaka hii lazima iwe hitView attachment 3064354
King of Pop Mpaji Mungu amekataa waziwazi mwaliko wa msanii chipukizi Poor Brain kwenye studio zao PBM zilizopo Mbezi Dar es saalam, Tanzania.
β’Akijibu kuhusu kukataa kufanya wimbo na Poor Brain Mpaji Mungu alisema ""kila msanii ana uhuru wa kufanya wimbo na yeyote anayetaka kufanya naye kazi lakini linapokuja suala la pesa huwa sina huruma na mtu.""
Wakati wakizindua nyimbo hiyo siku chache zilizopita, Mpaji Mungu alidokeza kuwa atafurahi sana kama atalipwa $4000 kama nyota mwenzake wa bongo fleva akitaka hiyo collabo.
Hata hivyo amejitokeza tajiri Vincenzo Jr anatamani awe meneja ili aweze kupeleka ngoma mjini ""Nimeamua kusapport kazi ya kijana mwenzangu, nitahakikisha anapata usimamizi mzuri "".
Umesha-imagine meneja mkubwa kama Vincenzo akisimamia hii ngoma live...
πππππππ
ππππ Mara moja mojaπ€£π€£π€£
Nakutegemea sasa πππKabisa kaka hii lazima iwe hit
Tunaanzia wasafi media hii tukimaliza tunaenda clouds fm Cc ephen_Nakutegemea sasa πππ
Aahaπππππ tamu lakini inaumaila moyo una heka heka jamani..
πππππππππππ
umeielewa?πππππππππππ
Hayo unayosema mi sipo mkuu
Nimeielewa vzr tuu ..umeielewa?
shida uliona ya dakika 2 tuπ πNimeielewa vzr tuu ..
Mi nina D mbili mkuu... Hayo mambo madogo ππππ
NimekuelewaMmmmh mkuu hili neno ni kama msimu hvo halina nguvu kwa wachambuzi kule basata ni sawa na mtu aseme MAKUzi πππππππ
Umeona eeeeh...Nimekuelewa
Tatizo ni BASATA