Poromoko kubwa la bei kwa Gari aina ya Brevis

Poromoko kubwa la bei kwa Gari aina ya Brevis

Brevis ni gari nzuri xana kweli kama unavyosema ila ulaji wake wa mafuta ndo mkubwa kiasi, xo ni gari ambayo ukiwa nayo usiwe mtumishi wa serikali wa kusubiria mshahara mpka mwisho wa mwezi, utaipk uwani
 
unajua ununuzi wa gari unategemea na matumizi ya mtu,kuna mtu ananunua gari kwa kuwa tu flani analo,au anapenda muundo pasipo kujiuliza maswali mengi kama ukubwa wa injini n.k
kwa mfano gari kama GX 110 six cylinder unakomaa nalo kwa misele ya Dar si unataka pressure tu..lakini ukiwa na misele ya mbali ukilizubua unaona kweli uko na Gari ya Safari
Brevis ni Gari nzuri sana na wala haina Tatizo,soko tu na usawa wa sasa wa mtanzania ndo maana unaona kama bei iko chini lakini kiukweli gari nyingi zimeshuka bei
Gari zimeshuka bei mkononi na si Japan wala kodi ya TRA.
 
c4b269a54b8d23b164293cc63d0029bd.jpg
hahaha[emoji23][emoji28][emoji23]
 
Nimeona wadau wengi hapo wamezungumzia kuhusu Fuel Consumption but mbona similar cars kama Mark X bei yake iko juu pamoja na kuwa na cc2500?
Nafikiri Mark X ina mwonekano mzuri zaidi. Na ni kubwa kidogo so ina space ya kutosha ndani hasa siti ya nyuma kuliko Brevis. Pia Mark X production bado inaendelea. So unakuta ina features watu wanazopenda kama smartkey access, push button start etc.
 
Sipendi Gari za chini nahisi huwa naburuzwa ardhini...
Hizi gari ndogo karibu zote huwa ziko chini. Ni watu wachache saana wanaoziendesha bila kuzinyanyua sababu miundombinu yetu ni changamoto kidogo. So unless ununue gari la juu kabisa, ila kama utanunua gari ndogo ndogo, zote zipo chini tu, mpaka uinue kidogo.
 
Iyo Four cylinder itakuwa abnormal.
Wanapo fikiri kuweka idadi kubwa ya cylinder usidhan wanafanya comed
Kuna engine za cylinder chache zina consumption kubwa kuliko za cylinder nyingi kwa sababu tofauti toafuti. Unaweza kuta ina cylinder nne ila ina cc kubwa. Mfano huwazilinganisha ya engine ya 3RZ 4cyl ambayo ina cc 2700 na 1G 6cyl yenye cc2000. Pia uendeshaji wa gari unachangia saana.
 
Hakuna cha 4 cylinders kuwa abnormal mkuu. wala usifikiri idadi ya cylinder ndio itakayoongeza unywaji wa mafuta..... ishu hapo ni efficiency. Ivi unataka kufananisha V8 engine ya 2015 na 4 cylinder Subaru kwa unywaji? au 2jzge?

Tusiende mbali, hapa hapa mjini tunayo magari ya daily driving, je wajua kuwa Lexus is200 6 cylinders, unywaji wake ni mdogo ukicompare na Altezza 4 cylinders? Vile vile unatambuwa kuwa Altezza ya 4 cylinders ina nguvu kuliko Altezza ya 6 cylinders?
Hii ni kweli kabisa. Especially kwenye highway. Ile lexus is200 au Altezza as200 unaweza kupata consumption ya 14km kwa lita wakati ila RS200 ni vigumu kifikisha 12km kwa lita sababu ina hp nyingi zaidi.
 
Kaka hakuna kitu kinaitwa rotary engine ati ukadai wewe kawaida yake kula oil

Kaka hakuna engine inaokula wala kunywa oil isipokua iwe ina hitilafu
Kaka hata cherehani ikianaza kua nzito ina mafuta yake
Aliokudanganya ENGINE ya gari kula au kunywa oil huyo ni kiboko yako
Wewe unaonesha utakua mtoto wa Mfalme wa saud arabia
Yaani ukifika kituoni unaweka mafuta na oil
Duuuuhh!!!!!
ww sio fundi na hauna uelewa kuhusu rotory engine kwa kukusaidia ingia youtube uangalie rotory engine inafanyaje kazi nakuahidi hauta andika tena upuuzi
 
Nafikiri Mark X ina mwonekano mzuri zaidi. Na ni kubwa kidogo so ina space ya kutosha ndani hasa siti ya nyuma kuliko Brevis. Pia Mark X production bado inaendelea. So unakuta ina features watu wanazopenda kama smartkey access, push button start etc.
Bonge la jibu..
 
