Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Hapo kwenye yanga hebu tutake radhi mkuuNissan ni gari poa sana ikimpamta mtu anayejua namna ya kukaa nayo...
Lakini kwa wale wa oil za kupima kule Buzza, na spea za kichina za kulinganisha kama zinaingia....let them stay away feom Nissans..[emoji28][emoji28][emoji28]
Mtanzania huwezi kumtenganisha na TOYOTA, CCM, Yanga [emoji28][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishajua maisha ni unpredictable huwezi kujitia matatizoni.πππNi kweli mkuu ila hata hao wenye uwezo wa kumiliki wanawake namba 1 kuna muda wanalia lia maana maisha nayo hayo constant muda wote... Nilikuwa nasoma reviews za audi A4 hata wazungu ambao tunawaona hawana shida wanalia nayo na hasa gharama za matengezo ta engine maana ndio tatizo kubwa
Ahahhaa kabisa mkuu... ma BM yamepaki pale mwenge kibaoUkishajua maisha ni unpredictable huwezi kujitia matatizoni.πππ
Nilitaka kumuuliza yeye ni Me au Ke maana dah!Kigari kibaya hiki kina muonekano wa chura πππ
Murano kumbe nayo jahu!Sasa unazungumzia nissan hardbody mtambo wa kazi utafananisha na nyanya kama xtrail ama murano?
Amna gari mleMurano kumbe nayo jahu!
Kilitime, gari yenye dashboard mbaya kuwahi kutokea πππNi kama Rav 4 Masawe na Killi time, zile siti zake za nyuma ukikalia unaweza feel umekalia yale mabenchi ya benki wakati unasuburi kuhudumiwa..[emoji31][emoji31][emoji31]
Sent using Jamii Forums mobile app
imekaa kigumu sanaKilitime, gari yenye dashboard mbaya kuwahi kutokea πππ
Fundi omar juzi kati nilienda kwake kwa shida zingine hlf yeye akanichomekea eti inabidi nitoe thermostat,jicho nililompiga ajarudia tena ujinga wakeHahaha fundi omari na testa yake mkononi atakumbia imeua controlbox.
Na kizamani mkuu... Ile gari sitakaa nikae mule! Ahahahaha kepesi sanaimekaa kigumu sana
Thermostat inahusiana vipi na control boxπππ Fundi Omari alikuwa anataka akupige kunga!Fundi omar juzi kati nilienda kwake kwa shida zingine hlf yeye akanichomekea eti inabidi nitoe thermostat,jicho nililompiga ajarudia tena ujinga wake
Alitaka kuniotea,jamaa fala sanaThermostat inahusiana vipi na control boxπππ Fundi Omari alikuwa anataka akupige kunga!
Mafundi wetu wanapenda kweli kusema chomoa thermostat... Hata ikijam, hawashauri ununue nyingine utasikia " Chomoa thermostat ile ni kwaajili ya nchi za baridi "Fundi omar juzi kati nilienda kwake kwa shida zingine hlf yeye akanichomekea eti inabidi nitoe thermostat,jicho nililompiga ajarudia tena ujinga wake
Inategemea na matumizi,kama gari umenuna 98% unaitumia kwenda nayo dukani na kurudi nyumbani lazima haitakuwa na shida kwako.Ninayo mwaka wa tatu Sasa, baada ya kushuka kwenye Noah nikaamua nikae humu.
Gari haina usumbufu wowote, mafuta inanusa, iko stable barabarani. Ni tamu Sana, tatizo watanzania ni mabingwa wa matango mwitu
Sijui uwa inawakera kitu gani!Mafundi wetu wanapenda kweli kusema chomoa thermostat... Hata ikijam, hawashauri ununue nyingine utasikia " Chomoa thermostat ile ni kwaajili ya nchi za baridi "
Hahaha, basi tu ndo walivyokubaliana kuwa ukikutana na thermostat ng'oa.Sijui uwa inawakera kitu gani!
π€£π€£Hahaha, basi tu ndo walivyokubaliana kuwa ukikutana na thermostat ng'oa.
Ukisoma reviews mtandaoni hakuna gari isiyo na review mbaya. Zote ni mbaya.Ni kweli mkuu ila hata hao wenye uwezo wa kumiliki wanawake namba 1 kuna muda wanalia lia maana maisha nayo hayo constant muda wote... Nilikuwa nasoma reviews za audi A4 hata wazungu ambao tunawaona hawana shida wanalia nayo na hasa gharama za matengezo ta engine maana ndio tatizo kubwa