DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Sometimes number do lie
Wingi sio hoja
Wingi sio hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaji ndo tatzo,Jamani Hela tunazo,wasomi tunao .Tatizo ni nini?Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai,Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi?Wachina ,wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini?Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu?Wale ni pesa tu.
Kwanza tujiulize,watalipa kodi ama?Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Ndio maana naona kama mwekezaji ni kwa ajili ya kuleta ufanisi apewe tuUkiingia Bandarini ndio utajua hatuna akili au tuna akili.
Tuna watu wana vyeti kazi yao ni kuongoza wizi wa mali za umma.Jamani Hela tunazo,wasomi tunao .Tatizo ni nini?Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai,Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi?Wachina ,wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini?Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu?Wale ni pesa tu.
Kwanza tujiulize,watalipa kodi ama?Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Kila mtu anataka akafanye kazi bandari au TRA akaibeMbona haihitaji rocket science kuelewa hilo
Wee weka simu yako mezani uangalie pembeni kama utaikuta
Wenzetu wanafundishwa maadili tangu wadogo ila sisi unaanza shule unaiba kalamu
Sasa ukiwa mkubwa na msomi unawaza kufanya kazi kwenye upigaji tu na ofisi za madili na idara ambazo kuna ujanja ujanja na rushwa nyingi
Tena viongozi ndio wanawapeleka watoto wao kwenda kuiba
Sasa unategemea ukusanye mapato kihalali bandarini
Wakati mpaka mafuta wana divert
Mfano mwingine Nigeria ina mafuta zaidi ya Dubai lakini Petroli mpaka foleni au uende Black Market kila kitu kinaibiwa mali za umma zinaibiwa fedha za umma zinaibiwa.Mbona haihitaji rocket science kuelewa hilo
Wee weka simu yako mezani uangalie pembeni kama utaikuta
Wenzetu wanafundishwa maadili tangu wadogo ila sisi unaanza shule unaiba kalamu
Sasa ukiwa mkubwa na msomi unawaza kufanya kazi kwenye upigaji tu na ofisi za madili na idara ambazo kuna ujanja ujanja na rushwa nyingi
Tena viongozi ndio wanawapeleka watoto wao kwenda kuiba
Sasa unategemea ukusanye mapato kihalali bandarini
Wakati mpaka mafuta wana divert
Ukweli mtupu umeongea, ndugu yangu anafanya etern ya udakitari jana alisahau coat lake jaupe akaenda canteen kunywa chai hakulikuta tena manaake liliibiwa na madakitari wenzake hao ndo wasomi wetu.....Mbona haihitaji rocket science kuelewa hilo
Wee weka simu yako mezani uangalie pembeni kama utaikuta
Wenzetu wanafundishwa maadili tangu wadogo ila sisi unaanza shule unaiba kalamu
Sasa ukiwa mkubwa na msomi unawaza kufanya kazi kwenye upigaji tu na ofisi za madili na idara ambazo kuna ujanja ujanja na rushwa nyingi
Tena viongozi ndio wanawapeleka watoto wao kwenda kuiba
Sasa unategemea ukusanye mapato kihalali bandarini
Wakati mpaka mafuta wana divert
Mbona haihitaji rocket science kuelewa hilo
Wee weka simu yako mezani uangalie pembeni kama utaikuta
Wenzetu wanafundishwa maadili tangu wadogo ila sisi unaanza shule unaiba kalamu
Sasa ukiwa mkubwa na msomi unawaza kufanya kazi kwenye upigaji tu na ofisi za madili na idara ambazo kuna ujanja ujanja na rushwa nyingi
Tena viongozi ndio wanawapeleka watoto wao kwenda kuiba
Sasa unategemea ukusanye mapato kihalali bandarini
Wakati mpaka mafuta wana divert