Hii ni kweli kabisa. Especially kwenye highway. Ile lexus is200 au Altezza as200 unaweza kupata consumption ya 14km kwa lita wakati ila RS200 ni vigumu kifikisha 12km kwa lita sababu ina hp nyingi zaidi.
Watu wanafikiri gari likiwa na cylinders nyingi ndio linakunywa mafuta. Yaani mi huwa nashangaa kabisa. Mtu hafanyi research akajua uwezo wa gari. Yaani mtu ukimwambia njoo nkuuzie gari yangu six cylinders au V8, utaanza kusikia mhhh jini mafuta ilo, inawezekana kumbe gari alokuwa anayo yeye basi inakunywa kuliko hata hio v8. Na siku izi engine technology kila inavokwenda mbele na gari kuwa controlled by electronic inasaidia katika suala zima la unywaji mafuta, maana kwanza kampuni lazima zifikie kiwango cha emmission kinachotakiwa na kufikia huko inawabidi wafanye control kwenye ulaji wa mafuta.

Sasa kuna mtu humu ananambia technology sio kitu kwenye fuel consumption. Kashindwa hata kuitizama same engine moja ikiwa na vvti na nyengine ikiwa non vvti akaona tofauti.
 
sidhan kama kuna ukweli..nina jamaa ana alteza kuja kurudi job mafuta ya 20 na umbali ni km 32.
Mkuu hio Altezza ni six au four? na kama 6, je ina badge ya Lexus? kama ina badge ya lexus basi hio 32 sio km ni miles hizo.
Na kama ni mjapan, kisha anapata kilomita 4 kwa lita, hio gari haina maintainance nzuri kabisa. Usikute inawaka check engine. Nikiwa mjini na six cylinders lexus is200/Altezza napata kilomita 8 kwa lita.... kwa bei ya mafuta huku kwetu 2230 kwa lita manake mafuta ya buku 20 napiga 70km atleast hapo bila makamuaji, nikiwa nakamua napata walau 65km.
 
Usibishe mkuu, Roraty Engine ipo, na unaikuta katika Mazda rx
Mkuu nisome vzr pale juu,mi ndio nimemwambia huyo jamaa anaesema yeye ni fundi, rotary engine iko kwenye mazda rx 8 ye akabisha nikamwambia basi poa hakuna haja ya discussion tena.
 
Watu wanafikiri gari likiwa na cylinders nyingi ndio linakunywa mafuta. Yaani mi huwa nashangaa kabisa. Mtu hafanyi research akajua uwezo wa gari. Yaani mtu ukimwambia njoo nkuuzie gari yangu six cylinders au V8, utaanza kusikia mhhh jini mafuta ilo, inawezekana kumbe gari alokuwa anayo yeye basi inakunywa kuliko hata hio v8. Na siku izi engine technology kila inavokwenda mbele na gari kuwa controlled by electronic inasaidia katika suala zima la unywaji mafuta, maana kwanza kampuni lazima zifikie kiwango cha emmission kinachotakiwa na kufikia huko inawabidi wafanye control kwenye ulaji wa mafuta.

Sasa kuna mtu humu ananambia technology sio kitu kwenye fuel consumption. Kashindwa hata kuitizama same engine moja ikiwa na vvti na nyengine ikiwa non vvti akaona tofauti.
Ni vile watu wengi hawana interest na magari, wanaishi kwa mazoea. Engine kubwa za kisasa zinatengenezwa kukidhi mahitaji ya matumizi ya kawaida kama usafiri wa kila siku, na pia kwa wale wanaohitaji performance. Gari za kisasa zina different engine modes eg sport, sport plus, Eco mode etc. Unakuta ina engine kubwa ina inakua tuned kiasi kwamba mafuta inatumia kulingana na mahitaji yako ya nguvu za gari.

Nafikiri tatizo kubwa ni kwamba tunanunua magari ya zamani saana. Gari ya 2007 kwetu inaonekana ni mpya wakati thats as old as the original iPhone, enzi Nokia Nseries ziko kwenye chat. Ni siku nyingi mno. Kuna advancement kubwa saana kwenye technologia kwa kipindi cha miaka 10.

Kweli ni gharama saana kuzinunua, lakini kufanya research na kujua kinachoendelea sidhani kama ni tatizo.
 
Back
Top Bottom