Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages

Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages

Breaking News Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages in the Roman catholic church and he has directed all Bishops and priests everywhere in the world to condemn this barbaric and satanic acts we call LGBTQ rights! The official Position of the Catholic Church is that LGBTQ rights should not be entertained on earth! Papa amekataa huu upuuzi na ujinga
Proud to be a Roman Catholic follower 💪
 
Japokuwa ni taarifa nzuri na njema kwa sisi wote tunaopinga ushoga, lakini taarifa yenyewe imekaa kipropaganda na uongo mwingi, kwa sababu zifuatazo;

1. Taarifa haina source.
2. Taarifa haisemi hilo tamko la Papa limetolewa lini na wapi.
3. Taarifa nzima imekaa kishabiki na kihisia badala ya kuandika facts&details
4. Taarifa ipo kiujumla mnoo kuliko kulenga eneo au jambo mahsusi.
Hujaona source hapo!
 
Povu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, as if hii ndiyo OVU kubwa kuliko yote! Sawa haifai kubariki same sex, same sex ni kinyume na maumbile ya binadamu sawa from the dictates of biology, all you can say about same sex filths, lkn nguvu mnayotumia kukemea kama ingelielekezwa kwenye mambo yetu mengine ya msingi, mbona tungelikuwa ahera duniani.
Kheee..!!! Dunia imejaa mashaka sana wallah..!! Sasa uwe wazi basi kama unatetea ushoga useme au kama huutetei pia useme..!!
 
Unapenda mitifuano? Wewe ni mwanachama wa mambo hayo? Mbona povu la kupinga aliyoyasema Papa kubwa sana? Kilichoelezwa kwenye uzi ni tofauti na ulichoandika wewe!!!
Stupid bladfaken bastard boy!
 
Ushoga unashambuliwa kwa nguvu zaidi sababu mnataka kuuhalalisha.
Two incomparable scenarios! ushoga unavunja haki ya nani? Wizi ni legal issue na ushoga ni moral issue
 
Povu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, as if hii ndiyo OVU kubwa kuliko yote! Sawa haifai kubariki same sex, same sex ni kinyume na maumbile ya binadamu sawa from the dictates of biology, all you can say about same sex filths, lkn nguvu mnayotumia kukemea kama ingelielekezwa kwenye mambo yetu mengine ya msingi, mbona tungelikuwa ahera duniani.
Poleni sana. Na papa kakataa
 
Safi sana Papa Francis, i was waiting so long kujua position ya RC from Roma, sbb Anglican UK wao wamebariki ushoga..

Huu ni uamuzi mtakatifu kabisa duniani, sbb sasa US, EU hawana uwezo wa kushindana na Kanisa Katoliki, RC ndio Kanisa lenye nguvu kuu dunia hii kwa sasa, kuliko serikali zote duniani combined, kwa wale wenye kujua wameelewa.

Sasa nchi nyingi duniani zitapinga na kupiga marufuku ushoga wazi wazi kwa kufuata Kanisa Katoliki, at last dunia inaokolewa ingawa tumechelewa kidogo.

Hatimaye, Mungu kupitia RC anatuepusha na laana kuu, Amen.
Umeandika kirahisi mnoo kuliko uhalisia. Ngoja nikupe uhalisia.

1. Baadhi ya nchi (hususani Ujerumani) kanisa katoliki limepitisha azimio la kuwatambua na kuwabariki waumini na viongozi mashoga. Mpaka sasa Vatican haijachukua hatua yoyote ya kuwafukuza au kuwatenga maaskofu wa kanisa katoliki nchini Ujerumani. Kwa lugha nyepesi sana, Kanisa Katoliki la Ujerumani lina nguvu kubwa ya kuitikisa Vatican!

2. Kanisa katoliki hubadilisha misimamo na mitizamo yake mbalimbali kulingana na nyakati, mazingira na misukumo ya kijamii. Mfano halisi ni suala la uzazi wa mpango. Kwa hiyo hata hili la mambo ya Ushoga lolote linaweza kutokea kupitia kanisa katoliki hivyo usije ukashangaa.

3. Kanisa katoliki halifungwi sana na kile kilichoandikwa ndani ya Biblia, linafungwa zaidi na tamko la vatican (kile kitakachoamriwa na papa na baraza lake tu), na tamko hilo huenda likabadilika, kuboreshwa au kufutwa baada ya muda fulani. Hivyo omba sana Mungu ili papa na wale wanaomzunguka wasikutwe na huo upepo wa kishoga.

4. Msimamo wa waumini wa katoliki Ulaya na kwa sehemu fulani America ndio wenye nguvu kubwa katika kuliendesha kanisa Katoliki duniani (kama huamini hilo, tazama nani huchukua cheo cha upapa, na makadinali wengi hutokea wapi), sasa kile kinachoendelea ulaya kijamii, taratibu taratibu ndicho hicho hicho utakuja kukikuta ndani ya kanisa katoliki.

5. Kwa sehemu kubwa sana, kanisa Katoliki limepoteza nguvu ya ushawishi kijamii katika nchi nyingi za ulaya (waumini wamepungua, waumini wengi hawafuati misimamo ya kanisa, idadi ya makasisi imepungua, kashfa za ubakaji zimelikumbuka kanisa, makanisa mengi yamefungwa), hivyo njia yoyote (hata ya kuhalalisha visivyofaa kama ushoga) huenda ikatumika na kanisa Katoliki ili kufufua ushawishi na kukubalika.
 
Breaking News Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages in the Roman catholic church and he has directed all Bishops and priests everywhere in the world to condemn this barbaric and satanic acts we call LGBTQ rights! The official Position of the Catholic Church is that LGBTQ rights should not be entertained on earth! Papa amekataa huu upuuzi na ujinga
Hizi ni sababu kwa nini ninabaki kuwa mkatoliki.
 
Back
Top Bottom