unajua sometimes mi napoteza uelewa hapa..kwani hawa wanaopokea posho mara mbili wanaitwaje?au sio mafisadi?na huyu wa kupeleka marisiti ya 2m kwa ajili ya kununua dawa pale namanga pharmacy anaitwaje?
Iam getting tired na hizi issues za mafisadi ni bora tujadili mambo mengine
Anaweza kuibuka na mpya, au ndio kuendeleza libeneke na watunga sheria ama kujisafisha? Lakini anaweza kuibua upya sakata la mafisadi papa ama kutekeleza amri za mafisadi kutafuta mchawi mwingine baada ya Mwakyembe?
Anaweza kuibuka na mpya, au ndio kuendeleza libeneke na watunga sheria ama kujisafisha? Lakini anaweza kuibua upya sakata la mafisadi papa ama kutekeleza amri za mafisadi kutafuta mchawi mwingine baada ya Mwakyembe?
- Mkulu Halisi, heshima mbele sana najua utakuwepo huko kwenye mkutano hebu mbaneni huyu kibaraka wa mafisadi aseme wazi ni kwa nini mafisadi wa Richimonduli waliotajwa kwenye ripoti iliyopitishwa na bunge kutoka kwenye kamati yake ya Mwakyembe, hajawakamatwa wala kuhojiwa mpaka leo?
- Halafu aeleze nini maoni yake kuhusu the fact kwamba kwenye ile ripoti ya Mwakyembe hata yeye anatakiwa kuwajibishwa na mpaka leo hajawajibishwa kama bunge lilivyomshauri Waziri Mkuu? Kwa nini asijitolee kujiuzulu badala ya kusubiri kuwajibishwa na Waziri Mkuu? Sasa katika hii clout aliyonayo yeye mwenyewe kisheria hiyo moral au authority ya kuwasakama wabunge na posho anaitoa wapi? Ni lini mhalifu akawa ndiye authority ya kutafuta suspects wengine wa sheria ile ile aliyokwisha ivunja?
- Jamani hebu muulizeni haya mazingaombwe yataisha lini na hili taifa, yaani yeye Hosea anatakiwa kuwajibishwa kisheria kwa kuvunja sheria, halafu yeye tena anajaribu kuwatafuta wabunge wanaotuhumiwa kuvunja sheria ile ile, ohhh! this comedy itaisha lini na wapi?
Respect.
FMEs!
Hakika mwaka huu tutaona mengi .Sasa yeye anakimbilia kwa hao jamaa tena ? Bahasha zao kesha andaa ili waandike vyema ama anawaita mkono mtupu wasipo andika na wao wamezoea bahasha atamlaumu nani ?
Haya wamehojiwa wamesema na kujipendekeza kuhojiwa yakowapi sasa? je wamepata suluhu. Ya wana CCM waachie wao wenyewe, kwani wao wanajuana. wanandoa wakipigana usiingilie wakipatana kazi kwako. Suala la msingi hapa ni kuwa serikaLI HAINA NIA KUSHUGHULIKIA SUALA HILO LA POSHO. SASA UNAPOKUWA SILIASI NA WATU WENYE MZAHA UNAPOTEZA MUDA WAKO BURE. NI BORA KUKAA KIMYA UWAANGALIE TU.Kupokea posho mara mbili mbili kunadumaza Taifa. Kwanini wasipige kelele? Ni kuogopa kuitwa wapinzani uchwara? Mbona hilo wameshaitwa saaana. Kwanza wao ni wabunge, na issue inahusu wabunge. Kama wabunge wa upinzani lazima wataulizwa na waandishi wa habari ni nini msimamo wao. Wakikaa kimya watapakaziwa wanalindana. Halafu hivi kutafuta mawakala si jukumu la mgombea? Sidhani kama ni busara kumhusisha Katibu Mkuu au Naibu wake. Watafanya mangapi? Hilo ni suala la kurugenzi ya Uchaguzi.
Mimi binafsi wabaya wangu wakigombana nitashabikia ili wauwane wasije hata kuafikiana baadaye. Kama ikishindikana nitachochea mpaka watoane macho hata wakija patana wana makovu ya kudumu. Hapo nitajihesabu nimeshinda.
.
mzee naona unajibu swali gumu kwa jibu rahisi. Naona wewe unawaza mwakyembe tu. Hapa ume overlook nafikiri soma tena hapo juu. Usiwe mvivu wa kusoma na kufikiri pia. Hapo juu hakuna hata jina la mwakyembe. Unaacha maada unaleta ushabiki wa kijinga. Haya bwana nauna we ni kichwa ngumu. Soma tena na ujibu upya.
Tatizo lako wewe mh.ni ushabiki kwa mwakyembe na sio maslahi ya taifa.mwakyembe leo akisema tukojoe barbaran,nafiki uko tayari ku support.ujinga gan huo bwana wewe?
Mkuu karibu saa nzima inapita sasa! any thing of inerest, au naye ndio analeta porojo?Ameanza kuongea, saa 4 asubushi tayari!!!!!!
na kweli anasema hana ugomvi na wabunge, anatekeleza kazi zake na wao wanatekeleza kazi zao ambazo anazikubali kuwa ni nzuri zinamsaidiahana lolote
na kweli anasema hana ugomvi na wabunge, anatekeleza kazi zake na wao wanatekeleza kazi zao ambazo anazikubali kuwa ni nzuri zinamsaidia