Possible military coup in Israel

Possible military coup in Israel

I remember in 1995 YITZAHAK RABIN WAS MURDERED. If Netanyahu will not decided to step-down then will be assisted to do so.
 
Mapinduzi hufanyika zaidi kwenye banana republics zisizo na demokrasia iliyopevuka.

Hivyo, hilo kwa sasa haliwezi kutokea Israel.

Israel ina uchumi mzuri. Hakuna kabisa sababu ingine yoyote ile ya kufanya mapinduzi ya kijeshi ilhali taasisi za kidemokrasia zipo na zinafanya kazi vizuri.

Netanyahu anaweza kuondolewa madarakani kupitia taratibu zilizopo kikatiba na kisheria.

Naliamini jeshi la Israel. Ni taasisi inayoendeshwa kwa akili, siyo kama JWTZ ilivyosheheni vilaza 🤣 kuanzia juu, katikati, pembeni, mpaka chini.

IDF haiwezi kabisa ku risk jambo kama hilo huku wakijua nchi yao imezungukwa na mahasimu kila kona.
Umetutukania Geshi Retu bira sababu
Akili sisi za nini?? Huoni makambi tunaweka mpesa na kuuza vocha?? Unataka akiri gan tena??
 
Hayo ni mawazo yako ambayo kwa kiasi kikubwa ni nje na uhalisia ulioko Israel.
Nani kakudanganya sasa hivi Israel iko na uchumi mzuri?
Uchumi wa Israel uko na shida isipokua unconditional financial aids kutoka USA ndio zinaifanya Israel ionekane bado inasimama.
Kuna sababu lukuki zinazopelekea kufanyika kwa mapinduzi,japo utawala wa kizayuni hauwezi kuruhusu.
Israel hakuna demokrasia,kama kungekua na demokrasia tusingeona wale Orthodox jews wakiburuzwa kama magunia waingizwe jeshini.
Pia tusingeona kiongozi asiyependwa "Netanyahu" akibaki madarakani licha ya raia kutokumpenda.
Kwa hiyo unataka kutuambia Iran ndio kuna demokrasia...😛😛😛
 
Kwa akili zako mapinduzi hadi watu wapigane risasi!?
Mapinduzi ya bila silaha ni mapinduzi ya kisiasa, lakini mapinduzi ya kijeshi ni lazima silaha ziwemo mikononi.

Kufyatua ama kufyatuliana risasi ni jambo jingine, maana kubeba bunduki hakulazimishi kufyatua risasi.
 
Impossible!

Lakini, Gallant wanampendea nini? Mbona taharuki imekuwa kubwa? Niliona kwenye taarifa ya habari hadi wananchi waliandamana japo kwa uchache.
Yeye alikuwa hataki mambo mengi sana ambayo wanapishana na Benja
Kubwa zaidi ni suala la mateka
Alikuwa hataki nguvu kubwa kutumika bali maelewano
 
Yeye alikuwa hataki mambo mengi sana ambayo wanapishana na Benja
Kubwa zaidi ni suala la mateka
Alikuwa hataki nguvu kubwa kutumika bali maelewano
Unaelewana Vipi na mtu aliyekuja kuvamia, kuua, kuchoma nyumba, kukamata na kuchukua raia mateka kibabe tar.7 0ct 2023?? Hiyo haikubaliki.
 
Akiweza atuwekee ya kwake nyingine ili tuweze kuona mapinduzi bila silaha inakuwaje?? ; tena ndani mwa nchi iliyo vitani.
Hayo hata angekuta watu wapo kwenye maombi ya njia ya msalaba au maandamano ya Echarist angeleta hapa kudai ni mapinduzi.

Kuna mwingine alileta video jana akidai ni mashambulizi makubwa yaliyofanyika Tel Aviv hiyo jana, kumbe kaenda mtandaoni akalishwa AI genereted video
 
Hayo hata angekuta watu wapo kwenye maombi ya njia ya msalaba au maandamano ya Echarist angeleta hapa kudai ni mapinduzi.

Kuna mwingine alileta video jana akidai ni mashambulizi makubwa yaliyofanyika Tel Aviv hiyo jana, kumbe kaenda mtandaoniakalishwa AI genereted video
Halafu anajitoa ufahamu kwamba humu wanajamvi huchambua, kuzipembua na kuhoji kwa kina authenticity ya Taarifa iliyoletwa kabla ya kuikubali.
 
Unaelewana Vipi na mtu aliyekuja kuvamia, kuua, kuchoma nyumba, kukamata na kuchukua raia mateka kibabe tar.7 0ct 2023?? Hiyo haikubaliki.
Binadamu lazima kuna wanaokubali na wanaopinga hoja
Ndio maana yanatokea haya
Bila maelewano huwezi kuishi na watu
Ni kama mirathi tu wengine huuwana na wengine hugawana
 
Ukitaka kuamin wafuasi wa mwamedi wana akili finyu basi we pitia comments kwny hiz fake news uone wanavo tamani visivo wezekana viwezekane 🤣🤣🤣
 
Inajulikana kama nchi ikiwa katika vita uchumi unayumba,sasa kwanini utudanganye kuwa Israel ina uchumi imara licha ya vita zinazoendelea!?
Pia inategemea hiyo nchi ina nguvu ya kiuchumi kwa namna gani,Russia hadi sasa hajaanguka kiuchumi na yuko vitani mwaka wa pili kuelekea wa tatu na Ukraine.


Israel HAINA DEMOKRASIA TUNADANGANYANA kama ina demokrasia tusingeona jews Orthodox wakiburuzwa kujiunga jeshini.
Hivi nchi yenye demokrasia inalazimisha raia kuingia jeshini tena kwa nguvu na marungu!??
Hehehe basi hiyo demokrasia itakua vichekesho aiseee.
Hakuna nilichodanganya.

Israel ina uchumi mzuri. Takwimu hazidanganyi.

Marekani ina uchumi mzuri. Kuwa na uchumi mzuri haimaanishi huo uchumi hauwezi kuyumba.

Kuyumba ni sehemu ya kawaida ya mzunguko wa uchumi.

Inflation Marekani bado ipo. Bei za bidhaa bado ziko juu.

Jobs report ya October haikuwa nzuri.

Hakika huwezi kuja hapa na kuniambia eti Marekani haina uchumi mzuri kisa tu baadhi ya takwimu si za juu/ chini.
 
Ukitaka kuamin wafuasi wa mwamedi wana akili finyu basi we pitia comments kwny hiz fake news uone wanavo tamani visivo wezekana viwezekane 🤣🤣🤣
Wanazurula kwenye mitandao ya habari za kizushi kutafuta uzushi utaowafanya wajisikie vizuri.

Mtu ukiwa humpendi, ukisikia habari yoyote ile mbaya iliyo dhidi yake, utataka kuiamini kwa sababu itakufanya ujisikie vizuri kuona usiyempenda kapatwa na madhila, hata kama ni uongo.
 
Back
Top Bottom