Population ya Dubai ni milioni 3.5M na Tanzania ni milioni 63, ina maana hakuna kabisa watu wa ku-design Bandari?

Mtaji ndo tatzo,
 
Si wangetenga bilioni kadhaa wampe Elon musk ajenge bandari ya kisasa zaidi. 😊
 
Tuna watu wana vyeti kazi yao ni kuongoza wizi wa mali za umma.
Wasomi wetu wakishasoma,wanaingia kwenye mfumo wa ki illuminat kuanzia makanisani,misikitini hadi serikalini.
Wanatengeneza genge fulani ambalo ni vigumu sana kulishinda.Labda muamue kufa kishujaa mkipambana.
 
Kila mtu anataka akafanye kazi bandari au TRA akaibe
Li nchi limejaa wezi,mafisadi,wabinafsi ,nchi ina laana hii

Ova
 
Mfano mwingine Nigeria ina mafuta zaidi ya Dubai lakini Petroli mpaka foleni au uende Black Market kila kitu kinaibiwa mali za umma zinaibiwa fedha za umma zinaibiwa.

Waafrika tumefeli inatubidi tubadilishe mindset zetu.
 
Ukweli mtupu umeongea, ndugu yangu anafanya etern ya udakitari jana alisahau coat lake jaupe akaenda canteen kunywa chai hakulikuta tena manaake liliibiwa na madakitari wenzake hao ndo wasomi wetu.....
 
Kwa elimu yetu iliyovurugwa kwa maslah ya watu wachache mmh hatuna future nyeupe
 
Hao waarabu wapo India, China, Belgium,UK,Canada, France,Spain S.Korea, Australia, Turkey,S.Africa etc tena nchi zingine wanahudumu bandari zaidi ya moja.

Shida ni terms za mkataba wetu tu ila inaonesha si haba wanaaminika kiasi chake maana kama 10% ya makasha yote duniani yanapitia kwenye mikono yao.

Che Nkapa akitetea ubinafsishaji enzi zake aliwahi kusema,"Rangi ya paka si hoja mradi akamate panya".

 

Mungu sijui sisi atupe nini
 

Welcome Akhui ingiza mtaji kwenye Bandari ya salama iendeleze Akhui.

Wabilahi Tawfiq Karib Sheikh, makelele ya Walokole yasikutishe Sheikh, leta flus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…