Sasa hapo kwenye matunzo ya gari ndio watu wanapolia napo... Kuna gari hazihitaji gharama kuuubwa kuzitunza kama maana unapozungumzia kutunza gari ni pamoja na kufanta service, kubadili spare kwa wakati nk. Sasa hivyo vitu ndio unakuja kupata gharama halisi ya kui run hiyo gari sasa angalia kwa nissan na toyota..
....na magari ni kama wanawake...
1....Kuna mwanamke gharama zake za nywele, kucha,vocha,vipodozi, kinywaji akipendacho kwa mwezi mzima..akijumlisha gharama unakuta ni mshahara wa mtu fulani...na kuna wanaume wanamgharamikia na hawapigi kelele..[emoji38][emoji38]....
Ingekuwa wanawake hawa ni gari hapa kuna BMW,VW,,Benz,Aud, Nissan, Subaru na mengine meengi..
2....Kuna mwanamke kumgharamia , gharama zake ni za kawaida saana...hana mambo mengi...kuna wanaume wengi wanapenda kundi hili vile halina gharama kubwa..[emoji1][emoji1]....mwanamke ninayemzungumzia hapa angekuwa ni gari basi Ni TOYOTA zile common saana mfano IST, Alion,Premio, Spacio na wenzake weengi
3....Lakini pia usisahaku kuna wale wanawake wanajiuza pale Mrina Arusha,..hata buku tatu unamng'oa tu bao la fasta fasta... shubaamiti..[emoji38][emoji38][emoji28]..Wapenda vya kunyonga wanaponea hapa..
Wanawake hawa hufananishwa na Starlet, Carina, GX 90 mpka 100, Vitz old model za milango 3 na mengine meengi..
Kwa hiyo kila mtu huangukia kundi linaloendana na uwezo wa wallet yake au mapenzi yake..[emoji3][emoji3]
Sasa hawa wanaume wanaoangukia kundi la 2 na 3, kazi yao huwa ni kulia lia tu kuwa kundi namba 1 hapo juu halifai, eti lina gharama kubwa..[emoji38][emoji38]..
Tukae kwa kutulia watu waendeshe magari roho inapenda...bora wallet iwe na pesa za kununua spea pale zinapohitajika..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using
Jamii Forums mobile app