Poromoko la bei la Gari aina ya Nissan Dualis

Poromoko la bei la Gari aina ya Nissan Dualis

Ni dualis, engine hazina shida, ulaji wa mafuta ni safi shida ya hii gari ni gari mayai haifai kuenda nayo rough road mara kwa mara. Na shida ni spare parts ni aghali mkuu itakufilisi..

Mara utasikia wish bone zimekufa ukiuliza bei ni mshahara wa mwalimu wa secondary,

Kwa ufupi chochote kitakachokufa kwenye nissan ujue ni bei aghali haswaaa...
Aisee....watu mnajua kuwatisha wenzenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Xtrail nayo mule mule ..nisan hiz gar zao sjui vip..wanatengeneza body zur kama gar ya maana lakin engene inakua sio ya uwezo wa mwonekano...xtrail kwa kuchemka safar za mbal acha..yaan inshort watu wenye xtrail wanaugumiaga chin chin unless uwe unaish town tu
Hili suala la Xtrail ku'overheat huwa ni MYTHS tu...[emoji848][emoji848][emoji848]
Sasa gari la xtrail uweke maji ya kisima kwa nini lisichemshe..?

Sababu kubwa ya watu kusema Nissan huwa zina chemsha ni hii..

kuna matoleo ya engine nikikumbuka code zake nitaziweka hapa...engine hizi zilikuwa hazina oil cooler...
Kama inavyofahamika kazi ya oil mbali na kulainisha mitambo, pia inasaidia kupooza engine.

Watu wengi waliopata matatizo na Nissan, watu hao ndiyo wamekuwa chanzoncha matatizo kwa kuhudumia Nissan kama vile wanahudumia Starlet...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa na msimu huu wa mvua madimbwi kibao mimaji inajaa barabarani ndio uburuze Nissan Nyanya yako imagine lile li njia la mnazi mmoja linalonyoosha hadi mfugale kunajaaga mimaji pale mbele. Lazma utubu tu 😂😂😂

Juzi nimeburuza Toyota langu mle hadi nikalionea huruma japo halijakorofisha. Maji yalikuwa usawa wa bonet nikawaza je mtu wa Nissan, Benz, Bmw au Audi atatoboa kweli bila dashboard kumeremeta 😂😂😂
Hizi mvua nuksi,kuna jamaa yangu kiduet chake akikata kona kali kulia anasikia mlio mguu wa nyuma upande wa kushoto!
 
Kakwambia ni gari nzuri ukiitunza ila hajaishia hapo tu kuitunza kasema "ukiitunza vizuri"

Kakwambia pia ni gari nzuri kama ukiitumia tu ila kamalizia kwa kusema "ukiitumia vizuri"

sasa wewe kachukue ulitunze na ulitumie halafu usimalizie na huo msisitizo "vizuri" ndio utaelewa

wale wanaopanda mwendokasi na wanamagari home huwa wanapenda au wanafanya makusudi.
 
Sasa na msimu huu wa mvua madimbwi kibao mimaji inajaa barabarani ndio uburuze Nissan Nyanya yako imagine lile li njia la mnazi mmoja linalonyoosha hadi mfugale kunajaaga mimaji pale mbele. Lazma utubu tu [emoji23][emoji23][emoji23]

Juzi nimeburuza Toyota langu mle hadi nikalionea huruma japo halijakorofisha. Maji yalikuwa usawa wa bonet nikawaza je mtu wa Nissan, Benz, Bmw au Audi atatoboa kweli bila dashboard kumeremeta [emoji23][emoji23][emoji23]
Nissan siyo nyanya kama watu wanavyozizungumzia....[emoji55]

Na isitoshe gari hizi za EFI kupita kwenye maji ni suala la kawaida sana toafauti na magari ya carburetor..

cha msingi chunga maji yasiingie kweny chamber ya air cleaner, kisha yakaingia kwenye throttle body na kuelekea kwenye intake manifold...hapo lazima ile upande wa dereva..[emoji21][emoji21]

Nadhani shida kubwa mindset ya watanzania imetekwa na slogan ya Toyotalism...

Lakini ukifuatilia kwa undani utagundua magari ya kampuni mbali mbali hususani yanayoanzia miaka ya 2005 yanafanana sana quality zake na teknolojia.....hapo linabaki suala la mapenzi ya mtu na mfuko wake namna ya kuhudumia gari flani..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana jamvi!
Kuna hii gari pendwa katika jiji la dar es salaam, inayoshika kask sana kwa kununuliwa kama njugu.. wao wanaiita “dar sweetheart”.. si nyingine bi ni “Nissan Dualis”.

