Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti kila mtu anaokoteza na analeta makorokoro yake huko eti ni Taarifa na anakuja kutupia humu.Ujinga ujinga tu humu
Umetutukania Geshi Retu bira sababuMapinduzi hufanyika zaidi kwenye banana republics zisizo na demokrasia iliyopevuka.
Hivyo, hilo kwa sasa haliwezi kutokea Israel.
Israel ina uchumi mzuri. Hakuna kabisa sababu ingine yoyote ile ya kufanya mapinduzi ya kijeshi ilhali taasisi za kidemokrasia zipo na zinafanya kazi vizuri.
Netanyahu anaweza kuondolewa madarakani kupitia taratibu zilizopo kikatiba na kisheria.
Naliamini jeshi la Israel. Ni taasisi inayoendeshwa kwa akili, siyo kama JWTZ ilivyosheheni vilaza 🤣 kuanzia juu, katikati, pembeni, mpaka chini.
IDF haiwezi kabisa ku risk jambo kama hilo huku wakijua nchi yao imezungukwa na mahasimu kila kona.
Kwa hiyo unataka kutuambia Iran ndio kuna demokrasia...😛😛😛Hayo ni mawazo yako ambayo kwa kiasi kikubwa ni nje na uhalisia ulioko Israel.
Nani kakudanganya sasa hivi Israel iko na uchumi mzuri?
Uchumi wa Israel uko na shida isipokua unconditional financial aids kutoka USA ndio zinaifanya Israel ionekane bado inasimama.
Kuna sababu lukuki zinazopelekea kufanyika kwa mapinduzi,japo utawala wa kizayuni hauwezi kuruhusu.
Israel hakuna demokrasia,kama kungekua na demokrasia tusingeona wale Orthodox jews wakiburuzwa kama magunia waingizwe jeshini.
Pia tusingeona kiongozi asiyependwa "Netanyahu" akibaki madarakani licha ya raia kutokumpenda.
Hovyo kabisaEti kila mtu anaokoteza na analeta makorokoro yake huko eti ni Taarifa na anakuja kutupia humu.
Mapinduzi ya bila silaha ni mapinduzi ya kisiasa, lakini mapinduzi ya kijeshi ni lazima silaha ziwemo mikononi.Kwa akili zako mapinduzi hadi watu wapigane risasi!?
Yeye alikuwa hataki mambo mengi sana ambayo wanapishana na BenjaImpossible!
Lakini, Gallant wanampendea nini? Mbona taharuki imekuwa kubwa? Niliona kwenye taarifa ya habari hadi wananchi waliandamana japo kwa uchache.
Unaelewana Vipi na mtu aliyekuja kuvamia, kuua, kuchoma nyumba, kukamata na kuchukua raia mateka kibabe tar.7 0ct 2023?? Hiyo haikubaliki.Yeye alikuwa hataki mambo mengi sana ambayo wanapishana na Benja
Kubwa zaidi ni suala la mateka
Alikuwa hataki nguvu kubwa kutumika bali maelewano
Hayo hata angekuta watu wapo kwenye maombi ya njia ya msalaba au maandamano ya Echarist angeleta hapa kudai ni mapinduzi.Akiweza atuwekee ya kwake nyingine ili tuweze kuona mapinduzi bila silaha inakuwaje?? ; tena ndani mwa nchi iliyo vitani.
Halafu anajitoa ufahamu kwamba humu wanajamvi huchambua, kuzipembua na kuhoji kwa kina authenticity ya Taarifa iliyoletwa kabla ya kuikubali.Hayo hata angekuta watu wapo kwenye maombi ya njia ya msalaba au maandamano ya Echarist angeleta hapa kudai ni mapinduzi.
Kuna mwingine alileta video jana akidai ni mashambulizi makubwa yaliyofanyika Tel Aviv hiyo jana, kumbe kaenda mtandaoniakalishwa AI genereted video
Binadamu lazima kuna wanaokubali na wanaopinga hojaUnaelewana Vipi na mtu aliyekuja kuvamia, kuua, kuchoma nyumba, kukamata na kuchukua raia mateka kibabe tar.7 0ct 2023?? Hiyo haikubaliki.
That’s your opinion.The point ni kwamba. Israel is not a democracy, it is an apartheid state.
Hakuna nilichodanganya.Inajulikana kama nchi ikiwa katika vita uchumi unayumba,sasa kwanini utudanganye kuwa Israel ina uchumi imara licha ya vita zinazoendelea!?
Pia inategemea hiyo nchi ina nguvu ya kiuchumi kwa namna gani,Russia hadi sasa hajaanguka kiuchumi na yuko vitani mwaka wa pili kuelekea wa tatu na Ukraine.
Israel HAINA DEMOKRASIA TUNADANGANYANA kama ina demokrasia tusingeona jews Orthodox wakiburuzwa kujiunga jeshini.
Hivi nchi yenye demokrasia inalazimisha raia kuingia jeshini tena kwa nguvu na marungu!??
Hehehe basi hiyo demokrasia itakua vichekesho aiseee.
Wanazurula kwenye mitandao ya habari za kizushi kutafuta uzushi utaowafanya wajisikie vizuri.Ukitaka kuamin wafuasi wa mwamedi wana akili finyu basi we pitia comments kwny hiz fake news uone wanavo tamani visivo wezekana viwezekane 🤣🤣🤣
😂😂😂😂Taarifa hii nimeipata from a CIA insider.
Kiporo auHawa wanapasha