"ETI NGURUWE MIMI SILAGI ILA NAKUNYWA MCHUZI WAKE TU HA HA HA AH"Hali si Hali huko Vatican na Kanisa Katoliki Duniani Kwa Papa Francis kubadili GIA Angani akidai watu wanapotosha taarifa ya mafundisho yake.
Adai kinachotakiwa Kubarikiwa ni vitu vyao ila sio Ndoa zao 🤣🤣🤣
My Take
Acheni kutapatapa,Kwa asili yake RC linakubaliana na Ushoga ndio maana Kwa miaka Mingi Makasisi wake Wana kashfa za ulawiti na Kanisa Huwa linaficha.