Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unateseka ukiwa wapi?Mtaongea sana kujikosha
Walioleta taarifa ya Papa kuwaunga mkono LGBTQ waliweka na source zenye link
Walioleta habari za maaskofu Ujeremani kuunga mkono hayo mambo walileta na source zenye linki
Sasa wewe mkazi wa Buza hebu tutendee haki kutiwekea chanzo cha taafifa yako ili tuoamini au ndo walewale mnaozinduka usingizini na kupost
Povu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, as if hii ndiyo OVU kubwa kuliko yote! Sawa haifai kubariki same sex, same sex ni kinyume na maumbile ya binadamu sawa from the dictates of biology, all you can say about same sex filths, lkn nguvu mnayotumia kukemea kama ingelielekezwa kwenye mambo yetu mengine ya msingi, mbona tungelikuwa ahera duniani.
Kama adhabu mbona sasa tunaadhibiwa sana kwani we huoni madhila yaliyoikumba dunia ndani ya hii miaka mitano, hiyo yote ni kuonesha binadamu tumekithirisha maasi tena yale mabaya zaidi.Hivi ikitokea dunia nzima na serikali zote zikaamua pinga hili swala la LGBTQ, je dunia haitapendeza?
Au twamsubiri Mungu afanye kama Sodoma na Gomorra?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Huyu ndio papaPope Francis says priests cannot bless same-sex unions…
Kwani wewe unampenda shetani?Unateseka ukiwa wapi?
Mnajidai Kanisa Katoliki hamlipendi ila mnapenda sana kufuatilia habari zake!.
Pope Francis says priests cannot bless same-sex unions, dashing hopes of gay CatholicsLete chanzo cha taarifa.
Ukweli upo kwenye taarifa zote za awali kuhusu matamko ya pontifa juu ya hao jamaa. Na msalaba wa rangirangi aliuvaa.Tuambie huo ukweli
waanzie chama lenu, US na NATO kwanzaHivi ikitokea dunia nzima na serikali zote zikaamua pinga hili swala la LGBTQ, je dunia haitapendeza?
Breaking News Baba Mtakatifu Francisko ametia saini agizo la kuwakataza Mapadre au Maaskofu kubariki ndoa za Jinsia Moja katika kanisa katoliki la Roma na amewaelekeza Maaskofu na mapadre wote kila mahali duniani kukemea vitendo hivi vya kinyama na vya kishetani tunavyoviita haki za LGBTQ! Msimamo rasmi wa Kanisa Katoliki ni kwamba haki za LGBTQ zisiburudishwe duniani! Papa amekataa huu upuuzi na ujingaBreaking News Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages in the Roman catholic church and he has directed all Bishops and priests everywhere in the world to condemn this barbaric and satanic acts we call LGBTQ rights! The official Position of the Catholic Church is that LGBTQ rights should not be entertained on earth! Papa amekataa huu upuuzi na ujinga
Taarifa sahihi hiyo. Fuatilia vyombo vya habari maarufu duniani wametangaza. Kuwa wa kijitali zaidi sio kianalogi ndugu.Mtaongea sana kujikosha
Walioleta taarifa ya Papa kuwaunga mkono LGBTQ waliweka na source zenye link
Walioleta habari za maaskofu Ujeremani kuunga mkono hayo mambo walileta na source zenye linki
Sasa wewe mkazi wa Buza hebu tutendee haki kutiwekea chanzo cha taafifa yako ili tuoamini au ndo walewale mnaozinduka usingizini na kupost
Japokuwa ni taarifa nzuri na njema kwa sisi wote tunaopinga ushoga, lakini taarifa yenyewe imekaa kipropaganda na uongo mwingi, kwa sababu zifuatazo;Breaking News Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages in the Roman catholic church and he has directed all Bishops and priests everywhere in the world to condemn this barbaric and satanic acts we call LGBTQ rights! The official Position of the Catholic Church is that LGBTQ rights should not be entertained on earth! Papa amekataa huu upuuzi na ujinga
Breaking News Pope Francis has signed a decree to forbid Priests or bishops to bless Same Sex marriages in the Roman catholic church and he has directed all Bishops and priests everywhere in the world to condemn this barbaric and satanic acts we call LGBTQ rights! The official Position of the Catholic Church is that LGBTQ rights should not be entertained on earth! Papa amekataa huu upuuzi na ujinga
Wewe naye!!! Soma post na.21 na 26 upate mwanga wa ukweli. Pia pitia vyombo mbalimba vya habari duniani upate kujua.Japokuwa ni taarifa nzuri na njema kwa sisi wote tunaopinga ushoga, lakini taarifa yenyewe imekaa kipropaganda na uongo mwingi, kwa sababu zifuatazo;
1. Taarifa haina source.
2. Taarifa haisemi hilo tamko la Papa limetolewa lini na wapi.
3. Taarifa nzima imekaa kishabiki na kihisia badala ya kuandika facts&details
4. Taarifa ipo kiujumla mnoo kuliko kulenga eneo au jambo mahsusi.
Japokuwa ni taarifa nzuri na njema kwa sisi wote tunaopinga ushoga, lakini taarifa yenyewe imekaa kipropaganda na uongo mwingi, kwa sababu zifuatazo;
1. Taarifa haina source.
2. Taarifa haisemi hilo tamko la Papa limetolewa lini na wapi.
3. Taarifa nzima imekaa kishabiki na kihisia badala ya kuandika facts&details
4. Taarifa ipo kiujumla mnoo kuliko kulenga eneo au jambo mahsusi.
Na nyie hapo Tanga hameni kwenye Magofu 😆😆Povu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, as if hii ndiyo OVU kubwa kuliko yote! Sawa haifai kubariki same sex, same sex ni kinyume na maumbile ya binadamu sawa from the dictates of biology, all you can say about same sex filths, lkn nguvu mnayotumia kukemea kama ingelielekezwa kwenye mambo yetu mengine ya msingi, mbona tungelikuwa ahera duniani.
Unapenda mitifuano? Wewe ni mwanachama wa mambo hayo? Mbona povu la kupinga aliyoyasema Papa kubwa sana? Kilichoelezwa kwenye uzi ni tofauti na ulichoandika wewe!!!Povu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, as if hii ndiyo OVU kubwa kuliko yote! Sawa haifai kubariki same sex, same sex ni kinyume na maumbile ya binadamu sawa from the dictates of biology, all you can say about same sex filths, lkn nguvu mnayotumia kukemea kama ingelielekezwa kwenye mambo yetu mengine ya msingi, mbona tungelikuwa ahera duniani.