Posho mbili, Spika Sitta, Takukuru na Maadili yake!

Posho mbili, Spika Sitta, Takukuru na Maadili yake!

Na Kama Hakuja kwa mahojiano, amekuja kutembeza ubabe wa kuwaogofya wabunge wakati wa majadiliano ya hoja ya Richmond hapo kesho, atakaa speakers galery na kusikiliza ni wabunge gani wanajidai vidume, kulazimisha yeye awajibishwe wakati kwenye sakata la Richmond, yeye hakuona rushwa, and infact hakuna rushwa yoyote ndio maana hakuna kesi yoyote ya rushwa kwa mhusika yoyote, kama ilivyo kwa rada, ndege ya rais, etc. Rushwa ni zile za Trafic kupiga bao madaladala.
 
halafu ameweka pale kwenye board kama breaking news-------what is that
 
I dont understand ulichotaka kuwasilisha hapa, nadhani hawajagombana sitta na Hosea, bali kinchogomba hapa ni mitizamo kati ya PCCB na Bunge. Wao kukumbatiana hakuwezi kuondoa misuguano.

Hata mimi sijasema wamegombana, nimesema "kukutana uso kwa uso na Spika Sitta, hivyo kumaliza rasmi malumbano yao kwa kukumbatiana kwa vicheko, tashwishwi na bashasha tele".
 
Hivi unaweza kumuita Spika au huyo Mwakyembe bila kufanya appointment naye?? inamaana aache shughuli za Bunge kwanza aende huko TAKUKURU?? Hivi ni kipi chenye uharaka kwanza kuendesha Bunge ambalo limeshajipangia ratiba yake kabla au TAKUKURU??
 
Ebu muulize vizuri huyu jamaa maana anatucganya wana jamii hapa, halafu hiyo misuguano inaiisha tu kwa sababu nya kukumbatiana na hayo matabasamu ya bashasha tu? think again
 
then what...
then walizungumza, na kilichozungumza utakiona leo usiku kwenye habari za TV na magazetini kesho, kama sio mazungumzo ya siri, kama ni ya siri, basi mtaishia kuona picha za wakikumbatiana.
 
halafu ameweka pale kwenye board kama breaking news-------what is that

Watu ambao ni wageni na Pasco utawajua tu!Mimi mwenyewe mwanzoni niliona kama anaboa, lakini nilikuja kumwelewa...He is a very intelligent guy!...We tulia, fungua masikio...Hoja zake zina mashiko ya kuaminika!
 
Pasco kweli umechoka na feelings, mi sidhani hivo, hayo ufukiriayo nafikiri ni ndoto za abunuasi
Kuchoka nakubali naweza kuwa nimechoka, yaani mchovu, hili la feelings, sijui za nini, inawezekana fikra zangu zikawa kweli ni ndoto za Abnuwas, maadam JF ni kisima cha fikra, unatoa na wewe hizo fikra zako kukrash hizi ndoto ili tupate altenative school of thoughts.
 
Unajua nimesoma maelezo kwa kina lakini? Mimi naona hapa kuna Danganya toto. Kwani kweli wabunge wamechukua Posho mbili Lakini Mhe. Hoseah anasema katika maelezo yake nanukuu ""Takukuru ilipata taarifa hizo na ilifanya uchunguzi wa msingi kwa kutumia taratibu zake na matokeo ya uchunguzi umeonyesha kuwa tuhuma hizo zinaelekea kuwa ni za kweli"" Je kwa maelezo haya kuna kitu kweli? Kwa maana Waheshimiwa kweli wamechukua Posho mbili sasa wewe unasema tuhuma zinaelekea kuwa kweli mmhh!! Hivi mtu akikuuliza wewe una mdomo wewe utamjibu vipi?? Wana JF wapenda maendeleo na wapinga ufisadi wa weka Herufi tatu tuwe makini na hili. asante tusisapoti tuu kuona watu wanalumbana ili kwenye uchaguzi ujue ah!! ah!! weka Herufi tatu imefanya hili ooohh!! mimi siongei nakaa nyuma ya mlango niangalie kitakachofuata...............................Mh. mkuu wa nchi kuwa makini na wanakuhujumu.............

Huyu jamaa yaani ameamua kwenda Dodoma Kabisa


 
wakuu nasikia mwakyembe kukamatwa na PCCB muda mfupi kabla ya repoti ya utekelezaji wa maazimio ya bunge kuhusu richmonduli kusomwa, ili asiwepo mjadalani

au ndo maana zito kawai kuhojiwa ili awe na uhakika wa kuwepo mjadalani?

am justi kyurias
 
Hivi unaweza kumuita Spika au huyo Mwakyembe bila kufanya appointment naye?? inamaana aache shughuli za Bunge kwanza aende huko TAKUKURU?? Hivi ni kipi chenye uharaka kwanza kuendesha Bunge ambalo limeshajipangia ratiba yake kabla au TAKUKURU??
Kitwa kuhojiwa na Takukuru ni kama samansi ya mahakamani, wanawekaga appointiment?.
 
The saga continues...nani zaidi!! Bunge au PCCB! Taasis ya serikali au Bunge (so called...tukufu!!). Yetu macho. Tusubiri tuone nani zaidi...
 
Viongozi hawa mara nyingi huwa na mengi ya kuongea "behind the scenes".

Utashangaa baadae hata kama atafukuzwa kazi atapewa ubunge wa kuteuliwa au kutafutiwa ukuu wa wilaya au jimbo kabisa.

PCCB inatakiwa ihamishiwe kwenye ofisi ya Wizara ya mambo ya ndani kutoka Ikulu ilipo sasa.

Ikiwa chini ya home affairs basi waziri husika atawawajibisha hawa wakurugenzi wakuu bila kuomba ushauri wa baraza la mawaziri.
 
Viongozi hawa mara nyingi huwa na mengi ya kuongea "behind the scenes".

Utashangaa baadae hata kama atafukuzwa kazi atapewa ubunge wa kuteuliwa au kutafutiwa ukuu wa wilaya au jimbo kabisa.

PCCB inatakiwa ihamishiwe kwenye ofisi ya Wizara ya mambo ya ndani kutoka Ikulu ilipo sasa.

Ikiwa chini ya home affairs basi waziri husika atawawajibisha hawa wakurugenzi wakuu bila kuomba ushauri wa baraza la mawaziri.


Mkuu, again kwa hili mimi ninaona iliwekwa chini ya PO makusudi kabisa ili yakija kama haya basi iwe vigumu kuwawajibisha. tatizo ni kuwa hizi rushwa ni systemic na hali mtu mmoja. Hosea anavotamba ujua ana mahali pa kujishika,angekuwa 'mkurugenzi' tu wala hapo alipo asingekuwepo!
 
Back
Top Bottom