Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages

Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages

Chikenpox

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2022
Posts
784
Reaction score
1,246
Breaking News Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages in the Roman catholic church and he has directed all Bishops and priests everywhere in the world to condemn this barbaric and satanic acts we call LGBTQ rights! The official Position of the Catholic Church is that LGBTQ rights should not be entertained on earth! Papa amekataa huu upuuzi na ujinga
 
Breaking News Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages in the Roman catholic church and he has directed all Bishops and priests everywhere in the world to condemn this barbaric and satanic acts we call LGBTQ rights! The official Position of the Catholic Church is that LGBTQ rights should not be entertained on earth! Papa amekataa huu upuuzi na ujinga
Povu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, as if hii ndiyo OVU kubwa kuliko yote! Sawa haifai kubariki same sex, same sex ni kinyume na maumbile ya binadamu sawa from the dictates of biology, all you can say about same sex filths, lkn nguvu mnayotumia kukemea kama ingelielekezwa kwenye mambo yetu mengine ya msingi, mbona tungelikuwa ahera duniani.
 
Huu ndio ukweli unatakiwa kusema na kanisa. Mungu awabariki waliowezesha kutamkwa hadharan kwa ukweli huu.

Neno lake linatosha kuliponya kanisa na kizazi hiki na kuondoa uvumi uliokuwepo kuwa kanisa liko nyuma juu ya ushetani ule kwa mgongo wa haki za binadamu.
JUMAPILI NJEMA KWA WOTE
 
Povu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, as if hii ndiyo OVU kubwa kuliko yote! Sawa haifai kubariki same sex, same sex ni kinyume na maumbile ya binadamu sawa from the dictates of biology, all you can say about same sex filths, lkn nguvu mnayotumia kukemea kama ingelielekezwa kwenye mambo yetu mengine ya msingi, mbona tungelikuwa ahera duniani.

Sidhan kama ni povu. Ni ku clear the air maana kuna rumors zilitokea kuwa amekubali
 
Breaking News Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages in the Roman catholic church and he has directed all Bishops and priests everywhere in the world to condemn this barbaric and satanic acts we call LGBTQ rights! The official Position of the Catholic Church is that LGBTQ rights should not be entertained on earth! Papa amekataa huu upuuzi na ujinga
Mtaongea sana kujikosha
Walioleta taarifa ya Papa kuwaunga mkono LGBTQ waliweka na source zenye link
Walioleta habari za maaskofu Ujeremani kuunga mkono hayo mambo walileta na source zenye linki

Sasa wewe mkazi wa Buza hebu tutendee haki kutiwekea chanzo cha taafifa yako ili tuoamini au ndo walewale mnaozinduka usingizini na kupost
 
Povu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, as if hii ndiyo OVU kubwa kuliko yote! Sawa haifai kubariki same sex, same sex ni kinyume na maumbile ya binadamu sawa from the dictates of biology, all you can say about same sex filths, lkn nguvu mnayotumia kukemea kama ingelielekezwa kwenye mambo yetu mengine ya msingi, mbona tungelikuwa ahera duniani.
Taarifa ina uongo mwingi kuliko ukweli
 
Breaking News Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages in the Roman catholic church and he has directed all Bishops and priests everywhere in the world to condemn this barbaric and satanic acts we call LGBTQ rights! The official Position of the Catholic Church is that LGBTQ rights should not be entertained on earth! Papa amekataa huu upuuzi na ujinga
Na hili ndo kanisa na la kweli na juu ya mwamba limejenhwa
 
Huu ndio ukweli unatakiwa kusema na kanisa. Mungu awabariki waliowezesha kutamkwa hadharan kwa ukweli huu.

Neno lake linatosha kuliponya kanisa na kizazi hiki na kuondoa uvumi uliokuwepo kuwa kanisa liko nyuma juu ya ushetani ule kwa mgongo wa haki za binadamu.
JUMAPILI NJEMA KWA WOTE
Tangu mwanzo Papa hakuwahi kuunga mkono eti ndoa za jinsia moja. Alisema wazi kuwa ni dhambi. Akafafanua kuwa hakuna mwanadamu mwenye mamlaka ya kubariki dhambi.

Alichokuwa amekemea, na ambacjo watu wengine wakageuza na kusema kuwa eti Papa amebariki ndoa za jinsia moja, ni pale alipozuia kuwatenga hawa watu. Alisema wazi kuwa pamoja na hayo matendo yao yasiyokubalika, bado ni wanadamu, Mungu anawapenda kama viumbe vyake, Kanisa liwapokee kwa nia ya kuwapa mafundisho ya kuwabadilisha. Alikemea tabia ya kuweka sheria kali dhidi yao maana kuna baadhi ya mataifa, hao watu, adhabu yao ni kifo. Hicho ndicho alichokipinga.

Kusaini waraka maalum wa kichungaji unaotamka wazi jambo hili haliruhusiwi na kupata baraka za Kanisa, ni kuweka msisitizo, na kuzuia kabisa wale waliotaka kutumia kauli yake kama njia ya kuruhusu mambo hayo kukubalika ndani ya KANISA.

Hata kama Serikali zote za Dunia, zikasema jambo hilo ni halali, Kanisa ni lazima lisimame katika mafundisho yake. Ikifika hapo, Kanisa linene kwa kauli iliyo thabiti, kama alivyonena Joshua:

Basi sasa mcheni BWANA, mkamtumikie kwa unyofu wa moyo na kwa kweli; na kuiweka mbali miungu ambayo baba zenu waliitumikia ng'ambo ya Mto, na huko Misri; mkamtumikie yeye BWANA. Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng'ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
 
Breaking News Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages in the Roman catholic church and he has directed all Bishops and priests everywhere in the world to condemn this barbaric and satanic acts we call LGBTQ rights! The official Position of the Catholic Church is that LGBTQ rights should not be entertained on earth! Papa amekataa huu upuuzi na ujinga
When you try to console you own.

Leta chanzo hapa!
 
Povu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, as if hii ndiyo OVU kubwa kuliko yote! Sawa haifai kubariki same sex, same sex ni kinyume na maumbile ya binadamu sawa from the dictates of biology, all you can say about same sex filths, lkn nguvu mnayotumia kukemea kama ingelielekezwa kwenye mambo yetu mengine ya msingi, mbona tungelikuwa ahera duniani.
Sasa same sex marriage na ushoga ni dogo?
 
Povu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, as if hii ndiyo OVU kubwa kuliko yote! Sawa haifai kubariki same sex, same sex ni kinyume na maumbile ya binadamu sawa from the dictates of biology, all you can say about same sex filths, lkn nguvu mnayotumia kukemea kama ingelielekezwa kwenye mambo yetu mengine ya msingi, mbona tungelikuwa ahera duniani.
Toka hadharani uanze kubariki wizi na kutaka uhalalishwe uone nguvu itakayotumika kukushambulia. Ushoga unashambuliwa kwa nguvu zaidi sababu mnataka kuuhalalisha.
 
Back
Top Bottom