Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Siyo jukumu langu kuthibitisha taarifa sliyoileta mwingineTaarifa sahihi hiyo. Fuatilia vyombo vya habari maarufu duniani wametangaza. Kuwa wa kijitali zaidi sio kianalogi ndugu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo jukumu langu kuthibitisha taarifa sliyoileta mwingineTaarifa sahihi hiyo. Fuatilia vyombo vya habari maarufu duniani wametangaza. Kuwa wa kijitali zaidi sio kianalogi ndugu.
Proud to be a Roman Catholic follower 💪Breaking News Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages in the Roman catholic church and he has directed all Bishops and priests everywhere in the world to condemn this barbaric and satanic acts we call LGBTQ rights! The official Position of the Catholic Church is that LGBTQ rights should not be entertained on earth! Papa amekataa huu upuuzi na ujinga
Unachotaka ni nini? Si umeomba source au? Unahitaji ushahidi wa vitendo au?Siyo jukumu langu kuthibitisha taarifa sliyoileta mwingine
Hujaona source hapo!Japokuwa ni taarifa nzuri na njema kwa sisi wote tunaopinga ushoga, lakini taarifa yenyewe imekaa kipropaganda na uongo mwingi, kwa sababu zifuatazo;
1. Taarifa haina source.
2. Taarifa haisemi hilo tamko la Papa limetolewa lini na wapi.
3. Taarifa nzima imekaa kishabiki na kihisia badala ya kuandika facts&details
4. Taarifa ipo kiujumla mnoo kuliko kulenga eneo au jambo mahsusi.
Punguza manenoUnachotaka ni nini? Si umeomba source au? Unahitaji ushahidi wa vitendo au?
Kheee..!!! Dunia imejaa mashaka sana wallah..!! Sasa uwe wazi basi kama unatetea ushoga useme au kama huutetei pia useme..!!Povu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, as if hii ndiyo OVU kubwa kuliko yote! Sawa haifai kubariki same sex, same sex ni kinyume na maumbile ya binadamu sawa from the dictates of biology, all you can say about same sex filths, lkn nguvu mnayotumia kukemea kama ingelielekezwa kwenye mambo yetu mengine ya msingi, mbona tungelikuwa ahera duniani.
NI sawa na kusema duniani unapoishi wewe mashoga wapo..!! Hii haimaanishi wewe unaunga mkono..!!Ila ndani ya kundi analoliongoza mashoga wapo.
Stupid bladfaken bastard boy!Unapenda mitifuano? Wewe ni mwanachama wa mambo hayo? Mbona povu la kupinga aliyoyasema Papa kubwa sana? Kilichoelezwa kwenye uzi ni tofauti na ulichoandika wewe!!!
nani yupo Tanga, huku tunakuja kuksanya kodi na kurudi kwetu!Na nyie hapo Tanga hameni kwenye Magofu 😆😆
Two incomparable scenarios! ushoga unavunja haki ya nani? Wizi ni legal issue na ushoga ni moral issueUshoga unashambuliwa kwa nguvu zaidi sababu mnataka kuuhalalisha.
Ni dogo maana halivunji haki ya mtu! ni dogo, ni internal/personal issueSasa same sex marriage na ushoga ni dogo?
Poleni sana. Na papa kakataaPovu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, as if hii ndiyo OVU kubwa kuliko yote! Sawa haifai kubariki same sex, same sex ni kinyume na maumbile ya binadamu sawa from the dictates of biology, all you can say about same sex filths, lkn nguvu mnayotumia kukemea kama ingelielekezwa kwenye mambo yetu mengine ya msingi, mbona tungelikuwa ahera duniani.
Uelewa wako ni mdogo. mimi sitetei ushoga, ushogo moraly siyo kitu kizuri lkn haikuhusu. Hizo ni personal issues, non of your business!Poleni sana. Na papa kakataa
Umeandika kirahisi mnoo kuliko uhalisia. Ngoja nikupe uhalisia.Safi sana Papa Francis, i was waiting so long kujua position ya RC from Roma, sbb Anglican UK wao wamebariki ushoga..
Huu ni uamuzi mtakatifu kabisa duniani, sbb sasa US, EU hawana uwezo wa kushindana na Kanisa Katoliki, RC ndio Kanisa lenye nguvu kuu dunia hii kwa sasa, kuliko serikali zote duniani combined, kwa wale wenye kujua wameelewa.
Sasa nchi nyingi duniani zitapinga na kupiga marufuku ushoga wazi wazi kwa kufuata Kanisa Katoliki, at last dunia inaokolewa ingawa tumechelewa kidogo.
Hatimaye, Mungu kupitia RC anatuepusha na laana kuu, Amen.
Brother na wewe umeingiaje huko? Tatizo la ushoga ni kubwa mno kuliko tunavyofikiri. Na wewe kumbeStupid bladfaken bastard boy!
Hizi ni sababu kwa nini ninabaki kuwa mkatoliki.Breaking News Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages in the Roman catholic church and he has directed all Bishops and priests everywhere in the world to condemn this barbaric and satanic acts we call LGBTQ rights! The official Position of the Catholic Church is that LGBTQ rights should not be entertained on earth! Papa amekataa huu upuuzi na ujinga