Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Wanyonyaji,bila aibu anachukua Bandari zote,baharini na nchi kavu.
Unahisi umeuliza swali la maana kumbe andazi tupu kubwa katikati limejaa upepo wa hamira, bandari ya Zanzibar inahudumia nchi moja ambayo ina ukubwa wa wilaya moja ya bara, bandari za bara zinategemewa na nchi takribani 18 ambazo ni locked land, hakuna haja ya kupanua bandari za Zanzibar Ila kuna ulazima wa kupanua bandari za bara nazani nimekujibu Kwa ufasaha.Kwa nini hawajaibinafisisha ya Zanzibar ?
Jamani Hela tunazo,wasomi tunao .Tatizo ni nini?Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai,Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi?Wachina ,wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini?Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu?Wale ni pesa tu.
Kwanza tujiulize,watalipa kodi ama?Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Ila pia Kuna wanyonyaji waliokuwa wanavuja mabomba ya mafuta kutoka bandarini mpaka nyumban kwao, wengine kwa makusudi wakifanya mifumo ya Kodi isisomane na TRA....Ila sawa ngoja tuone wataalamu watasemajeWanyonyaji,bila aibu anachukua Bandari zote,baharini na nchi kavu
Wapi imesemwa tunawapa mkuu?Wewe si Bandari nzima.DP wapo gate way moja tu.Na wapo Joint Venture na Campuni zingine. Sisi hapa Tanzania tunawapa Bandari zote baharini,ziwani na nchi kavu.
Watanzania huenda vyuoni kusoma Bachelor degrees za UJINGA na UCHAWA
Na bado mwanaume anaruhusiwa kuoa wake zaidi ya mmoja mpaka wanne.Jamani Hela tunazo,wasomi tunao .Tatizo ni nini?Na karne hii tuna uwezo kabisa wa kuangalia hizo Bandari kama Shangai,Singapore zimefanya nini hadi kuwa na ufanisi?Wachina ,wasingapore wazungu wa Roterdam na Antwerp wamevanya fanya nini?Kulikuwa na Haja ya kumleta huyu katili Sheikh wa Dubai kuwekeza kwetu?Wale ni pesa tu.
Kwanza tujiulize,watalipa kodi ama?Wenye mkataba uwekeni basi hapa tuone.
Wote ni Zero tu....Vipi yule professor wa uchumi anayetembea na briefcase yenye miswaki na taulo akisaidiana na professor wa juisi ya Madagaskar wako wapi ?
Udini tu unawasumbua, kwa kuwa mwarabu ni muislam basi akataliwe ila wazungu waje tu, sasa kwa taarifa yenu hao wazungu bandari zao zinaendeshwa na mwarabu wa dubaiHalafu waziri mzanzibar,Rais mzazibar.Hawana uchungu na Tanganyika. Wajukuu zetu ndo wataumia.Wao vilembwe wao watakuwa wanakula good time Zanzibar.