Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Unasema kweli kabisa waache na wao wafaidi , nchi iwe na furaha.Acheni tu unafiki uso na tija.Unajitokeza kusifia kwa vile naona data zipo peupe.Enzi ya shujaa nani angedieiki kuonyesha wazi kitu kama hiki?Ripoti ya CAG iliyotolewa juzi juzi ukaonyesha mabilioni yaliyopigwa enzo za shujaa mbona hamkushadadia? Acheni uzandiki.Enzi za kuelekea faida tu zimeondoka na mwendazake Bob.What a sycomphancy.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hela ya mboga.Kwani huyo dhalimu magufuli naye hakuwa mwizi? Mbona yeye kaliibia Taifa hili kuliko mtu mwingine yeyote? Eti we miss you JPM!!! Nenda kaburini kwake ukamuone.
Una maana lisu kwa kuwa anashikishwa ukuta basi na wewe utaenda kushikishwa ukuta?Eti we miss you JPM!!! Nenda kaburini kwake ukamuone.
Uandishi wako tu inaonyesha huna uwezo wa kutambua nzuri au baya.Ningeshangaa kama ungesema kwamba report ya CAG ilikuwa ya kweli.riport ya CAG aliyoitoa kuhusu kupigwa kwa pesa enzi za hayati makufuli hiyo riport ni fake tena fake ni riport ya kupoteza umaarufu wa makufuli
Aisee, Tanzania kama nchi bado tuna kazi ndefu sana. Acheni wazungu waendelee kututawala tu kmmk. Hivi uliingiaje humu JF? Kwa nini usingeishia huko huko fb na mataahira wenzio?riport ya CAG aliyoitoa kuhusu kupigwa kwa pesa enzi za hayati makufuli hiyo riport ni fake tena fake ni riport ya kupoteza umaarufu wa makufuli
Jana kuna mahali nilisainishwa posho hakuna amount πππ.Sidhani kama majina ya waliopokea yatakuwepo, huenda waajiriwa hewa wameshaandikishwa upya!
Haya madudu ndiyo yanayowafanya waandike kwamba sasa hivi wana furaha zamani hawakuwa na furaha.POSHO ZA WIZARA YA FEDHA MWEZI MARCH,APRIL NA MEI.
Tarehe 31/03/2021 Shilingi 251,000,000/= (kazi maalum)
Siku hiyo hiyo tena tarehe 31/03/2021 Shilingi 198,000,000/=
-Mwezi April ilikuwa balaa.
Tarehe 08/04/2021 Shilingi 44,500,000/=
Tarehe 13/04/2021 Shilingi 155,295,000/=
-Tarehe 30 April nayo ilikuwa balaa
Tarehe 30/04/2021 Shilingi 43,900,000/= (kuandaa mpango wa kuhifadhi mazingira)
Tarehe 30/04/2021 Shilingi 14,400,000/=
(siku ya wanawake)
Tarehe 30/04/2021 Shilingi 43,000,000/=
Mei mosi siku ambayo sio ya kazi.
Tarehe 01/05/2021 Mei Mosi asubuhi Shilingi 184,100,000/=
Tarehe 01/05/2021 Mei Mosi Mchana Shilingi 264,000,000/=
Tarehe 03/05/2021 Shilingi 146,500,000/=
(Kuandika mpango Kazi wa manunuzi watu 125 [emoji3])
Siku hiyo hiyo tena Shilingi 171,200,000/=(kuandaa nyaraka za bunge)
#WeMissYouJPM.
#Tunakukumbuka JPM.
Afrika,Wakimbizi sisi,wazamiaji sisi,wapenda ngono sisi,uchawi sis,wapenda vya ulaya sisi,wapenda uchafu sisi,wakosa Cha kufanya sisi,tunapewa siku 365 lakini kinachofanyika Ni sawa na watu huko alaska.Kwani huyo dhalimu magufuli naye hakuwa mwizi? Mbona yeye kaliibia Taifa hili kuliko mtu mwingine yeyote? Eti we miss you JPM!!! Nenda kaburini kwake ukamuone.
Pia,wasipoiba watoto wa wanyonge wataiba mafisadi,Bora watu wa Kati huenda watajenga,sio hawa wanaokwenda kuficha huko ulaya.Unasema kweli kabisa waache na wao wafaidi , nchi iwe na furaha.
Kila wizara iongeze kupiga ndio mwendo wenyewe.
Imechosha Magufuli alikuwa anazuia pesa kwani ni za kwake ?.
WATANZANIA HATUJUI TUNATAKA NINI.
Afrika,Wakimbizi sisi,wazamiaji sisi,wapenda ngono sisi,uchawi sis,wapenda vya ulaya sisi,wapenda uchafu sisi,wakosa Cha kufanya sisi,tunapewa siku 365 lakini kinachofanyika Ni sawa na watu huko alaska.