Post (za ualimu) zimewekwa kama dakika 5 na zikaondolewa!

Post (za ualimu) zimewekwa kama dakika 5 na zikaondolewa!

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,557
Reaction score
1,787
Nime kaa chumbani na rafiki yangu, mara akatumiwa sms post zimetoka waambie na wenzako, tembelea MOE, jamaa mbio mpaka kwenye simu lakin kutazama hakuna.

Tukaona labda kwa simu haionyeshi, washa PC nako hamna kitu, tulipo mpigia jamaa akaapia mara mbili mbili ni kweli yamewekwa na sio mtu wa matani !

Akasema tumpe jina arudi cafe, ile anarudi akasema wamesha yatoa !!

Kwa hiyo mnao subiri mkae chonjo!!
 
labda kaona tangazo la mwaka jana ndgu. Asante kwa taarifa.
 
sio kucheza bosi, haitaji nguvu nyingi kukulazimisha ukubali...jamaa na na mjua sio mtu wa masihara, na kwan unadhani haiwezekani?
 
una maanisha nini bosi..JF ina maana nyingi..ila sio lazima uamini..
 
kwani utoto ukoje mkuu...kila jambo linawezekana..kwa kuwa hukuangalia kwa wakati huo, huna la kupinga!
 
Inawezekana, lolote likisemwa kuhusu nchi yetu siwezi kukataa inawezekana post zikawekwa na kuondolewa ghafla. Labda walijisahau wakawapangia watu wa kilimo vituo vya ualimu na waliwa wakapelekwa vituo vya afya! Ni kawaida kwa Tz. Kama matokeo ya mitihani ya na rudiwa kupikwa sembuse ajira?
 
Inawezekana, lolote likisemwa kuhusu nchi yetu siwezi kukataa inawezekana post zikawekwa na kuondolewa ghafla. Labda walijisahau wakawapangia watu wa kilimo vituo vya ualimu na waliwa wakapelekwa vituo vya afya! Ni kawaida kwa Tz. Kama matokeo ya mitihani ya na rudiwa kupikwa sembuse ajira?

NO COMMENTS! Dats True Guy!
 
Kwa hiyo mnao subiri mkae chonjo!!. Naamini tayari wamekwisha kaa chonjo dhidi ya uvumi, na habari maruerue.
 
Hizi habari zingne hizi kutiana presha tu ka matokeo ya NECTA! Mxxxyyxxuuuu!
 
jamani walimu,msiwe wagumu kuamini mbona ndo miezi ya post hii,pia nashukuru sana walimu wa siku hizi hawapo tayari kubweteke na viela hivi kidogo,ombi langu kwa walimu ukipata kazi mara moja anza ujasiriamali.
 
Wadau nauliza ni kweli post za ualimu zimeshatoka na nicheki website ipi kama zimetoka mana kuna mtu ananisumbua
 
Nime kaa chumbani na rafiki yangu, mara akatumiwa sms post zimetoka waambie na wenzako, tembelea MOE, jamaa mbio mpaka kwenye simu lakin kutazama hakuna...
Tukaona labda kwa simu haionyeshi, washa PC nako hamna kitu, tulipo mpigia jamaa akaapia mara mbili mbili ni kweli yamewekwa na sio mtu wa matani !!
Akasema tumpe jina arudi cafe, ile anarudi akasema wamesha yatoa !!
Kwa hiyo mnao subiri mkae chonjo!!

Acha uzushi majina ya Ajira huwa yanatoka katika filez za PDF ama DOC. so kama yangetoka watu wangekuwa wamesha Download kitambo. Ina maana TZ nzima ameyaona jamaako tu?
 
jamani walimu,msiwe wagumu kuamini mbona ndo miezi ya post hii,pia nashukuru sana walimu wa siku hizi hawapo tayari kubweteke na viela hivi kidogo,ombi langu kwa walimu ukipata kazi mara moja anza ujasiriamali.

umeongea point
 
Back
Top Bottom