Sasa huyo jamaa si kima kama..[emoji848][emoji848]
Gari inaelekezwa weka fluid flan, yeye anaweka anayoijua yeye...halafu analalamika....umbwa kabisa..
Sent using Jamii Forums mobile app
gari lolote ukilitunza kama mtengenezaji alivyoshauri....lazima utakaa nalo muda mrefu tu....
Aisee....watu mnajua kuwatisha wenzenuNi dualis, engine hazina shida, ulaji wa mafuta ni safi shida ya hii gari ni gari mayai haifai kuenda nayo rough road mara kwa mara. Na shida ni spare parts ni aghali mkuu itakufilisi..
Mara utasikia wish bone zimekufa ukiuliza bei ni mshahara wa mwalimu wa secondary,
Kwa ufupi chochote kitakachokufa kwenye nissan ujue ni bei aghali haswaaa...
Hili suala la Xtrail ku'overheat huwa ni MYTHS tu...[emoji848][emoji848][emoji848]Xtrail nayo mule mule ..nisan hiz gar zao sjui vip..wanatengeneza body zur kama gar ya maana lakin engene inakua sio ya uwezo wa mwonekano...xtrail kwa kuchemka safar za mbal acha..yaan inshort watu wenye xtrail wanaugumiaga chin chin unless uwe unaish town tu
Hizi mvua nuksi,kuna jamaa yangu kiduet chake akikata kona kali kulia anasikia mlio mguu wa nyuma upande wa kushoto!Sasa na msimu huu wa mvua madimbwi kibao mimaji inajaa barabarani ndio uburuze Nissan Nyanya yako imagine lile li njia la mnazi mmoja linalonyoosha hadi mfugale kunajaaga mimaji pale mbele. Lazma utubu tu 😂😂😂
Juzi nimeburuza Toyota langu mle hadi nikalionea huruma japo halijakorofisha. Maji yalikuwa usawa wa bonet nikawaza je mtu wa Nissan, Benz, Bmw au Audi atatoboa kweli bila dashboard kumeremeta 😂😂😂
Kakwambia ni gari nzuri ukiitunza ila hajaishia hapo tu kuitunza kasema "ukiitunza vizuri"
Nissan siyo nyanya kama watu wanavyozizungumzia....[emoji55]Sasa na msimu huu wa mvua madimbwi kibao mimaji inajaa barabarani ndio uburuze Nissan Nyanya yako imagine lile li njia la mnazi mmoja linalonyoosha hadi mfugale kunajaaga mimaji pale mbele. Lazma utubu tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Juzi nimeburuza Toyota langu mle hadi nikalionea huruma japo halijakorofisha. Maji yalikuwa usawa wa bonet nikawaza je mtu wa Nissan, Benz, Bmw au Audi atatoboa kweli bila dashboard kumeremeta [emoji23][emoji23][emoji23]
Habari wana jamvi!
Kuna hii gari pendwa katika jiji la dar es salaam, inayoshika kask sana kwa kununuliwa kama njugu.. wao wanaiita “dar sweetheart”.. si nyingine bi ni “Nissan Dualis”.
Nakumbuka kipindi zinaanza kuingia hapa bongo zilikua bei moto sana around milion 25. Lakini kwa sasa nimeshangaa kuona bei zake zimeshuka sana mpaka kuna baadhi ya agents wanakuagizia kutoka japan kwa 14.5m. Binafsi nimevutiwa na gari hii hasa kwa muonekano wake, Mungu akijaalia basi hili gari litakua kipaumbele kwangu.
Naomba wajuvi wa mambo watusaidie nini kimechangia poromoko la bei kwa kiasi hiki? je lina matatizo fulani ya kiufundi au sababu ni ipi haswa?
Zina shida gani? Mbona bei imeporomoka hivyoHabari wana jamvi!
Kuna hii gari pendwa katika jiji la dar es salaam, inayoshika kask sana kwa kununuliwa kama njugu.. wao wanaiita “dar sweetheart”.. si nyingine bi ni “Nissan Dualis”.
Nakumbuka kipindi zinaanza kuingia hapa bongo zilikua bei moto sana around milion 25. Lakini kwa sasa nimeshangaa kuona bei zake zimeshuka sana mpaka kuna baadhi ya agents wanakuagizia kutoka japan kwa 14.5m. Binafsi nimevutiwa na gari hii hasa kwa muonekano wake, Mungu akijaalia basi hili gari litakua kipaumbele kwangu.
Naomba wajuvi wa mambo watusaidie nini kimechangia poromoko la bei kwa kiasi hiki? je lina matatizo fulani ya kiufundi au sababu ni ipi haswa?
Toa maelezo zina shida ganiUsije ukainunua ndg tafuta watu watatu wanaoimiliki omb mawazo yao
Wawili kati yao watakwambia usijaribu
Sasa hapo huoni kasema ni mpaka uitunze vizuri, kinyume na hapo utalia, Toyota was made for Africa banah, gari ngumu balaa
Ushauri mzuriNi gari nzuri na hiyo bei ya 23M sijui uliionea wapia huenda ni kwa madalali vichwa panzi... Dualis nyingi zinazoingizi kwetu ni kati ya 2007-2009 na hizo bei zake ni 14-16M na huko 16M labda ukaagiziwe na hao vishoka mnaowaaita ma agent ila ukiagiza mwenye top top 14. Kuhusu matatizo yake kuwa tatizo lake kubwa ni kushuka kwa roof yani Dualis zote roof lazima itakuja kushuka au utaagiza tayari ikiwa imeshashuka ila siku hizi mafundi wazuri wapo wanafanya repair unaendelea kudunda.
Kuhusu ubovu nakataa ila nissan ni gari inahitaji umakini sana muda service ukifika peleka service tena kwa fundi anaejua kazi, spare funga kwa wakati la si sivyo utaikimbia labda kipengele ni bei ya spare imesimamia kucha kidogo ila pia sio ishu sana tofut na toyota spare bei chee (feki) na unaweza buta tu.
Hii gari bhna nimeendesha jumamosi, yan kuingia tu hivi ndani nikahisi something is not right nikasema labda imepigishwa pasi ndefu kwenye service. Nikasema niangalie milangoni, zile vitambaa za milngoni zote zimeshuka chini...za milango yote yani (just imagine) kuangalia juu sunroof kuifungua ikakwama mahali. Haikufunguka yote. Kitambaa cha roof pia kishashuka shuka..., the only good thing niliipendea ni inanusa wese tu yanii, dah i'd not go for a dualis. Bora gari zingine za Nissan but not this. Yai yai sana yanii
Huwezi pata mrejesho.Kweli tunashauriana ujinga, kwa kuwa unataka kununua nunua halafu utatuletea mrejesho...