mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Mkuu hiyo kluger umemaanisha toleo la mwaka gani?Achana na nissan mi mwenyewe ni nayo ni kichefu chefu ni gari mayai haitaki manginjanginja pia spare aghali itakufilisi
Go fo kluger au landrover defender hutanutia
nakaziaWatu hawawezi kuichukia gari bila sababu, lazima kuna jambo.
Kwanini Nissan ina reputation mbaya hapa Tanzania?
Jibu ni kuwa, mara zote Nissan imekuwa ikilinganishwa na Toyota katika suala la maintenance, na sote tunajua Toyota ni more affordable in terms of buying and services.
Mwisho usiwe mwepesi kuamini maoni yoyote positive kuhusu gari fulani kutoka kwa mmiliki wake hapa Tanzania. Kwanini? Bado watanzania hatujawa waungwana kusema ukweli mchungu kuhusu privacy life hususani kwa vile tunavyovimiliki kama gari au mke, tunahisi kama tutachekwa au kubezwa, hivyo tunajihami mnoo kwa uongo.
Mnajazana ujinga na uoga.Achana na nissan mi mwenyewe ni nayo ni kichefu chefu ni gari mayai haitaki manginjanginja pia spare aghali itakufilisi
Go fo kluger au landrover defender hutanutia
Kama kalivo kadogo dogo na spea ndani ziko hvo hvo za ajabu..na kana umbo la gar ngumu ila ni kalaini...ukika overdose ukadhan ni ka rav4 umeumia
Vipi nissan xtrail 2010, nimeipenda ile shape lake la kiume... je ni chaguo bora zaidi ya dualis?
Xtrail nayo mule mule ..nisan hiz gar zao sjui vip..wanatengeneza body zur kama gar ya maana lakin engene inakua sio ya uwezo wa mwonekano...xtrail kwa kuchemka safar za mbal acha..yaan inshort watu wenye xtrail wanaugumiaga chin chin unless uwe unaish town tuVipi nissan xtrail 2010, nimeipenda ile shape lake la kiume... je ni chaguo bora zaidi ya dualis?
Sasa na msimu huu wa mvua madimbwi kibao mimaji inajaa barabarani ndio uburuze Nissan Nyanya yako imagine lile li njia la mnazi mmoja linalonyoosha hadi mfugale kunajaaga mimaji pale mbele. Lazma utubu tu 😂😂😂Ni dualis, engine hazina shida, ulaji wa mafuta ni safi shida ya hii gari ni gari mayai haifai kuenda nayo rough road mara kwa mara. Na shida ni spare parts ni aghali mkuu itakufilisi..
Mara utasikia wish bone zimekufa ukiuliza bei ni mshahara wa mwalimu wa secondary,
Kwa ufupi chochote kitakachokufa kwenye nissan ujue ni bei aghali haswaaa...
Bush za wishbone hizo, wa Toyota 40K umetia bush zote mpya ila wa nissan utakuta bush 1 tu ndo 50k 😂😂😂 mchawi madimbwi tuWish bone zinakufaje? Au unamaanisha bush za wish bone?
Sasa na msimu huu wa mvua madimbwi kibao mimaji inajaa barabarani ndio uburuze Nissan Nyanya yako imagine lile li njia la mnazi mmoja linalonyoosha hadi mfugale kunajaaga mimaji pale mbele. Lazma utubu tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Juzi nimeburuza Toyota langu mle hadi nikalionea huruma japo halijakorofisha. Maji yalikuwa usawa wa bonet nikawaza je mtu wa Nissan, Benz, Bmw au Audi atatoboa kweli bila dashboard kumeremeta [emoji23][emoji23][emoji23]
Landrover discavery 3 au 4 mwenye nayo anichekiAchana na nissan mi mwenyewe ni nayo ni kichefu chefu ni gari mayai haitaki manginjanginja pia spare aghali itakufilisi
Go fo kluger au landrover defender hutanutia
[emoji3][emoji3]Sasa na msimu huu wa mvua madimbwi kibao mimaji inajaa barabarani ndio uburuze Nissan Nyanya yako imagine lile li njia la mnazi mmoja linalonyoosha hadi mfugale kunajaaga mimaji pale mbele. Lazma utubu tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Juzi nimeburuza Toyota langu mle hadi nikalionea huruma japo halijakorofisha. Maji yalikuwa usawa wa bonet nikawaza je mtu wa Nissan, Benz, Bmw au Audi atatoboa kweli bila dashboard kumeremeta [emoji23][emoji23][emoji23]
Wish bone zinakufaje? Au unamaanisha bush za wish bone?
Mnajazana ujinga na uoga.
Mi nataka kununua Nissan Fuga 450gt.
Unanishaurije hapo?
watu wamekalili toyota, na wabongo wengi wanaoongoza kuponda hawajawahi tumia gaari za nissan
Kwa hiyo hapo mpaka kodi zote za serikali zimeshalipiwam.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sasa huyo jamaa si kima kama..[emoji848][emoji848]Nunua mkuu, then ulete mrejesho!!
Majuzi hapa kuna jamaa sijui kaweka ATF gani, gearbox imesizi mazima!