Poromoko la bei la Gari aina ya Nissan Dualis

Poromoko la bei la Gari aina ya Nissan Dualis

Watu hawawezi kuichukia gari bila sababu, lazima kuna jambo.
Kwanini Nissan ina reputation mbaya hapa Tanzania?
Jibu ni kuwa, mara zote Nissan imekuwa ikilinganishwa na Toyota katika suala la maintenance, na sote tunajua Toyota ni more affordable in terms of buying and services.

Mwisho usiwe mwepesi kuamini maoni yoyote positive kuhusu gari fulani kutoka kwa mmiliki wake hapa Tanzania. Kwanini? Bado watanzania hatujawa waungwana kusema ukweli mchungu kuhusu privacy life hususani kwa vile tunavyovimiliki kama gari au mke, tunahisi kama tutachekwa au kubezwa, hivyo tunajihami mnoo kwa uongo.
Nissan hazina tatizo zaidi ya gharama. Ni gari za gharama kuzitunza hilo ndo tatizo lake. Na watanzania wengi wanataka watreat nissan kama toyota rav 4 old model lazima ikusumbue.

NISSAN NI GHARAMA KUMILIKI HILO NDILO TATIZO HAKUNA TATIZO LINGINE.
 
Hahahah kigari cha Nissan kinataka hela tu. Ukiwa uko njema bank hakitakusumbua, service kwa wakati tu.
Kabisa boss. Unanunua bei chini gari ila Kinataka kikiua gearbox ununue gearbox kwa bei pungufu kidogo ya bei ya gari.
 
Gari 6M gearbox 2.5M patamu hapo.
Kabisa. Hapo 2.5m umenunua Tandale iliyovuliwa kwenye gari nyingine.

Ukiagiza +V.A.T inakimbilia 3.5m ukimlipa na fundi juma inafika 4m hapo bado fundi juma hajakosea kukuungia nyaya zikapiga shoti control box ikafa inayouzwa dola 250 dubai.

KAMA HUNA PESA ZA KUITUNZA NISSAN NUNUA TOYOTA RAV 4 3S 1998 UTAKUJA KUNISHUKURU.
 
Kabisa. Hapo 2.5m umenunua Tandale iliyovuliwa kwenye gari nyingine.

Ukiagiza +V.A.T inakimbilia 3.5m ukimlipa na fundi juma inafika 4m hapo bado fundi juma hajakosea kukuungia nyaya zikapiga shoti control box ikafa inayouzwa dola 250 dubai.

KAMA HUNA PESA ZA KUITUNZA NISSAN NUNUA TOYOTA RAV 4 3S 1998 UTAKUJA KUNISHUKURU.
Wale majamaa wanapiga hela sana. Aisee mie nina engine ya nissan bluebird sylphy QG18DE na gearbox yake ya N16 nimeivua kwenye gari ya ndugu yangu iliungua moto upande wa nyuma. Ni jino moja tu inawaka. Inafunga kwenye Wingroad, Sunny, Primera na Sentra.

Naitaftia mteja kama una contact za jamaa yeyote ambaye atakuwa interested nimuuzie hata kwa bei pungufu maana Ilala inauzwa laki 9 na gearbox yake ni laki 5!
 
KAMA PESA ZA KUITUNZA NISSAN HUNA, NIKIMAANISHA OIL YAKE YA GEARBOX LITA MOJA NADHANI 40,000 YA ENGINE 65,000 KAMA HUNA PESA ZA KUNUNUA SENSOR ORIGINAL, KAMA FUNDI WAKO NI FUNDI ANATEMBEA NA TESTA, KAMA UNANUNUA GARI HUKU UKIWAZA KULIUZA MBELENI ACHANA NA NISSAN.

NUNUA TOYOTA TENA TOYOTA RAV 4 3S 1998. UTAKUWA UPO KAMA KWENYE SUFURIA ILA UTAFURAHIA MAISHA. HAZINA GHARAMA, ZINADUMU NA ZINAUZIKA HARAKA.
 
Wale majamaa wanapiga hela sana. Aisee mie nina engine ya nissan bluebird na gearbo QG18DE nimeivua kwenye gari ya ndg yangu iliungua moto upande wa nyuma. Ni jino moja tu inawaka.

Naitaftia mteja kama una contact za jamaa yeyote ambaye atakuwa interested nimuuzie hata kwa bei pungufu maana Ilala inauzwa laki 9 na gearbox yake ni laki 5!
Nimescreen short hii ntakujulisha.
 
