Pope Francis: Ndoa za jinsia moja ni dhambi lakini wahusika wakaribishwe kanisani wasitengwe na ikibidi kupewa baraka

Pope Francis: Ndoa za jinsia moja ni dhambi lakini wahusika wakaribishwe kanisani wasitengwe na ikibidi kupewa baraka

Hali si Hali huko Vatican na Kanisa Katoliki Duniani Kwa Papa Francis kubadili GIA Angani akidai watu wanapotosha taarifa ya mafundisho yake.

Adai kinachotakiwa Kubarikiwa ni vitu vyao ila sio Ndoa zao 🤣🤣🤣

My Take
Acheni kutapatapa,Kwa asili yake RC linakubaliana na Ushoga ndio maana Kwa miaka Mingi Makasisi wake Wana kashfa za ulawiti na Kanisa Huwa linaficha.
Hakwepi,RC limekubali ushogaaa
 
Nadhani Papa mwaka huu alitamani kuhalalisha ila anakwepa kwepa tu.........Papa analiyumbisha sana hilo Kanisa, inawezekana nayeye ni mmoja wa waliohusika kwenye zile kashfa za watoto......anaona liwalo na liwe tu

Mjadala ungekuwa mapadri na masista kuoa na kuolewa ila siyo mjadala unakuwa ushoga
 
Ushoga hauangalii nani anafanya.
Bali ni dhambi tu,hata afanye muislam bado ni dhambi,kama wanafanya wajue wanapata dhambi.shida papa anataka ifanywe halal hapa ndipo tunapompinga.
Hauwezi kumkataza mtu kufanya ni maamuzi yake.ila si kuhalalisha.
Ndo amehalalisha sasa, na huna cha kufanya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hajabadili gia, msimamo wa kanisa ni ule ule, sisi wapotoshaji huku nchi maskini tunaokumbatia manabi wazungu na kuwakana manabii wa kitanzania akina mwamposa, gwajima na mzee wa upako ndio tunaleta tafsiri zetu eti oo sio kuwabariki ni kuwatambua, kuwapenda na bla bla kibao ila issue ni kwamba Mwanaume akipata mwanaume mwenzie wakienda kweli hilo dhehebu wanafungishwa ndoa na kubarikiwa.
Swadaktaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nadhani Papa mwaka huu alitamani kuhalalisha ila anakwepa kwepa tu.........Papa analiyumbisha sana hilo Kanisa, inawezekana nayeye ni mmoja wa waliohusika kwenye zile kashfa za watoto......anaona liwalo na liwe tu

Mjadala ungekuwa mapadri na masista kuoa na kuolewa ila siyo mjadala unakuwa ushoga
Ndo utajijuu, mashoga ruksa kubarikiwa, hutakii tokaa nenda huko unakoona kunafaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hali si Hali huko Vatican na Kanisa Katoliki Duniani Kwa Papa Francis kubadili GIA Angani akidai watu wanapotosha taarifa ya mafundisho yake.

Adai kinachotakiwa Kubarikiwa ni vitu vyao ila sio Ndoa zao 🤣🤣🤣

My Take
Acheni kutapatapa,Kwa asili yake RC linakubaliana na Ushoga ndio maana Kwa miaka Mingi Makasisi wake Wana kashfa za ulawiti na Kanisa Huwa linaficha.
.....Adai kinachotakiwa Kubarikiwa ni vitu vyao ila sio Ndoa zao 🤣🤣🤣.... Vitu vipi !!! Kusukumana !!!?? Kwa hili Papa aliteleza pakubwa ! Ni bora afute tamko lake !!!
 
Huyo naye ni papa wa ajabu kuwahinkuchaguliwa. Mara nyingi nimeona akiwasukuma watu wanayotamka kumsalimia kwa Mila na destiri za kikatoliki kwa kulamba Pete,
Akiwa kiongozi mkubwa wa kanisa kidunia anatdkiwa atoe statement ambazo ni unambiguous ambazo hazitaleta absurdity.

Kwa nini aitoe hiyo kauli? Na kwa nini atoe press kuzungumzs vitu ambavyo ni dhambi kwenye kanisa? Tena kipindi hiki muhimu kwa kalenda ya kanisa kukumbuka kuzaliwa kwa Kristu?

Si ni juzi tuu kamtimua Askofu wa marekani aliyekuwa anapinga ndoa za jinsia Moja? Kwa nini alimtimua halafu muda mfupi anatoa statement ya hovyo namna hiyo?

Anawapa kazi makardinali na maaskofu kutetea kauli hiyo ya hovyo kujaribu ku construe kwamba halumaanisha hivi alimasnisha vile.

Makardinali wafanye maamuzi magumu wamtengue huyu mtu laa sivyo ataliparaganyisha kanisa. Huo usasa wake haupo kwenye kanisa.

Kwanza kashaa badilisha mambo kibao kwenye litrujia mfano BWANA AWE NANYI tulikuwa tunajibu AWE PIA NAWE, lakini yeye kale kitu tofauti eti AWE ROHONI MWAKO. Yaani sisi waamini haitakiwi Mungu awe rohoni mwetu ni wao tu? Mimi siwezi kubadilisha nitaendelea kutamka tena kwa nguvu AWE PIA NAWE
[emoji16][emoji16]hapo mwisho nimecheka kwa sauti ghafla! Kumbe ngoja nami nilianzishe iwe harakati, maana huwa napata ukakasi nabakia kimya tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali si Hali huko Vatican na Kanisa Katoliki Duniani Kwa Papa Francis kubadili GIA Angani akidai watu wanapotosha taarifa ya mafundisho yake.

Adai kinachotakiwa Kubarikiwa ni vitu vyao ila sio Ndoa zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

My Take
Acheni kutapatapa,Kwa asili yake RC linakubaliana na Ushoga ndio maana Kwa miaka Mingi Makasisi wake Wana kashfa za ulawiti na Kanisa Huwa linaficha.
Katoliki ni mashoga tu
 
Back
Top Bottom