"ETI NGURUWE MIMI SILAGI ILA NAKUNYWA MCHUZI WAKE TU HA HA HA AH"Hali si Hali huko Vatican na Kanisa Katoliki Duniani Kwa Papa Francis kubadili GIA Angani akidai watu wanapotosha taarifa ya mafundisho yake.
Adai kinachotakiwa Kubarikiwa ni vitu vyao ila sio Ndoa zao 🤣🤣🤣
My Take
Acheni kutapatapa,Kwa asili yake RC linakubaliana na Ushoga ndio maana Kwa miaka Mingi Makasisi wake Wana kashfa za ulawiti na Kanisa Huwa linaficha.
Yani nimejikuta nacheka kwa sauti mpaka watu wakastuka 😆😆Kwamba kitimoto huli ila mchuzi wake unakunywa.
Kwanini yule askofu aliekipinga dhambi ya ushoga alifukuzwa?Papa hajabadili gia, alichofanya ni kuelezea vizuri ili vilaza kama wewe ambao hamkuielewa ile taarifa ya mwanzo muweze kuelewa sasa.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Unauliza Papa ni nani? Ni Muwakilishi wa Mungu kwa Wakatoliki wote DunianiKama wanataka kuhalalisha usenge huo,basi watolee ufafanuzi kwanini Mungu aliupiga kiberiti mji wa sodoma na gomora.
By the way,who is papa?
Leo umeandika kwa kushirikisha AKILI sio Hisia na MihemkoUshoga hauangalii nani anafanya.
Bali ni dhambi tu,hata afanye muislam bado ni dhambi,kama wanafanya wajue wanapata dhambi.shida papa anataka ifanywe halal hapa ndipo tunapompinga.
Hauwezi kumkataza mtu kufanya ni maamuzi yake.ila si kuhalalisha.
Papa Francis kubadili GIA Angani akidai
Umekosea sana.Hali si Hali huko Vatican na Kanisa Katoliki Duniani Kwa Papa Francis kubadili GIA Angani akidai watu wanapotosha taarifa ya mafundisho yake.
Adai kinachotakiwa Kubarikiwa ni vitu vyao ila sio Ndoa zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
My Take
Acheni kutapatapa,Kwa asili yake RC linakubaliana na Ushoga ndio maana Kwa miaka Mingi Makasisi wake Wana kashfa za ulawiti na Kanisa Huwa linaficha.
acha kumsingizia popeHali si Hali huko Vatican na Kanisa Katoliki Duniani Kwa Papa Francis kubadili GIA Angani akidai watu wanapotosha taarifa ya mafundisho yake.
Adai kinachotakiwa Kubarikiwa ni vitu vyao ila sio Ndoa zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
My Take
Acheni kutapatapa,Kwa asili yake RC linakubaliana na Ushoga ndio maana Kwa miaka Mingi Makasisi wake Wana kashfa za ulawiti na Kanisa Huwa linaficha.
Kwa hiyo hajabadili GIA Angani ameshikilia msimamo wa kubariki mashoga?acha kumsingizia pope
Hajabadili gia, msimamo wa kanisa ni ule ule, sisi wapotoshaji huku nchi maskini tunaokumbatia manabi wazungu na kuwakana manabii wa kitanzania akina mwamposa, gwajima na mzee wa upako ndio tunaleta tafsiri zetu eti oo sio kuwabariki ni kuwatambua, kuwapenda na bla bla kibao ila issue ni kwamba Mwanaume akipata mwanaume mwenzie wakienda kweli hilo dhehebu wanafungishwa ndoa na kubarikiwa.Hali si Hali huko Vatican na Kanisa Katoliki Duniani Kwa Papa Francis kubadili GIA Angani akidai watu wanapotosha taarifa ya mafundisho yake.
Adai kinachotakiwa Kubarikiwa ni vitu vyao ila sio Ndoa zao 🤣🤣🤣
My Take
Acheni kutapatapa,Kwa asili yake RC linakubaliana na Ushoga ndio maana Kwa miaka Mingi Makasisi wake Wana kashfa za ulawiti na Kanisa Huwa linaficha.
Kwamba papa anabariki kazi na vitu vya mashoga ila sio mashoga wenyewe, hizo akili ama bangi?
Kwamba kitimoto huli ila mchuzi wake unakunywa.
Watu wakiambiwa hizi dini ni taasisi za kitapeli Mungu hayupo watu hawataki kuelewa.
Sasa huyo ni Mungu gani asie na akili ambae yeye mwenyewe hataki ushoga ila ameruhusu watu wake kama Papa wabariki kazi za mashoga,.
Yule Papa ni Mpumbavu sana namuita mpumbavu kwa sabb muda wote anazungumzia mambo hayo hayo tu...!!
Wanafikiri wanaweza kumlisha maneno papa, kanisa katoliki Lina taratibu zakePapa hajabadili gia, alichofanya ni kuelezea vizuri ili vilaza kama wewe ambao hamkuielewa ile taarifa ya mwanzo muweze kuelewa sasa.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
bibliaKitabu gani hicho kinasema mungu huyo alipiga kiberiti sababu ya ushoga?
MUNGU HAMJUI PAPAKwamba papa anabariki kazi na vitu vya mashoga ila sio mashoga wenyewe, hizo akili ama bangi?
Kwamba kitimoto huli ila mchuzi wake unakunywa.
Watu wakiambiwa hizi dini ni taasisi za kitapeli Mungu hayupo watu hawataki kuelewa.
Sasa huyo ni Mungu gani asie na akili ambae yeye mwenyewe hataki ushoga ila ameruhusu watu wake kama Papa wabariki kazi za mashoga,.