Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Unavunja haki ya uzao na muendelezo wa vizazi, mashoga yasingezaliwa kama wazazi wao wangekuwa mashoga. Haki inaenda na wajibu. Ni wajibu wa mwanaume kuwa mwanaume.Two incomparable scenarios! ushoga unavunja haki ya nani? Wizi ni legal issue na ushoga ni moral issue