Portugal ya Christiano Ronaldo haijakaa sawa

Vipi hawa?
Costinha
Abel Xavier
Jorge Andrade
Vitor Baia
Mechi na Ufaransa kwenye Euro 2000 Ubelgiji& Uholanzi waliandaa kama sikosei. ufaransa walipewa penati! Mechi hiyo inaniuma hadi leo![emoji16] [emoji16] [emoji16]
Namkumba kijana alikuw ana itwa Mpenza na mwinge alikuwa anitwa clement cjui

Ubelgiji walitolewa kimagumash kishenz yaan
 
Emil mpenza na nduguye yeah miaka ile kipute kilikua kinapigwa bwanaa ukigongwa umegongwa kweli
Eeeh

Kina mpenza wawali yule mwngne alikuwa anitwa Mboa kama skosei

Hahaha
We jemaa ni shida kwa kweli, alafu tv tulikuwa tuna zitafta mbali kwl kwl
 
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
Si mbaya hata hvo

Mimi mshindani wako, ila wapinzani wako ni tottenham
Na mie ni loserfool
Totenham haniwezi..Season iliyopita alipata chance akaichezea watu tukatusua nafasi ya pili. Ila na nyie mmekwama. Morinho anaweza akawaokoa. Hali mbaya,saiv ni mwendo wa ueropa tu hahahaaaaaa
 
Totenham haniwezi..Season iliyopita alipata chance akaichezea watu tukatusua nafasi ya pili. Ila na nyie mmekwama. Morinho anaweza akawaokoa. Hali mbaya,saiv ni mwendo wa ueropa tu hahahaaaaaa
Aaaah
Waliniboa kwel kwel

Mou kaja tuokoe jahaz bhana ngoja tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…