Unavunja haki ya uzao na muendelezo wa vizazi, mashoga yasingezaliwa kama wazazi wao wangekuwa mashoga. Haki inaenda na wajibu. Ni wajibu wa mwanaume kuwa mwanaume.Two incomparable scenarios! ushoga unavunja haki ya nani? Wizi ni legal issue na ushoga ni moral issue
Nakwambia bladifaken, bastard. Our lines of argument are different. Ushoga siyo jinai. Ni personal issues! kama ilivyo ndoa za kawaida. Ni kwa vile hatujazoea na dini zinatuhubiria hivyo tangu utotoni, which is good! . lakini ukiwa na open mind and think a bit deep utaona ushoga ni quite a personal issue. Mimi siuungi mkono hata kidogo. lakini anayefanya achana naye afanye inakuhusu nini? hajavunja haki ya mtu yeyote.Brother na wewe umeingiaje huko? Tatizo la ushoga ni kubwa mno kuliko tunavyofikiri. Na wewe kumbe
But that does not qualify to be a violation of anybody's rights! Si rahisi kuelewa my line of argument! Kwenye mwili wangu hakuna wajibu kutoka nje ya mwili wangu!Unavunja haki ya uzao na muendelezo wa vizazi, mashoga yasingezaliwa kama wazazi wao wangekuwa mashoga. Haki inaenda na wajibu. Ni wajibu wa mwanaume kuwa mwanaume.
Mbona hamsemi hayo mamboPovu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, as if hii ndiyo OVU kubwa kuliko yote! Sawa haifai kubariki same sex, same sex ni kinyume na maumbile ya binadamu sawa from the dictates of biology, all you can say about same sex filths, lkn nguvu mnayotumia kukemea kama ingelielekezwa kwenye mambo yetu mengine ya msingi, mbona tungelikuwa ahera duniani.
Causa finitoRoman has spoken,
Inatakiwa utofautishe hapo, wizi unaathiri maisha ya watu hata wasio wezi hivyo ni lazima upingwe.Toka hadharani uanze kubariki wizi na kutaka uhalalishwe uone nguvu itakayotumika kukushambulia. Ushoga unashambuliwa kwa nguvu zaidi sababu mnataka kuuhalalisha.
Ni tatizo iwapo utafanyia promotion. Kama unafanya iwe siri yako na basha wako, ikishatoka nje na ikathibitika unafanya hivyo vitendo tayari ni tatizo.But that does not qualify to be a violation of anybody's rights! Si rahisi kuelewa my line of argument! Kwenye mwili wangu hakuna wajibu kutoka nje ya mwili wangu!
Lastly ushoga kwenye jamii yetu ni haramu , lakini siyo uhaini, jinai!
Tatizo kwa vipi, ni tatizo gani? litajetayari ni tatizo.
Uonevu wa nchi za kiafrika, za kifalme maana nchi zetu sisi ni objects wa rais/mfalme/Mungu hatuna maamuzi juu yetu.Kama kujiuza tu. Kufanya ngono si jinai ila ukikamatwa unafanya biashara ya ngono una tatizo.
Tatizo la mwanaume kuingiliwa kama mwanamke. Hilo ni tatizo.Tatizo kwa vipi, ni tatizo gani? litaje
Tunayo. Wasiotaka ni wengi kuliko wanaotaka otherwise viongozi wangekuwa na presha kubwa kutoka kwa jamii.Uonevu wa nchi za kiafrika, za kifalme maana nchi zetu sisi ni objects wa rais/mfalme/Mungu hatuna maamuzi juu yetu.
How? be objective... kwamba akiingliwa mwanamume dunia/mtu/kijiiji/kanisa/msikiti inakosa haki /RIGHTS hii na hii!Tatizo la mwanaume kuingiliwa kama mwanamke. Hilo ni tatizo.
Warumi 8:35 Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je! Ni dhiki au shida, au adha, au njaa, au uchi, au hatari, au upanga?Povu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, as if hii ndiyo OVU kubwa kuliko yote! Sawa haifai kubariki same sex, same sex ni kinyume na maumbile ya binadamu sawa from the dictates of biology, all you can say about same sex filths, lkn nguvu mnayotumia kukemea kama ingelielekezwa kwenye mambo yetu mengine ya msingi, mbona tungelikuwa ahera duniani.
siyo afrika. Madikiteita wengi wako afrika, mbona hakuna resistanceTunayo. Wasiotaka ni wengi kuliko wanaotaka otherwise viongozi wangekuwa na presha kubwa kutoka kwa jamii.
Krito unamjua wewe , kuna wapagani hawana dini, unasemajeWarumi 8:35 Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je! Ni dhiki au shida, au adha, au njaa, au uchi, au hatari, au upanga?