Nakumbuka kipindi zinaanza kuingia hapa bongo zilikua bei moto sana around milion 25. Lakini kwa sasa nimeshangaa kuona bei zake zimeshuka sana mpaka kuna baadhi ya agents wanakuagizia kutoka japan kwa 14.5m. Binafsi nimevutiwa na gari hii hasa kwa muonekano wake, Mungu akijaalia basi hili gari litakua kipaumbele kwangu.

Naomba wajuvi wa mambo watusaidie nini kimechangia poromoko la bei kwa kiasi hiki? je lina matatizo fulani ya kiufundi au sababu ni ipi haswa?

Kuna jamaa nilinunua gari kwake, nikamwambia nataka gari ingine akasema nimpe 16milion anipe Nissan dualis kwa kweli nilishangaa mno
 
Habari wana jamvi!
Kuna hii gari pendwa katika jiji la dar es salaam, inayoshika kask sana kwa kununuliwa kama njugu.. wao wanaiita “dar sweetheart”.. si nyingine bi ni “Nissan Dualis”.

Nakumbuka kipindi zinaanza kuingia hapa bongo zilikua bei moto sana around milion 25. Lakini kwa sasa nimeshangaa kuona bei zake zimeshuka sana mpaka kuna baadhi ya agents wanakuagizia kutoka japan kwa 14.5m. Binafsi nimevutiwa na gari hii hasa kwa muonekano wake, Mungu akijaalia basi hili gari litakua kipaumbele kwangu.

Naomba wajuvi wa mambo watusaidie nini kimechangia poromoko la bei kwa kiasi hiki? je lina matatizo fulani ya kiufundi au sababu ni ipi haswa?
Zina shida gani? Mbona bei imeporomoka hivyo
 
Ni gari nzuri na hiyo bei ya 23M sijui uliionea wapia huenda ni kwa madalali vichwa panzi... Dualis nyingi zinazoingizi kwetu ni kati ya 2007-2009 na hizo bei zake ni 14-16M na huko 16M labda ukaagiziwe na hao vishoka mnaowaaita ma agent ila ukiagiza mwenye top top 14. Kuhusu matatizo yake kuwa tatizo lake kubwa ni kushuka kwa roof yani Dualis zote roof lazima itakuja kushuka au utaagiza tayari ikiwa imeshashuka ila siku hizi mafundi wazuri wapo wanafanya repair unaendelea kudunda.
Kuhusu ubovu nakataa ila nissan ni gari inahitaji umakini sana muda service ukifika peleka service tena kwa fundi anaejua kazi, spare funga kwa wakati la si sivyo utaikimbia labda kipengele ni bei ya spare imesimamia kucha kidogo ila pia sio ishu sana tofut na toyota spare bei chee (feki) na unaweza buta tu.
Ushauri mzuri
 
Unamiliki Nissan aina gani mkuu...??

Sent using Jamii Forums mobile app


20201104_003654.jpg


Tairi zikiwekwa kubwa kidogo, tofauti na ilizokuja nazo
 
Hii gari bhna nimeendesha jumamosi, yan kuingia tu hivi ndani nikahisi something is not right nikasema labda imepigishwa pasi ndefu kwenye service. Nikasema niangalie milangoni, zile vitambaa za milngoni zote zimeshuka chini...za milango yote yani (just imagine) kuangalia juu sunroof kuifungua ikakwama mahali. Haikufunguka yote. Kitambaa cha roof pia kishashuka shuka..., the only good thing niliipendea ni inanusa wese tu yanii, dah i'd not go for a dualis. Bora gari zingine za Nissan but not this. Yai yai sana yanii
 
Hii gari bhna nimeendesha jumamosi, yan kuingia tu hivi ndani nikahisi something is not right nikasema labda imepigishwa pasi ndefu kwenye service. Nikasema niangalie milangoni, zile vitambaa za milngoni zote zimeshuka chini...za milango yote yani (just imagine) kuangalia juu sunroof kuifungua ikakwama mahali. Haikufunguka yote. Kitambaa cha roof pia kishashuka shuka..., the only good thing niliipendea ni inanusa wese tu yanii, dah i'd not go for a dualis. Bora gari zingine za Nissan but not this. Yai yai sana yanii

Nilijaribu kuwafata SAFARI AUTOMATIVE walisema shida ya dualias ni milango na roof hata unapofanya Interior Design wanashauri sana milango na roof.
 
Back
Top Bottom