KAMA PESA ZA KUITUNZA NISSAN HUNA, NIKIMAANISHA OIL YAKE YA GEARBOX LITA MOJA NADHANI 40,000 YA ENGINE 65,000 KAMA HUNA PESA ZA KUNUNUA SENSOR ORIGINAL, KAMA FUNDI WAKO NI FUNDI ANATEMBEA NA TESTA, KAMA UNANUNUA GARI HUKU UKIWAZA KULIUZA MBELENI ACHANA NA NISSAN.

NUNUA TOYOTA TENA TOYOTA RAV 4 3S 1998. UTAKUWA UPO KAMA KWENYE SUFURIA ILA UTAFURAHIA MAISHA. HAZINA GHARAMA, ZINADUMU NA ZINAUZIKA HARAKA.
Hahaa mkuu hapo utakuwa upo kwenye sufuria unamaanisha nini?
 
Nissan Dualis ni CVT ukiweka ATF lazima Gear Box ife
Na hapa ndio wengi wanachemka. Nilimchana ndugu yangu juzi kwenye gari yake Rumion, nikamwambia utauwa gari hiyo. Hiyo oil sio yake.....

Yeye kakazana lakini si ni Total hii, nikamwambia shida sio kampuni ni aina ya oil. Nikamwambia atafute oil yake.....
 
Ukweli ni kwamba hakuna gari lisilosumbua hapa Tanzania....mazingira ya barabara mbovu, vipuri feki, elimu duni, mafundi wasio na ujuzi, uchumi mbovu wa mtu binafsi....hizi ni baadhi tu ya sababu zinazofanya kila gari lisumbue...[emoji38]

Hii hoja watu wanayoisemea"ukiitunza vizuri itadumu.."Ni sahihi kabisa....

Barabarani kwa sasa zaidi ya 75% ya magari yametengenezwa mwaka 2005 kwenda mbele.....

Ni gari gani la mwaka 2005 kuja mpaka miaka hii ya leo lisilohiyaji matunzo mazuri..??????

Mnataka kutuaminisha kuwa IST isipotunzwa itadumu, passo isipotunzwa itadumu, Clugger isipotunzwa itadumu, Tako la nyani, crown zisipotunzwa zitadumu eti kisa ni Toyota..?????

haya mambo ni mepesi sana kuyaelewa, tatizo watu wengi wanaongea kuhusu magari kwa akili za ushabiki wa Simba na yanga, Chadma na ccm..[emoji6][emoji38][emoji38][emoji38]

Nakazia Tena, Hakuna gari lililoundwa kuanzia mwaka 2005 na kuendelea lisilohitaji kutunzwa vizuri...

Ukiangalia magari mengi ya miaka hii iwe ni Nissa, Toyota,subaru, Bmw,VW ni mabati laini, alluminium, interior ni plastic bag kwa asilimia kubwa, umeme mwingi, sensors kibao...

Umewahi kujiuliza ni kwa nini wamiliki wa Toyota ndiyo wanaongoza kwa kutafuta gear box na engine used...?[emoji38][emoji38]Kwa sababu ya ile tabia ya mazoea eti Toyota hazichagui oil, ATF zinawekwa za bei rahisi rahisi tu kwa sababu wanajifariji Service ya Toyota ni bei rahisi...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii comment itumike kama sehemu ya viambatanishi vya joining instruction pale kwenye chuo cha udereva na ufundi Veta na NIT na kwingineko....
 
Kimsingi hizo gari zina matatizo kadhaa, mosi ukikosea kuweka Oil yake inakula kwako na ukijitusu uweke transmission oil ambayo sio NS2 umeua gearbox kabisaaaa, ila kwa kuwa comfortable iko poa sana na kingine ni kwenye spea kama umezoea toyota ukiingia mule ni kama cha kike ni bora uendelee na Toyota tu. Ukitaka isikuzingue Oil tumia za kwake injini na gearbox pia service fanya kwa wataalam wa hizo gari sio vijiweni, tatu usiwe mbahili spea zake nyingi OG hivyo na bei imechangamka pia
 
Mshazoea Toyota, endeleeni nazo, sio kuleta unafiki kwa nisaan, namiliki nisaani Mwaka wa 5 huu, na wala haina kwere.
Unapeleka Nissan kwa fundi gonga, karithi ufundi Toka kwa mjomba wake. Unategemea nini!?
si unajua watu na ile mentality ya sizitaki mbichi hizi. kumbe hana uwezo wa kumiliki
 
Back
Top Bottom