Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Wabongo wanaendesha gari imewaka check engine light miezi 6.gari lolote ukilitunza kama mtengenezaji alivyoshauri....lazima utakaa nalo muda mrefu tu....
Tatizo wabongo wamekari..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimuuliza, anakwambia 'i know my car'.
Huyohuyo ukimpa Nissan au European anaanza maneno kibao. Asijue tatizo sio gari, ila ni yeye.