Pope Francis: Ndoa za jinsia moja ni dhambi lakini wahusika wakaribishwe kanisani wasitengwe na ikibidi kupewa baraka

Pope Francis: Ndoa za jinsia moja ni dhambi lakini wahusika wakaribishwe kanisani wasitengwe na ikibidi kupewa baraka

Hali si Hali huko Vatican na Kanisa Katoliki Duniani Kwa Papa Francis kubadili GIA Angani akidai watu wanapotosha taarifa ya mafundisho yake.

Adai kinachotakiwa Kubarikiwa ni vitu vyao ila sio Ndoa zao 🤣🤣🤣

My Take
Acheni kutapatapa,Kwa asili yake RC linakubaliana na Ushoga ndio maana Kwa miaka Mingi Makasisi wake Wana kashfa za ulawiti na Kanisa Huwa linaficha.
"ETI NGURUWE MIMI SILAGI ILA NAKUNYWA MCHUZI WAKE TU HA HA HA AH"
 
Kama wanataka kuhalalisha usenge huo,basi watolee ufafanuzi kwanini Mungu aliupiga kiberiti mji wa sodoma na gomora.
By the way,who is papa?
Unauliza Papa ni nani? Ni Muwakilishi wa Mungu kwa Wakatoliki wote Duniani

Ndivyo ilivyo na mbona Wakatoliki kila mara humu wanakiri na kulijua hilo?

Tusianze kujaribu kutotambua nafasi ya Papa, cha muhimu ni kuonesha msimamo wa kutokukubaliana nae katika mambo ya Ushoga kama walivyofanya Maaskofu wa Malawi, Kenya na Zambia.
 
Ushoga hauangalii nani anafanya.
Bali ni dhambi tu,hata afanye muislam bado ni dhambi,kama wanafanya wajue wanapata dhambi.shida papa anataka ifanywe halal hapa ndipo tunapompinga.
Hauwezi kumkataza mtu kufanya ni maamuzi yake.ila si kuhalalisha.
Leo umeandika kwa kushirikisha AKILI sio Hisia na Mihemko
 
Hali si Hali huko Vatican na Kanisa Katoliki Duniani Kwa Papa Francis kubadili GIA Angani akidai watu wanapotosha taarifa ya mafundisho yake.

Adai kinachotakiwa Kubarikiwa ni vitu vyao ila sio Ndoa zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

My Take
Acheni kutapatapa,Kwa asili yake RC linakubaliana na Ushoga ndio maana Kwa miaka Mingi Makasisi wake Wana kashfa za ulawiti na Kanisa Huwa linaficha.
Umekosea sana.
Kanisa halikubaliani na mambo hayo ya ushoga, kama wapo wanao tenda matendo hayo machafu hizo ni tabia zao sio mafundisho ya kanisa.
 
Hali si Hali huko Vatican na Kanisa Katoliki Duniani Kwa Papa Francis kubadili GIA Angani akidai watu wanapotosha taarifa ya mafundisho yake.

Adai kinachotakiwa Kubarikiwa ni vitu vyao ila sio Ndoa zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

My Take
Acheni kutapatapa,Kwa asili yake RC linakubaliana na Ushoga ndio maana Kwa miaka Mingi Makasisi wake Wana kashfa za ulawiti na Kanisa Huwa linaficha.
acha kumsingizia pope
 
Yule Papa ni Mpumbavu sana namuita mpumbavu kwa sabb muda wote anazungumzia mambo hayo hayo tu...!!
 
Hali si Hali huko Vatican na Kanisa Katoliki Duniani Kwa Papa Francis kubadili GIA Angani akidai watu wanapotosha taarifa ya mafundisho yake.

Adai kinachotakiwa Kubarikiwa ni vitu vyao ila sio Ndoa zao 🤣🤣🤣

My Take
Acheni kutapatapa,Kwa asili yake RC linakubaliana na Ushoga ndio maana Kwa miaka Mingi Makasisi wake Wana kashfa za ulawiti na Kanisa Huwa linaficha.
Hajabadili gia, msimamo wa kanisa ni ule ule, sisi wapotoshaji huku nchi maskini tunaokumbatia manabi wazungu na kuwakana manabii wa kitanzania akina mwamposa, gwajima na mzee wa upako ndio tunaleta tafsiri zetu eti oo sio kuwabariki ni kuwatambua, kuwapenda na bla bla kibao ila issue ni kwamba Mwanaume akipata mwanaume mwenzie wakienda kweli hilo dhehebu wanafungishwa ndoa na kubarikiwa.
 
Kwamba papa anabariki kazi na vitu vya mashoga ila sio mashoga wenyewe, hizo akili ama bangi?

Kwamba kitimoto huli ila mchuzi wake unakunywa.

Watu wakiambiwa hizi dini ni taasisi za kitapeli Mungu hayupo watu hawataki kuelewa.

Sasa huyo ni Mungu gani asie na akili ambae yeye mwenyewe hataki ushoga ila ameruhusu watu wake kama Papa wabariki kazi za mashoga,.

Mungu akiacha kuneemesha kazi za watenda dhambi kuna mtu atabaki salama? Maana dhambi sio ushoga tu. Tunaishi kwa Neema. Neema ya Mungu ndo daraja linalomuunganisha Mungu na Mwanadamu hata katika udhaifu wake.

Wote tunastahili msamaha na wokovu ni kwa wote. Papa amejieleza vizuri tu ila propaganda za ki anti-christ ndo zimetawala katika kupotosha umma.
 
Dunia ina matatizo mengi yanayogusa jamii kubwa ya watu ila Papa amekomaa na ushoga kila ninapomsikia.
Kuna kitu hakiko sawa kwenye hii taasisi ila tumekuwa waoga kuhoji.
 
Kwamba papa anabariki kazi na vitu vya mashoga ila sio mashoga wenyewe, hizo akili ama bangi?

Kwamba kitimoto huli ila mchuzi wake unakunywa.

Watu wakiambiwa hizi dini ni taasisi za kitapeli Mungu hayupo watu hawataki kuelewa.

Sasa huyo ni Mungu gani asie na akili ambae yeye mwenyewe hataki ushoga ila ameruhusu watu wake kama Papa wabariki kazi za mashoga,.
MUNGU HAMJUI PAPA
 
Back
Top Bottom