Population Crisis: Kim akilia machozi kuwaomba Wanawake wa Korea Kaskazini kuzaa watoto ili kuongeza idadi ya watu

Population Crisis: Kim akilia machozi kuwaomba Wanawake wa Korea Kaskazini kuzaa watoto ili kuongeza idadi ya watu

Huyu jamaa na makombora yake sikujua naye anaweza kufikwa na huzuni mpaka abubujikwe machozi, akina mama pia nao wajiunga kwenye kulia machozi maana mkuu analia, hii ilikua baada ya kusoma taarifa jinsi uzao unapungua, mama hawazai tena kisa changamoto nyingi.

==================

Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amerekodiwa akilia wakati akiwaomba wanawake wa Korea Kaskazini kuzaa watoto zaidi, Wakati wa Kongamano la Tano la kitaifa la Wanawake lililofanyika mjini Pyongyang,nchini humo.

Ikumbukwe kuwa Idadi ya watoto wanaozaliwa nchini Korea Kaskazini inapungua kwa hivyo Rais Kim amewataka wanawake kuzaa watoto zaidi katika nia ya 'kuimarisha mamlaka ya kitaifa'.

Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong UN false amewasihi wanawake katika nchi hiyo ya Asia Mashariki wazae watoto zaidi na kuwalea kama "wakomunisti," na kulia alipokuwa akitoa hotuba ya hisia mbele ya hadhira iliyojaa hisia.

View attachment 2834472
Wananchi karibu wote wa Korea ya Kaskazini ni mateka na wahanga wakubwa wa madhila yatokanayo na utawala wa kidikteta uliopo huko. Hiyo hamasa ya kuzaa watoto wengi watu wataifoa wapi???? Muda wote wananchi Wana stress zitokanazo na misukosuko ya kiutawala wake wa kiimla.
 
Akaribishe waafrika waingie nchini mwake na kuzaliana
"If you look at their mode of life and their lifestyle in general, you can observe that BLACKS are born with a situation like an half-mad mentality and mindsets."
Jan Smuts, a first Prime Minister of Union of South Africa during the Apartheid era.
 
Huyu jamaa na makombora yake sikujua naye anaweza kufikwa na huzuni mpaka abubujikwe machozi, akina mama pia nao wajiunga kwenye kulia machozi maana mkuu analia, hii ilikua baada ya kusoma taarifa jinsi uzao unapungua, mama hawazai tena kisa changamoto nyingi.

==================

Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amerekodiwa akilia wakati akiwaomba wanawake wa Korea Kaskazini kuzaa watoto zaidi, Wakati wa Kongamano la Tano la kitaifa la Wanawake lililofanyika mjini Pyongyang,nchini humo.

Ikumbukwe kuwa Idadi ya watoto wanaozaliwa nchini Korea Kaskazini inapungua kwa hivyo Rais Kim amewataka wanawake kuzaa watoto zaidi katika nia ya 'kuimarisha mamlaka ya kitaifa'.

Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong UN false amewasihi wanawake katika nchi hiyo ya Asia Mashariki wazae watoto zaidi na kuwalea kama "wakomunisti," na kulia alipokuwa akitoa hotuba ya hisia mbele ya hadhira iliyojaa hisia.

View attachment 2834472
Tuanze na yeye mwenyewe..ana watoto wangapi?
 
Kama wana upungufu wa wanawake wa kuwazalia watutangazie tenda
 
Ndio ajue kuna mambo muhimu ya kushughulikia kuliko kuwekeza kwenye majeshi. Wenzao Japan baada ya kupigwa Hiroshima wakasema sasa ugomvi ugomvi sio kipaumbele chetu tena
Kuna namna nyingi tu za kushughulika na upungufu wa uzao badala ya kuangua kilio.

Cha msingi ni kufungua mipaka ya nchi na kuweka mazingira mazuri yatakayowezesha uhamiaji, na kuwa tayari kwa gene flow kutoka mataifa mengine.
 
Back
Top Bottom