duh,kazi imeanza,hope wales wataamka na kurudisha
Wamevurugwa tayari,hawana spirit kama ya Iceland hawaNgoja tusubiri tuone kama wana uwezo wa kuamka hawa, lakini mpaka sasa mie siuoni kabisa.
Not trueKati ya hizi team,hakuna bingwa kabisa,bingwa atatoka kati ya France na Germany
Hakuna ubishi Ballon d'or ni ya Ronaldo this time