Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Hapo kwenye yanga hebu tutake radhi mkuuNissan ni gari poa sana ikimpamta mtu anayejua namna ya kukaa nayo...
Lakini kwa wale wa oil za kupima kule Buzza, na spea za kichina za kulinganisha kama zinaingia....let them stay away feom Nissans..[emoji28][emoji28][emoji28]
Mtanzania huwezi kumtenganisha na TOYOTA, CCM, Yanga [emoji28][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app